Discover and read the best of Twitter Threads about #KwaUfupi

Most recents (3)

WHO is '๐“๐€๐‹๐ˆ๐๐€๐'? WANATAKA NINI HASA AFGHANISTAN?

#๐•ฟ๐–๐–—๐–Š๐–†๐–‰:
Ifahamike, walikuwa yatima ktk kambi za wakimbizi Pakistan.
Je, wana uhusiano na AL-QAEDA? #Tragedy:UINGEREZA & URUSI kuchezea kipigo cha Mbwakoko.
โœด๏ธChimbuko
๐Ÿ“กWalio nyuma yao?
๐Ÿ“‹Tofauti yao na MUJAHIDINA..
Vita vya Marekani nchini Afghanistan vimedumu kwa takribani miaka 20. Nimeona watu wengi wakitoa maoni juu ya Jeshi la TALIBANI kuchukua nchi Lkn wengi hawana historia juu yake. Wengine wanasema Rais wa Marekani @JoeBiden mefanya 'makosa' kuondoa majeshi yake.
BIG NO __Hapana.
Wengi tusichojua ni kwamba, huu ulikuwa ni uhalifu wa kivita na DICK CHENEY, aliyekuwa Vice President wa G. W BUSH na DONALD RUMSFELD, Kiongozi Mkuu wa Ulinzi kipindi cha Vita ya IRAQ (alishafariki), ndio walioiingiza Marekani kwenye shida hii unaiona Leo, kisa wanamtafuta OSAMA
Read 114 tweets
MAUAJI YA RAIS WA HAITI

#OnJuly07, 2020 ๐Ÿ‡ญ๐Ÿ‡น

#Story ina part A na B

๐Ÿ“‹Historia ya Haiti

๐Ÿ“‹Mauaji ya Rais @moisejovenel

๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿ’ปUnajua tangu ipate uhuru imeongozwa zaidi ya marais 49, kati yao 9 ndio walimaliza vipndi vyao bila kupinduliwa/kuuawa wakiwa madarakani?
#Thread|Story๐Ÿ•’๐Ÿ‘‡ ImageImageImage
Usiku Julai 7 watu wenye silaha walivamia makazi binafsi Rais @moisejovenel wa Haiti na kumuuawa. N MAUAJI yaliyoshtua Haiti, ingawa bado haijulikani nani aliyeajiri wauaji na kwanini, lkn mercenaries wa Colombia na Marekani walikamatwa kufuatia mauaji yale.
RT iwafikie wengi๐Ÿ‘‡
Turn on Notification..

Naona ๐Ÿ“ฑ iko Low baada ya nusu saa hv nitarudi kukiwasha.

Hii nchi ni mapinduzi, kuuawa, kutiwa sumu ukiwa madarakani mpk le๐Ÿ‘‡ ImageImage
Read 322 tweets
On This Day

TWA FLIGHT 800 ๐Ÿ˜ญ
#RIP !!
#The aviation disaster, a Europe-bound Boeing 747, Exploded and Crashed off Long Island,NY

#Thread|StoryTime
#AllpeopleDied
๐Ÿ“œGaddafi, SADDAM HUSEIN wahusishwa | kwa upande wa USA ulikuwa usiku usiosahaulika.

RT @omari_manyama let's go๐Ÿ‘‡ ImageImageImage
#Ikiwa ni dakika 12 tu baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa John F. Kennedy (JFKIA) uliopo mjini New York, ndege [TWA FLIGHT 800] iliyokuwa ikielekea Italia kupitia Paris ililipuka ghafla juu ya Bahari ya Atlantiki na kuua watu wote 230 waliokuwemo ndani ya ndege Image
Tukio hili lilitokea Trh km ya Leo majira ya saa 02:31 usiku Jumatano mnamo Julai 17, 1966, ambapo ndege hiyo kubwa ya masafa marefu aina ya BOEING 747 alimaarufu TWA FLIGHT 800 ya kampuni ya Trans World Airlines [TWA] ililiripuka karibu na pwani ya Long Island na kuua watu wote. Image
Read 24 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!