Discover and read the best of Twitter Threads about #MMM

Most recents (16)

“Shujaa Mvuvi — Muokoaji”

Majaliwa Jackson (Maja Munyama), mvuvi wa dagaa anasema alipoona ndege imetua ndani ya maji (kutoka upande wa Kyaka) isivyo kawaida, kwa kuwa ilikuwa asubuhi, saa 8:53 EAT, aliwasanua wenzake waliokuwa na mtumbwi mdogo, walipiga kasia hadi kwenye ndege.
Majaliwa anasema alipofika kwenye ndege, alikuta watu wakijadili jinsi ya kuingia ndani kutoa msaada, lakini mlango umejifunga (locked). Majaliwa akatumia kasia yake, akapiga, mlango ukafunguka, watu wakaanza kuokolewa kupitia mlango huo. Majaliwa akahamia upande wa rubani.
Majaliwa akazama hadi kwa rubani, captain Baruhani Rubaga akaonyesha ishara, abomoe kioo, akafuata shoka, walinzi wakampa, sauti ya mamlaka kutoka katika kipaza sauti, kikamzuia, asithubutu. Kwanini? kwamba rubani wanawasiliana kwenye simu zao, yupo salama, maji hayajafika kwake.
Read 6 tweets
"MAKUBALIANO YA FEDHEHA"

Julai 2019 Barrick Gold corporation ilinunua kampuni ya ACACIA Mining Plc kwa $428M. Hii ni baada ya mjadala wa muda mrefu kati ya BARRICK na ACACIA takribani miezi 5 ya mazungumzo BARRICK na ACACIA wakakubaliana thamani ya kampuni ya ACACIA ni $951M
Awali majadiliano kati ya serikali na BARRICK yaliyofanyika Tanzania yaligomewa na ACACIA na wanahisa wengine wa ACACIA ambao wanamiliki karibu 36% ya hisa zote za ACACIA. Serikali iligoma kwenda mezani na ACACIA, wakaamua kukaa na BARRICK Gold Corporation
Utaratibu wa wanahisa ndani ya ACACIA ni tofauti na kampuni nyingi, BARRICK ambaye ana hisa nyingi (74%) haingii kwenye mjadala kujadili makubaliano yake na serikali dhidi ya ACACIA. Wanahisa wengine wanayo nguvu ya kuweza kukataa mapendekezo ya BARRICK.
Read 25 tweets
#ElezioniPolitiche2022 #italyelection to understand the results, here is a🧵on the electoral system. The radical right is performing well not because of PR but due to first-past-the-post. #ElectoralSystem

1/19
Italy has a system of #perfectbicameralism Senate and Chamber are equal. A gov needs the confidence of both chambers; legislation needs approval of both. Gov may also be no-confidenced by just one of the two chambers, a rule that adds to government instability in Italy.

2/19
The Chamber has 400 members, 147 elected by first-past-the-post (#FPTP) in single member constituencies, and 245 elected by proportionality across the country.

