Discover and read the best of Twitter Threads about #CertifiedThreads

Most recents (6)

MAAJABU YA MAUAJI YA HARAIKI YA  JONESTOWN
(JONESTOWN Massacre)
#cipherdotseriesandmoviesuzi
#CertifiedThreads
Kabla ya shambulizi la kigaidi la septemba 11, 2001 tukio hili la Jonestown lilikuwa ndo tukio la kwanza kubwa kuchukua roho za wamerekani wengi kwa mara moja
Mauaji ya Haraiki ya jonestown yalitokea  Novemba 18, 1978  waumini kwa kimarekani wapatao 900 wa dhehebu la kidini lililoitwa "Peoples Tample walikufa kifo kilichoelezewa kama mauji ya kujiua ya Umati kufutia agizo la kiongozi askofu wao aliyeitwa Jim Jones aliyeishi
(1931-78) kwenye kijiji kilichofahamika kama Jonestown kusini mwa Amerika kwenye nchi ya Guyana. Stori ipoje ya jambo hili?? Tuambatane tuine nini hasa kulipelekea watu hao wate kujiua?? Je kwa hiari yao walijiua au??
Jones alianzisha dhehebu lake la Peoples Tample huko
Read 26 tweets
FILAMU YA AVA (2020) INATIA MOYO KUIONA
#cipherdotseriesandmoviesuzi
#CertifiedThreads
Ava ni filamu ya kimarekani iliyotoka July 2, 2020 huko Hungary na ilipangiwa kutoka  Septemba 25, Marekani sielewi kwa nini huku kwetu tumeshaipata ikiwa kwenye HD na watu tumeshaiona ina
...maana tumewapiga bao hata wamerekani au?? Filamu hii ina kichapo kinachofanana kwa mbali na filamu ya ANNA kama umeiona utakuwa umeelewa kama hujaiona ni muda muafaka kuitafuta, filamu hii imeongozwa na Yate Taylor na kuandikwa na Matthew Newton wahusika wakuu wakiwa
...Jessica Chastain, John Malkovich, Common, Geena Davisna wengineo wengi. Filamu hii iliweza kuingiza dola za kimarekani 1.3 milioni
Filamu hii inaanzia pale Ava Faulkner ambaye ni muaji wa kike akimua mfanyabiashara wa kijerumani Peter Hamilton na baadae kusafiri na kurudi
Read 15 tweets
UFAHAMU MFUMO WA KODI NA MAPATO YA SERIKALI ZA MITAA

Serikali za mitaa zikiwa ndani ya Halmashauri za miji/Majiji na Wilaya zina mamlaka ya kukusanya mapato na ushuru kutoka vyanzo mbalimbali vya kodi. Pia zina mamlaka ya kutumia mapato hayo kwa mujibu wa sheria.

T H R E A D👇
Kulingana na mipaka ya kisheria inayowekwa na Serikali Kuu, hizi Serikali za mitaa zina uwezo wa kutengeneza sera zake za mapato ili kuleta maendeleo katika shughuli zinazogusa kwa ukaribu maendeleo jamii nzima kama mashule, hospitali, mazingira ya mitaa na ulinzi shirikishi.
Mapato haya yanayokusanywa yanapata Mamlaka kutoka katika Sheria ya Mapato ya Serikali za Mitaa ya mwaka 1983 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.

Sasa leo ukimaliza kusoma makala haya, utakuwa umezijua kodi/tozo zote zinazokusanywa pamoja na matumizi yake kwa ujumla.
Read 25 tweets
MELI KUBWA YA MIZIGO
MS MUNCHEN ILIVYOTOWEKA DUNIANI
#cipherdotseriesandmoviesuzi
#CertifiedThreads
Meli ya MS Munchen  ilikuwa ni meli ya mizigo ya kijerumani iliyozama December 1978 pakiwepo na nadharia moja ya kuwa meli hii ilipigwa na Rogue Waves( Rogue hujulikana kwa majina
...kwa majina mengi kama freak wave, monster wave, episodic waves, Killer waves, Extreme waves na abnormal waves...Haya ni mawimbi makubwa sana yanayoweza kwenda juu mita 70 hadi 300 (kwa utafiti wa hivi karibuni) sawa na viwanja vitatu vya mpira mguu kutokea kwenye usawa wa
...usawa wa bahari, hutokea ghafla bila sababu inayofahamika na kupotea kama lilivyokuja, huja na nguvu ya ajabu na uharibifu utakaofanya kwa kipindi hicho kifupi ni mkubwa na wa kutisha, huja bila taarifa inasemekana huweza kuvunjika au kuigonga meli kwa nguvu ya tani mia
Read 32 tweets
Augost 1971 Mwanamke Maria Gomez Raia wa Andalusia, Hispania Aliona Madoa Sakafuni Jikoni Wakati Akipika, Kutazama Vizuri Akashangaa Kuona Madoa Hayo Yamejitengeneza na Kuonekana Kama Sura ya Mtu, Baadae Sura Nyingi Zikawa Zinaonekana Sakafuni. Bélmez Faces. #UZI 👇👇
Ilikuwa ni Aug 1971 ambapo mwanamke Maria Gomez Pereira raia wa Andalusia, Hispania akiwa nyumbani kwake jikoni akiendelea kupika aligundua kuwa sakafuni palikuwa na madoa, akachukua tambala afute madoa hayo lakini akagundua ni madoa yaliyoungana na kuonekana kama sura ya mtu. 👇
Hali hii ilimuogopesba sana Maria, akamwambia mumewe ambaye kwa kushirikiana na mwanae wakairarua sehemu ile ya sakafu na kuijenga upya, hali ikawa shwari kwa majuma machache lakini baadae yale madoa yanayojiunga na kutengeneza sura ya mtu yakajirudia tena. 👇👇
Read 6 tweets
Siku 10 tuu Baada ya Filamu ya Cannibal Halocaust Kuachiwa Mwaka 1980 Italia, Director wa Filamu hii Ruggero Deotato Alikamatwa na Serikali kwa Kudhaniwa Kuwa Amewauwa Kweli Washiriki Kama Ilivyoonekana Katika Filamu Hii. Alifungwa Jela, Inatisha, Imefungiwa. #UZI 👇👇
Hii bado ni filamu ya kiitaliano ya kutisha bora sana duniani hadi sasa, inaitwa Cannibal Hallocaust iliyotoka rasmi February 7, 1980 Millan Italia chini ya muongozaji Ruggero Deotato raia wa Italia. 👇👇
Uhalisia uliotumika katika matukio ya kutisha ndani ya filamu hii ulipelekea serikali ya Italia kuamini kua filamu hii ni halisi, haikuigizwa, na mauwaji yaliyofanywa humo yalikuwa ni halisi, hii ilikuwa ni siku 10 tuu baada ya filamu hii kuachiwa. 👇👇
Read 7 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!