My Authors
Read all threads
KWANI WE HUNITAKI?

Siku nyingine tena, tupige ka story flan ama sio bhana, ka uongo na ukweli

Kipindi hiko kama wapwa, tukiendelea kuinuana, bila kuchoka, mpaka makwapa yajue hayajui

Wakikuuliza ni nani, waambie ni kaka Bumunda tena, jana na leo

👇🏿👇🏿
VIWANJA VYA VIJANA- Dayosisi ya MUSOMA

Paite DAYO, sisi ndo namna tulipaita, kuokoa muda na nguvu. Hivi vilikuwa viwanja vya michezo, vingi kwenye sehemu moja

Michezo yote, soccer, basketball, volleyball, table tenis, badminton, darasa la muziki na kila kitu
Sijawahi kujua kwann hivi viwanja vilikuwepo, ila tulikutanika vijana wote wa Musoma kipindi hiko, wote karibia, wakaka kwa wadada

Pembeni ya uwanja wa Karume, gate la nyuma la parokia kuu Musoma, ndipo mahala palipatikana hivi viwanja, kama nilivosema tulipaita DAYO.
Kwa kimo changu, ungedhani ningekwenda Dayo kucheza kikapu, ama mpira wa miguu, au kwa mapenzi yangu ya muziki ungedhani ningekwenda kujifunza gitaa???HAPANA

Nilikwenda kuchora, ndio, kuchora, kujifunza kuchora, kwenye darasa langu la UCHORAJI

Kwann, ukiachana na passion yangu
kwenye uchoraji, kitu kingine kilikuwa dhahiri, kulikuwa na wazungu kibao, wengi wao watoto wa kike, nilikuwa na mawazo kuna siku nitaopoa mmoja, so nilikuwa sikosi kipindi hata kimoja hapa.

Likizo moja, ilikuwa ni katikati ya mwaka nadhani, niko sekondari kipindi hiki
Tofauti na kipindi ambacho mko shule, dayo ni jioni tu mnakwenda, sasa ilikuwa ni muda wote, kuanzia asubuhi saa tano tungekuwepo Dayo, tukikazana kuchora.

Pamoja na yote, nilikuwa mwanafunzi mzuri, nilichora sana, sana.

Mwalimu wetu, alikuwa anapata deals za kuchora saloons
na sehemu kama hizi, angepata pesa na nn, kazi zikawa nyingi sana, tenda zake hizi, so siku moja

'Eiyo Bob, kuna kazi nataka ukanifanyie, Mkendo, kuna saloon ukaupe maisha ukuta wake, unaweza??'

Aliniita Bob sababu ya Male, so ilikuwa poa tu

'Naweza ticha, we niaminie tu,
lini sasa tunafanya kazi??'- namuuliza mwalimu wangu

Kupata nafasi ya kuchora kuta, ilikuwa ndoto ya kila mmoja wetu darasani, kwa miaka zaidi ya minne, hii ilikuwa kazi yangu ya kwanza kuchora, nadhani umeisha iona shauku na furaha niliyokuwa nayo kuhusu hili
MKENDO MUSOMA
Hii ilikuwa sehemu imechangamka kidogo mjini, maduka kadhaa, na shughuli nyingi kidogo kwa wakazi wake

Nafika siku hiyo, ni saloon ya wadada, chini ya jengo moja karibu na tawi la bank moja

'Samahani we ndo dada Asnath??'- namuuliza mdada mmoja, niliyemkuta pale
'Ndio mimi, mambo mkaka mzuri'😊😊

Namuelekeza kilichonileta pale, ananionesha pahali palitakiwa kuchorwa, naanza kazi

Siku ya kwanza ilikuwa tu ni kufanya plot na maandalizi machache, framing na nn, nikitegemea kuanza kazi rasmi kesho yake

Ilitakiwa nimchore Ashanti
Siku ya Pili
Nafika mapema sana, hata hivo ilipaswa nimgonje Asnath afungue saloon ili sasa niweze kuchora

Baada kama ya dakika 45 akawa amefika

'Pole masikini, nimekuchelewesha??nisamehe'

Simjibu kitu, namsalimia, nikitoa vifaa kwenye bag langu dogo la mgongoni
Nimeshamaliza kuchora kifua na nywele, nimekaa pembeni, nakunywa maji nikiwaza naanza vipi kupambana na uso, uso ndo kila kitu mpwa, kwenye picha za saloon

