Discover and read the best of Twitter Threads about #KISUKARI

Most recents (1)

#DondooZaDaktari | Leo ni siku ya ugonjwa wa KISUKARI duniani #WorldDiabetesDay

➡️Siku maalumu ambayo wanajamii tunaelimishana kuhusu tatizo hili la kiafya.

➡️Tatizo hili linaongezeka na moja ya kisababishi kikuu cha magonjwa ya figo,moyo, upofu na ulemavu wa kupoteza viungo.
#KISUKARI NI NINI?

➡️Kisukari ni ugonjwa wa kudumu ambao hutokea pale kiwango cha sukari (glukosi) katika damu
kipo juu zaidi kutokana na kukosekana au mwili kushindwa kutumia homoni ya insulini

➡️Kiwango cha glukosi kikiwa juu kwa muda mrefu, husababisha madhara katika mwili
➡️Unapokula chakula, mfumo wako wa kumeng’enya hukichakata na kutengeneza glukosi.

➡️Glukosi inapoingia kwenye damu, husababisha kongosho lako kutoa homoni inayoitwa insulini.

➡️Insulini huzunguka mwilini na kuwezesha seli kupata glukosi ili kuitumia kuleta nguvu mwilini.
Read 17 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!