Discover and read the best of Twitter Threads about #MGANGA_PAZI

Most recents (1)

Unamjua #MGANGA_PAZI Wewee...😂🤣😂????

#UZI

Wakati ule wa enzi za usultani na ufalme, kulikuwa na nchi moja iliyoitwa Mkira.

Katika nchi hiyo, aliishi mtu mmoja aliyeitwa #Pazi. Mtu huyu alikuwa fukara sana lakini hakuridhika na hali hiyo.
Katika kufikiria mbinu itakayomfanya awe tajiri, aliamua ajifanye mgangd. Baada ya uamuzi huo, alipita kila sehemu akijitangaza.

Alitangaza kwehye masoko, mashamba, mdchungoni mpaka visiwani kuwa yeye ni mganga hodari, asiyeshindwa na lolote.
Wakati huo hakukuwa na hospitali wala madokta,shughuli zote za tiba zilifanywa na waganga.Ukunga ulifanywa na wakunga ambao siku hizi tunawaita waganga wa kienyeji

Habari za mtu aliyekuwa akijitangaza kuwa mganga hodari asiyeshindwa lolote, zilimfikia Mfalme wa nchi ya Mkira.
Read 30 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!