Inapaki gari moja, barabarani pembeni ya saloon, wanashuka mabinti flani watatu, kama waarabu, warembo sana, sana.
'Asnatiiiiii, naona umeamua kunichora, ofisini kwako' -anasema dada mmoja, aliyekuwa mrembo kuliko wenzake

'Nyoo, akuchore nani, huyu Ashanti bibi wewe'- Asnath anajibu

'Unachora mwenyewe nini?mbona hatumuoni mchoraji??'- anasema yule mdada pia, yeye na wenzake wanacheka
Kicheko hiki kiliniumiza sana, sijui kwann ila niliona kama madharau, kwanza kwann hawakuniona hawa wadada??nimekaa hapa mlangoni walikopita, wana dharau hawa, manina zao😂

Nilisema situkani leo, manina zangu

'Aanh wapi, hamjamuona kaka hapo nje mrefu mrefu hivi, ndo yeye'
Wanageuka wote kuntazama, nataka kukwepesha macho, lkn nachelewa, macho yangu mawili yanakutana na macho yao sita, nashindwa, ni mm ndo naona haya, naangalia pembeni

'Mambo mkaka mrefu' - wanasema wote kwa pamoja

'Po-po po poa poa' nawajibu, naendelea na kazi yangu
Si wote walikuja kupata huduma pale, hawa wawili walimsindikiza mwenzao, yule mzuri sana, kuosha nywele zake

Nikichora, kwa mbali nasikia wakiongea habari zao za kidada, kuna mjamaa mmoja alikuwa na kibamia, na alikuwa akisemwa hapa, jina hawakuwa wakimtaja
Naona kwa kipindi walichokaa pale, wakaamua kabisa na kusuka nywele zao, wale wawili, yule mmoja aliyeosha, hakutaka kusuka

'Sikia Myra, tufuatie mwenzio chakula basi, njaa itatuua'

Myra, ndo jina la huyu mdada mrembo kuliko wote, na ndo huyu alikuwa anaagizwa msosi
'Wapuuzi, nani wa kuwafuatia ninyi chakula, mnikome'- anajibu Myra sasa

'Eenh jamani, tunakuomba shogaa'- wenzake wanamwambia

Akianza kuondoka, mwenzake mmoja anamuambia

'Myra, muagizie na kaka mchoraji, ntamlipia, sawa eenh' anasema binti mmoja kati ya wale wawili wanaosuka
'Ushanza nyege we mtoto, usione mwanaume mrefu' anasema Myra akiusogelea mlango

Kitu hawakukijua, niliyasikia mazungumzo yao yote, yote, kwa uzuri kabisa, yaani live and direct

'Kaka, samahani, utakuoa chips na nn??'

'Aanh no, silagi chips dada angu, asante lkn, niko sawa'
'Ooh its okey, Blandina keshakulipia, kasa ule chochote ni sawa, please usikatae, atajisikoa vibaya, please' - anasema Myra

'Okey, njoo basi na kibhato, aweke na mboga za majani'

'Hiiiiii jamani, kibhato ndo kitu gani, eti Asnatiiiii huyu mkaka vipi??'- Myra anapiga kelele
Anatoka Asnath, eenh kuna nini??

Anaambiwa, anacheka
'Kaka, hawa sio kama wewe, unawaona walivyo lkn, there is no way, wanaeza jua kibhato ni nini??

'Okey sikiliza Myra, kibhato ni ugali wa mtama, uliochanganywa na muhogo, unauzwa na nyama choma, vipisi vidogo vidogo, paleeee
kwa Joganya upo, ama kwa Joganya napo hupajui😂😂😂😂'- Asnath anatoa maelezo kwa mwenzie

'Hee jamani, huyu mkaka, mboja ana hatari hivi??'- anasema Myra akiisogelea gari, ambayo baadae niliju ni yake

Namalizia kuchora, anarudi Myra na fuko, kubwa, lilijaa misosi nadhani
'Wee kaka umenichosha na kibhato chako, utanilipa nakuambia'- anasema akiingia ndani ya saloon

Mara anatoka Blandina, akiwa kashika cases mbili, moja yake, na moja ina kibhato changu

'Naitwa Bee, mambo kaka'- anasema

Poa, namjibu

'Kaka hutojali, please kula chakula nime
kuagizia kipindi unasikiliza shida yangu moja ndogo

'Sikiliza kaka, unajua sana kuchora, napenda unavochora hapa, unaweza kunisaidia kitu kimoja'

Namuambia asiwe na wasiwasi aseme tu, shida yake

'Naomba unichore, nataka picha yangu kubwa ya kuchorwa, nna shida nayo'
Haina shida nasema

'Ila nitakuomba uje nyumbani, utanichorea huko, ni sawa??'

