Discover and read the best of Twitter Threads about #AfyaYaAkili

Most recents (1)

MATUKIO YA WANAUME KUJIUA: Tutafunika kombe mwanaharamu apite hadi lini? #Thread

Wiki chache zilizopita, vyombo vya habari vilipambwa na habari kuhusu wanaume kuongoza kwa matukio ya kujiua.
Jambo hili bado halijapewa uzito sahihi.
Ungana nami💭
#AfyaYaAkili
#DaktariMwandishi 👣
Wanaume wapo kwenye hatari kubwa ya kupata magonjwa ya akili kutokana na msongo wa mawazo.
Vihatarishi huanzia kwenye uchumi, ulevi, aina ya kazi wanazofanya na majukumu yanayowakumba.
Mfumo wa maisha unamshinikiza mwanaume kubeba majukumu mengi na wakati huo huo kumlazimisha
asionyeshe hisia waziwazi kama ishara ya "uanaume".
Hivyo basi, wanatembea na mizigo mikubwa ambayo baada ya muda akili zao hushindwa kuhimili na kukata tamaa.
Kuanzia mtoto wa kiume akiwa mdogo anapoumia anaambiwa, "wanaume hawalii" hivyo anakua akiamini kuwa mwanaume kuonyesha
Read 19 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!