Zay B_tz Profile picture
|learnerโœ๏ธ๐Ÿ‘‚|Allah is sufficient for me|Alhamdulillah| Digital Nomad |Sports enthusiast ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ inspired by @julietbawuah ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ญโ™ฅ๏ธ
Oct 3, 2022 โ€ข 8 tweets โ€ข 4 min read
No Mambo 10 ๐Ÿ˜ฑ !? , No problem ... I got you covered! Mambo 10 niliyoyaona kwenye mchezo wa Simba Sc Vs Dodoma Jiji: ๐Ÿ‘‡
1. Simba imecheza kitimu Sana , mpira umeonekana licha ya Kocha kupumzisha baadhi ya key players (Kanoute & Okrah) ...well done Mgunda ๐Ÿ‘๐Ÿ‘ #Uzi ๐Ÿ‘‡ 2. Lisha ya ushindi ,upande wa kulia palivuja sanaa...walipoteza mipira sana, Israh na Kibu hawakuwa na siku nzuri kazini licha ya Wenzao kuziba makosa yao(ndio maana ya teamwork๐Ÿ‘)
3. Kuna wachezaji wazawa hawaimbwi Sana Ila uwepo wa Mgunda ni kama wamezaliwa upya (Kennedy na๐Ÿ‘‡
Oct 1, 2022 โ€ข 4 tweets โ€ข 2 min read
Leo katika historia,Tarehe 1/10/2021 Kwenye mechi ya Dodoma Vs Simba.Dodoma waliahidiwa 10M na mbunge endapo wataifunga Simba au kutoa sare, kilichotokea kwenye hiyo mechi ilikuwa zaidi ya Ibra Vs Alan Pina๐Ÿ™Œ, Dakika ya 10 walimuumiza Sakho ankle na kushindwa kuendelea.. #Uzi ๐Ÿ‘‡ ImageImage ... na mchezo na alikaa nje kwa kipindi kirefu ,dakika ya 44' Anuary Jabir anampiga kiwiko Kennedy Juma na kupewa red card ,huku Simba ikiwa na mechi muhimu ya #TotalEnergiesCAFCL Vs Jwaneng Galaxy, ni mwaka tuu umepita ,kesho (2/10/2022) ni Simba vs Dodoma Jiji again,..๐Ÿ‘‡