Namuangalia yule dada, ananiangalia, kabla sijasema chochote anasema

...............................

Part one inaishia hapa

Tutendelea mabumunda

With LOVE
Kaka Bumunda

❤❤❤❤❤❤❤❤
Namba 8
PART TWO- The Blandina Case

Ni kwa kupitia Blandina, kama yeye mwenyewe akivojiita Bee, nadhani ilitakiwa kutamkwa kama ile ya Beyonce, ndipo nilipojua kwamba hawa wadada wote watatu, Blandina, Myra na Genevieve, wote ni wanachuo, Chuo cha Maendeleo ya Jamii- Buhare
Kwa mnaokijua hiki chuo, mtakuwa mnakumbuka namna ya watoto wa kike walikuwa wanapatikana hapa, bhana kulikuwa na kiwanda cha watoto wazuri katika hiki chuo

Kwa maelezo yake, yeye Bee, alikuwa ni mtu wa Morogoro, mtoto wa kambo wa mkuu mmoja wa polisi enzi hizo, ndio IGP
Then alikuwepo Myra, huyu muarabu alikuwa akitoka Tanga, babaye akimiliki maelefu ya ekari za mashamba ya mikonge, wakimiliki pia kiwanda cha kati cha kutengenezea mifuko na kamba.

Wa mwisho, Genevieve, huyu alikuwa mtoto wa Masamaki, tajiri mmoja wa samaki jijini Mwanza
Walikuwa chuoni, wakisoma, na ndipo walipokutania, wakawa marafiki mpaka muda huu, mwaka wa pili hawa, wakisoma Diploma Two, kama nilivoelekezwa

Baada ya kusikia wako Diploma, chuoni, niliapa sitowaambia, kama niko kidato cha tatu, nilikuwa n mwili mkubwa, so walielewa kwamba
sisomi, i droped skul, niliwachapa fimbo, nilikuwa nasom Ardhi University, akitekicha sijui ndo ilikuwa course yangu😂😂😂

So, tuliishia Blandina anaomba akachorwe

Nilimkubalia, kwa maelezo kwamba, baada ya kumaliza kazi ya watu Saloon, ngemchora tu hivo asiwaze
'Ntakulipa, ntakulipa chochote unachotaka Marley, pesa, chochote we utaniambia, u name any'

Akiongea haya, maneno yalikuwa yanamake sense ni 'chochote' nikawa namuangalia, nacheka tu

Tukakubaliana, akanipa namba yake ya simu, tukala, tukamaliza, akaingia ndani kumalizia kusuka
nikawa busy na mimi, kumalizia kazi yangu

Jioni saa kumi na mbili, nimeshammaliza Ashanti, kapendeza mwenyewe ukutani

Ile wanatoka, nusra Blandina anikumbatie mbele ya wenzake,

'Jamaniii, i cant wait for mine'

'Yours!!!nini??'- wakajibu wenzake Myra na Genevieve kwa pamoja
"Picha, eenh picha, Marley is going to put my cute face on paper, hamuamini, muulizeni"- anasema Bee

'Jamani na mimi'- Myra anasema

'Na mimi' - Genevieve anasema

'Sikia nikuambie Marley, hakuna mtu anataka kuchorwa hapa, they all want some dick, kuwa makini mdogo wangu'- Asnat
ananiambia

"They think u re cute, and wanao mpangi wa kujitombesha, kazi kwako"

Anafungua pochi yake- Asnath sasa, ananipa pesa, kama 80k,

'Hiyo ndo tulikubaliana na ticha wako, nadhani alikuambia'- anasema

Nachukua pesa, nakunja, naiweka

'U want a ride home handsome??'
'Nah, im good' nasema hii nikiifuata bike, baiskeli yangu nyumba ya uani hapo kwenye saloon, im good with my bike, asante, namuambia

"Ni sawa, nitatembea kidogo nifuate garu langu garage kama mtaa wa tatu, Gee na Myra, kwaherini, mi ntaondoka na Marley, tutaonana kesho chuoni"
Baiskeli yangu haikuwa na kiti cha nyuma, so we decided to walk there, a walkable distance, so haikuwa na taabu sana

