Discover and read the best of Twitter Threads about #KatibaMpya

Most recents (8)

Hili jopo lote la viongozi waliopo kwenye picha hii na wengine wengi ambao hawapo pichani wote wanatumia magari aina ya Toyota Land cruiser V8.

Magari ambayo bei zake ni ghali na pia gharama za matunzo yake pia ni ghali, aidha hutumia mabilioni za fedha 🧵
za kodi za Watanzania maskini.

Wakati matumizi hayo ya hovyo na anasa yakifanywa na viongozi wa serikali ya @ccm_tanzania mamia kwa mamia ya watoto wa walipa kodi wanasomea chini ya miti kutokana na uhaba wa vyumba vya madarasa mashuleni.
Na kama haitoshi watoto wengine wa walipa kodi wanakaa kwenye mawe huku wengine wakikaa kwenye vipande vya tofali vilivyovunjika wakati wanasoma kutokana na uhaba wa madawati.

Haya mambo ya aibu yanatokea kwenye nchi ambayo ina miaka 61 tangu ipate uhuru wake.
Read 20 tweets
BEEF YA KANYE WEST NA JAY - Z
#UZI

Kama ulishawahi kusikiliza ile album ya Kanye kwa jina Graduation bila shaka unaujua wimbo unaitwa 'Big Brother'

Ule ni wimbo spesho kabsa ambao mwana alimuimbia mshkaji wake wa faida (yaani km ile tattoo ya Mondi kwa mmakonde😃)
Ndani ya ule wimbo kuna line inasema 'But he got me out my mama crib'

Kanye hajapiga hustle sana mtaani km wenzake waliotusua kupitia game ya rap

Jamaa ni wa kishua tu, mama'ake (Donda West) alikuwa professor wa chuo kikuu cha Chicago akiwa mkuu wa idara kabisa
...lakini pia Kanye ni mtoto wa pekee kwa mama'ake, ko tunaweza kusema jamaa ni 'mtoto wa mama' dizaini km @mchachu_ hivi😃

Japo mama'ake alikuwa prof., Kanye na shule ni km Zambarau na #KatibaMpya .. hawakupatana kbs. Jamaa ali-drop college ili afukuzie ndoto zake kwa game
Read 24 tweets
Kwa hivyo Tulia anasema Katiba imewakataza Mawaziri na Manaibu kuwa SPIKA. 🧐
Kwa hivyo maadam Naibu Spika hajatajwa yeye anaweza kugombania USPIKA.
Hii ni novel INTERPRETATION ya “Tumbocracy”
Swali:
Rais, DG wa TISS, Majaji, IGP, Rais wa ZNZ, wanaweza kugombania USPIKA?
Katiba inasema mtu yeyote aliyekuwa mshika ofisi iliyowekwa kwa mujib wa SHERIA iliyotungwa na Bunge hawezi kugombania USPIKA. Tulia anasema, ofisi yangu haijatajwa kwenye ib.84(2).
Kama interpretation yake ni sahihi, basi namuomba Rais agombanie USPIKA maana yeye hajatajwa pia.
Kwa interpretation ya Tulia ya in. 84 ya Katiba ya 1977, RAIS hajakatazwa kuwa SPIKA maana hajatajwa. Wallahi viroja.
Juzi alivyosema Rais ni juu ya kila kitu, angemwambia Rais achukuwe Fomu ya USPIKA, ili Tulia aendelee kumtumikia Rais na Spika mpya kama Naibu Spika.
Read 6 tweets
Mchakato wa #KatibaMpya ulianza rasmi mwaka 2011 kwa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Na. 83/2011 na baadaye ikatungwa Sheria nyingine ya Kura ya Maoni Na. 11/2013.

Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ilitamka kuanzishwa kwa ‘TUME’ ya Mabadiliko ya Katiba.
TUME hiyo ilianzishwa chini ya Waziri mkuu wa zamani, Jaji Joseph Sinde Warioba, ikaratibu mchakato wa kukusanya maoni ya wananchi na kuandaa rasimu ya kwanza ya katiba ambayo kupitia uhariri wa Mabaraza ya Katiba ikapatikana Rasimu ya Pili ya Katiba.
Rasimu hii ya pili ambayo ni maarufu kama Rasimu ya Warioba ikawasilishwa kwenye Bunge Maalum la Katiba (BMK) ambalo kwa kiasi kikubwa lilikuwa na wajumbe wengi kutoka Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi -Zanzibar.
Read 6 tweets
MAPINDUZI YA GUINEA TZ🇹🇿 YA SAMIA INACHAKUJIFUNZA

#UZI

Ilianza kama utani Mzee Condé hakuamini kijana wake mwenyewe aliyemlea, mwenye masters ya vita na cheo akampatia alipomwambia "simama juu hlf ukae chini" Unadhani ilikuwa rahisi kumpindua? Naam It's #Guinea:1958-Present👇
Sikuweza kuandika Uzi yalipotokea mapinduzi ktk nchi nyingine mbalimbali, lkn kwa yaliyotokea jumapili nchini Guinea nimeona niandike ili Watanzania tuone km kuna lolote la kujifunza. Nitaangazia upande wa kisiasa tu. Nitachambua kila kitu kuanzia uhuru hadi kutokea mapinduzi.
Maswali nayotaka kukujibu km ulijiuliza ni haya:👇

💨Historia ya Guinea ikoje?

💨Kwnn mpk mapinduzi?

💨Col. Doumbouya ana nguvu gani

💨Kwann wananchi wamefurahia?

History repeats itself, 1st as Tragedy, second as Farce.
Just retweet 🔄 huenda siku
Uzi huu ukakukumbusha kitu
Read 211 tweets
Mambo muhimu 3 ili kupata ushindi kabla ya kuanzisha mchakato wowote kisiasa.

1. Jua wakati sahihi wa kupigana na ni lini usipigane.

2. Jiandae, toa elimu kwa umma kujenga uelewa wa kile unataka kupigania.

3. Chukua maoni juu ya utayari wa umma kwa kile unachotaka kupigania.
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hawakufuata mambo hayo muhimu kabla ya kuanzisha mchakato wa kudai #KatibaMpya
Ukweli usiofichika Katiba Mpya ni muhimu sana lakini ni lazima kuwe na ushirikishwaji wa wadau wote wa siasa na wananchi katika mchakato wa kuidai.
Hatua ya kwanza muhimu ambayo CHADEMA walipaswa kuanzia ni kujiuliza swali kwamba huu ni wakati sahihi wa kupigania Katiba Mpya au kuanza kutoa Elimu ya Katiba Mpya kwa umma ili kujenga uelewa?
Kisha wangeanza ‘inter-parties dialogue’ shirikisha wadau wengine na wananchi.
Read 6 tweets
by the time @ChademaTz announced that they were going to organize the #KatibaMpya conference today, after the useless @tanpol stopped them from doing so on July 17, other opposition parties and CSOs should have flown to Mwanza to show solidarity. they never did that.
it is as if it is only CHADEMA that’s concerned about #KatibaMpya in this country. by being alone on the war front, CHADEMA becomes the weakest prey to the fascistic hyenas of CCM and it’s Nazi-styled security apparatuses.
here is a perfect opportunity to demand #KatibaMpya, if you think the cause is good, what stops you from standing together with those already on the ground, risking it all in order to fight for something that you think is worth fighting for?
Read 4 tweets
MAUAJI YA RAIS WA HAITI

#OnJuly07, 2020 🇭🇹

#Story ina part A na B

📋Historia ya Haiti

📋Mauaji ya Rais @moisejovenel

👩‍💻Unajua tangu ipate uhuru imeongozwa zaidi ya marais 49, kati yao 9 ndio walimaliza vipndi vyao bila kupinduliwa/kuuawa wakiwa madarakani?
#Thread|Story🕒👇 ImageImageImage
Usiku Julai 7 watu wenye silaha walivamia makazi binafsi Rais @moisejovenel wa Haiti na kumuuawa. N MAUAJI yaliyoshtua Haiti, ingawa bado haijulikani nani aliyeajiri wauaji na kwanini, lkn mercenaries wa Colombia na Marekani walikamatwa kufuatia mauaji yale.
RT iwafikie wengi👇
Turn on Notification..

Naona 📱 iko Low baada ya nusu saa hv nitarudi kukiwasha.

Hii nchi ni mapinduzi, kuuawa, kutiwa sumu ukiwa madarakani mpk le👇 ImageImage
Read 322 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!