Njiani, napiga story na Bee, akisisitiza nisiache kumchora, na nimchore vizuri

Namuhakikishia kwamba nitamchora asiwaze hat kidogo
Marley: Musoma's Picasso😎

Ni siku tumekubaliana, nikamchore Bee, asubuhi na mapema naamka, najitayarisha, vizuri tu, nampigia simu kwamba nakuja, ajiandae

Mi pia, naikunja drawing-board yangu, karatasi kadhaa A1, na vifaa vyangu vingine vya kuchorea, naita bodaboda, naondoka
Bee alikuwa anakaa kota, iteni kotaz, za wafanyakazi wa Tanesco Musoma, alipataje nyumba maeneo yale, hata mi sijajua mpaka leo

Alikuwa anakaa ghorofa ya tatu, kwenye moja wapo ya majengo mtaa wa Mkinyerero

Nafika naingi ndani, pazuri kwa kweli, sebule haina mambo mengi
Sofa moja kubwa, seats tatu na moja dogo, seat moja, na TV moja, samsung, kipindi kile ilikuwa hatari, music system, samsung pia, fridge jikoni, samsung pia

Pazuri nimesema

'Halafu samahani Marley, kuna kitu kimoja nilisahau kukuambia,ni kuhusu hii picha ambayo utanichora'
Namuambia, asijali, aniambie tu, anataka iweje, anasema

"Sijui utanionaje lakini, naomba unichore bila nguo"

Maaaan!!! this was a piece of an info, kimoyomoyo nikasema leo nitakoma😂😂

"Well its okey, this being my prof, ama do what a client needs"

"Ooh jamani asante kwa kuwa
muelewa"- anasema Bee

Kichwani kwangu, hata nisiongope, kuna vitu vingi san vilikuwa vinaendelea, ilikuwa hatari sana😊😊

Nafungua drawing board, namuuliza

"Itakuwa hapa sitting room sio??"

"Hapana hapana, chumbani, nakuomba"-anajibu

Namuambia haina shida, tunaweza kwenda
Naisimika drawing board yangu chumbani kwake, napit karatasi juu yake, nachukua kalamu zangu kwa ajili ya kuanza kuchora

Oi wapwa eenh

Sio kila mdada akiwa uchi wa mnyama anatisha, kuna viumbe wameumbwa siku Muumba alikuwa anatafuta sifa, Bee alikuwa mmoja wapo
Maji ya kunde flan, chocolate, sio chocolate, mtoto ana uso umekaa vizuri kama muunganiko wa materials ya kutengeneza noti

Kifua chake ni hatari faiya kama liquid ya piere, tumbo sidhani kama anakulaga kitu zaidi ya kunywa maji, speaking of flat smooth tammy
Kiuno na mapaja yake tutaache kidogo, yatatengua swaumu za wapwa humu ndani

Kazi ilikuwa moja tu, kumchora binti wa watu

Kakaa zake kwenye kona moja ya kitanda chake kukubwa, mikono kaiweka kama anaziba nyonyo zake ndogo

Miguu kaikutanisha kama miss akipiga cat walks
KaI ya kumchora ilikuwa ngumu sana, sio kwa sababu ya mazingira, lah, sababu vichwa vyangu vyote viwili vilikuwa vinafanya kazi kwa muda mmoja hii siku

Vichwa vyote, hii ilifanya vidole kupunguza kasi, kama ingekuwa hii awamu, vingesha tumbuliwa kama majipu
Namaliza kuchora hii picha, ni kama saa tatu na nusu usiku, kipindi namalizia kuweka details, Bee alikuwa busy akiandaa chakula cha usiku

Ni makelele tu ya masufuria nayasikia, mara na blender pia, juice flan ya parachichi

Wakati anamaliza kupika chakula, nilikuwa namaliza
kuiweka picha yake kwenye frame moja ya mbao, kubwa nilikuja nayo

"Pole baba angu, na asante sana, karibu chakula"

Nilikuwa na njaa, so nikaufakamia msosi nikala sana

Ukimaliza chakula, please, kuna juice kwenye fridge, jipendelee"- anasema Bee

Ananifuata ananinong'oneza
"Ngoja nikajimwagie maji, nije nikupe chakula, ule"- anasema

Ile namgeukia nikisema "nahitaji juice tu hapa niwe nimeshiba, asante kwa chakula"

Namuona Bee, akiachia khanga aliyokuwa ameivaa, na taratibu akielekea bafuni

Nafuata juice, namimina naanza kunywa

Mara!!!
"Marley would u help me fix this heater, maji ya moto hayatoki, please njoo uwe useful huku na urefu wako"- anasema Bee kutoka bafuni

"Njoo bana mi nasikia baridi, harakisha basi"

Nausogelea mlango wa bafu la huyu binti,naufungua, straight kwenye bomba ilipofungwa heater
Kabla sijafanya kitu, nashangaa naloana maji mwili mzima, na nguo zangu pia

"Kwann unajifanya mgumu hivi Marley, umenichora nikiwa uchi, umeona kila kitu changu, please usiondoke kabla hujaufanyia kitu mwili wangu, ntajisikia vibaya nife"

Namjibu, i i i was just being a pro
"Pro wapi bwana, come be a pro to this amazing body, come be Columbus, and explore the uncultivated land"- anasema Bee akinivua fulana yangu

Kitu kimoja nataka kuwaambia wapwa, kuna magheto haya wachawi asiwaambie mtu, nimeshituka asubuhi siku inayofuata nikiwa nimechoka sana😂
Mtoto alisem alikuwa "uncultivated land", hakuwa anasem uongo, alikuwa bikra kweli

Asubuhi tumeamka nguo zangu zilikuwa bafuni bado, ilibidi sasa nikazifue, eenh mimi mwenyewe nizianike, zikauke ili niweze kuondoka, zililowana jana

"Usihangaike, kuna DryCleaner hapo chini, acha
nimpigie azifuate" anapigiwa simu muhusika, anafuata nguo, huduma ni express, chap kwa haraka

"Hizo nguvu nimekuokolea hapo Marley, njoo uzitumie huku"- anasema Bee akinivuta tukielekea chumbani kwake

Mtoto anataka tena😉

Naenda tena, kichwa cha chini kinatafuta sukari kama
nyoka

Niliondoka baadae jioni, sikuwa hata n haja ya hela, hivo sikumuomba hata mia, tulikubaliana angenilipa dollar 200

Kwa raha na utamu nilipata, kipaji tu kilitosha, nini hela bhana😂😂😂

Muhuni nikasindikizwa na mtoto mpaka maghettoni

"Thanx Marley, for the picture and
kila kitu, kuna hawa mafala kama mara mbili, hawakuweza kufungua mlango wa jeneza, asante kwa hilo tena, thanx for being number one"- anasema Bee

Natoa drawing board yangu kwenye bonet, namuaga, nasepa home

Kesho yake asubuhi, maza ananiamsha asubuhi asubuhi
"Wee Marley, hizi ni hela za nchi gani??mbona za kijani kijani"

'Hela gani bana mama na wewe, mi nimelala ujue'

'Hizi nimezikuta kwenye bag lako nilikuwa nakufulia leo asubuhi, zina mbaba mwenye manywele, hata sio kama Nyeye wetu'

Naamka, natoka nje kumcheki maza
Bhana weee!!!

Namkuta maza kashika dola za kimarekani, nisikilize dola za kimarekani, note za dola mia mia ziko kama ishirini na tatu

Dollar 2300, elfu mbili mia tatu

Haraka haraka nachukua simu ya Blandina nimpigie, nakuta text kutoka kwake

"Thats urs Marley, again, asante'
Hizi pesa nilitumia kiasi chake kama 700k kununulia kiwanja changu cha kwanza huko home Musoma, i didnt tell mom of them

Nilimuambia tu, ni mfano wa hela tulikuwa tunachora Dayo, she bought the idea, hata hivo nilim-spoil nazo kinyama

Siku namnunulia hivo vitenge, aliniuliza
"Unataka nifungue duka la vitenge baba??"

Nikacheka zangu, nikatulia

So wapwa, thats was my time kwa leo

Tumalize kwanza kusoma hii, tutaendela na cases za Myra na Genevieve siku nyingine

Asanteni sana kwa kusoma, nendeni tena kwa Coco mbwa nyie😂😂😂

With LOVE
Kaka Bumunda
Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh.

Keep Current with Marley🇹🇿

Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

Twitter may remove this content at anytime, convert it as a PDF, save and print for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video

1) Follow Thread Reader App on Twitter so you can easily mention us!

2) Go to a Twitter thread (series of Tweets by the same owner) and mention us with a keyword "unroll" @threadreaderapp unroll

You can practice here first or read more on our help page!

Follow Us on Twitter!

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!