3/19
Read 19 tweets
Naam! Kazi muhimu ya chama cha upinzani katika nchi ya kidemokrasia yenye mfumo wa vyama vingi vya siasa ni kuikosoa serikali iliyopo madarakani. Jukumu la kumwaga pongezi lifanywe na tabaka dola na wafuasi wao. Wapinzani wafanye kazi ya kunadi sera zao mbadala kwa umma. #MMM
Hoja za wapinzani zijibiwe kwa hoja. Viongozi wasitoke kuwatishia au kutoa maagizo ya kuwakamata wapinzani wao kwa sababu wanaikosoa serikali iliyopo madarakani. Huo ni wajibu wa upinzani timamu. Hoja zijibiwe kwa hoja. Kiongozi huwezi kujibu hoja za wapinzani, jikaushe #MMM
Baada ya serikali kukusanya kodi, inatakiwa maendeleo ya kijamii yaonekane kwa macho. Wapinzani wa watawala mtapaswa kuhoji kwanini hakuna maendeleo? Mkianza kuwasifu watawala mnapoteza uhalali mbele ya umma na mtaadhibiwa kihalali katika uchaguzi kama sehemu ya dola. #MMM
Read 3 tweets
February 2018, Kampuni za umeme, Australia zilitakiwa kulipa fidia kwa wakazi wa jimbo la Victoria, nchini Australia waliothirika kwa kukosa umeme, malipo ya $180 kutegemeana na muda ambao 'nyumba ilikosa umeme'. Zilitengwa $5M. Umeme ulikatika kati ya saa 3-20.
Huku kwetu, umeme unakatwa bila taarifa, hakuna anaejali, ni wewe mwananchi kujitetea tena ukibembeleza waurudishe. Vinyozi, wachomelea vyuma, mafundi aluminum, wachapaji, banks etc hasara ni zao sio vinginevyo, nani wa kuwatetea? Nani wa kuwalipa fidia kwa hasara yao?
Serikali iruhusu uwekezaji wa kampuni binafsi za kutoa huduma za umeme, TANESCO ni kama wameshindwa hii kazi kabisa. Nchi inakosa umeme tangu asubuhi hadi usiku? Mnajichekesha tu.. Nchi yetu tumekabidhi kwa watu wasiokuwa na sera, mikakati na blueprint za kuendesha nchi.
Read 15 tweets
Zambia walichagua bilionea wao kuwa Rais. Hakainde Hichilema, HH - “Bally”, Wanamuita “cattle boy” anatajwa kuwa bilionea mkubwa Zambia. Anamiliki ranchi nambari mbili kwa ukubwa nchini Zambia. HH ana utajiri wa zaidi ya US$389M. Wengine tukomae na “watoza ushuru” wenye vilemba.
Hakainde Hichilema ni MFUGAJI mkubwa,pia anafanya shughuli za kilimo cha mahindi. Hichilema anashika nambari mbili nchini Zambia kwa kusafirisha nyama baada ya ZAMBEEF. Anasema alianza na ng’ombe 6 na sasa anao ng’ombe zaidi ya milioni 5.
July 2013 katika ranchi yake iliyopo wilaya ya Namwala, jimbo la Kusini, aliibiwa ng’ombe wake zaidi ya 500. Hii mwaka 2013 ilikuwa na thamani Kwacha Bilioni 1. Shamba hilo lipo chini ya kampuni ya HH FARMS Ltd. Huyu ni mfugaji mkubwa. Bilionea.
Read 10 tweets
Mwaka 2013 Club Billicanas ilifunguliwa baada ya ukarabati wa gharama kufanyika. Ilikuwa ni uwezo wako wa kunywa/kula siku hiyo. Freeman Mbowe alilipa bili zote. 2015 anaingia mwendazake madarakani, anaanza vibweka, 2017 BILLZ inavunjwa kwa unyama. Mwendazake alikuwa katili sana.
Picha ya kwanza Club BILLZ ikiwa na uhai wake. Show kubwa za wasanii wa ‘bongo fleva’ zilifanyika hapo. Frame ya pili ni baada ya Club Billicanas kubomolewa kwa hila tu, sababu nyingi zikiwa za kisiasa. Watu wengi wakakosa ajira. Eneo hilo sasa ni parking tu ya magari. Roho mbaya
Mbowe Hotels ambao walikuwa wapangaji wa muda mrefu kwenye jengo hilo ambapo mbali ya kuendesha Club Bilicanas pia kulikuwa na ofisi za gazeti la Tanzania Daima. Mwendazake alibomoa na hakujali mali na samani zilizokuwa ndani. Ilikuwa ni mbaya sana. Uharibifu ulikuwa mkubwa.
Read 10 tweets
SINOHYDRO Corporation LTD wamepewa zabuni kujenga mradi wa mwendokadi BRT-3 Gongo la Mboto-Kariakoo (23.6km) kwa $148.1M na wamepewa zabuni hiyo bila ushindani (single source), wakati ujenzi wa BRT 2 (Gerezani -Mbagala) 20.3km wamejenga chini ya kiwango. Hawa wachina wameturoga?
Zingatia, huo ni mkopo kutoka benki ya Dunia (WB). Na serikali ya Tanzania imekopeshwa $246.7 million kwa ajili ya ujenzi wa BRT-3 ($148.1 million) na BRT-4 ($99.9 million). Wanazo. Wakati huo DART wametumia $2.46 million to 77 kulipa wakazi kupisha ujenzi wa 23.6km kwa BRT-3
BRT-1 ni 21km ilijengwa na STRABAG international GmbH, Kimara kwenda Kivukoni, Morocco, Gerezani kupitia Ubungo, ulikuwa mkopo wa AfDB na WB na $154M. Lakini sasa BRT-2 na BRT-3 wamepewa SINOHYDRO ambao BRT-2 wamejenga chini ya kiwango na baadhi ya sehemu barabara imeharibika.
Read 10 tweets
ROSA MISTIKA!

Riwaya iliandikwa na Euphrase Kezilahabi na kuchapishwa January 1, 1971, ni kitabu SERIKALI ya Nyerere ilikipiga marufuku sababu zikitajwa maudhui yake yalikuwa ni yenye kudhalilisha (haikuthibitishwa) ukatoliki. Dhehebu ambalo Mwalimu Nyerere alikuwa muumini huko
Watu wanajiuliza, endapo katika riwaya hiyo lingetumika jina la "MwanaAsha" kubeba taswira ya binti Rosa, wakatoliki akiwepo Mwalimu Nyerere wangelikasirika na kuzuia uchapishwaji wa riwaya hiyo ya Euphrase Kezilahabi? Maswali tu, tunajiuliza!
Kanisa katoliki pia likalalamika kwamba Mistika ni moja wapo kati ya sifa za Bikira Maria Mtakatifu (mama wa Yesu). Hivyo ni udhalilishaji kumpa Rosa jina hilo katika riwaya hiyo kwa sababu ni mchafu wa matendo kiwango cha juu katika riwaya hiyo.
Read 16 tweets
Il secondo #Thread di oggi riguarderà un signore di nome #DUGIN, il capo della Rep. di #Donetsk #Pushilin e P. #Gubarev ex capo di Stato della #RepubblicaPopolare di #Donetsk
[1diN]
Questo perchè, dopo aver ascoltato tante accuse di "#nazismo" rivolte ad un popolo (gli ucraini), è necessario iniziare a fare un po' di ordine.
Sul battaglione #WAGNER, che combatte insieme ai #Jihadisti in #Mali e #Centrafrica [2diN]
vedi anche ilsussidiario.net/news/russia-in… e che combatte in #Ucraina è già stato detto molto. E solo un sordo può ostinarsi a non capire che #wagner sia un #battaglione ispirato a principi di estrema destra, come del resto lo è #Azov. [3diN]
Read 25 tweets
Hapa ni Ziwa Victoria, eneo la katikati ya Musoma na Kinesi, hapa ndipo unapopita mkondo wa Mto Mara, unaoingiza maji yake Ziwa Victoria. Unaweza kuona maji yalivyokuwa rangi nyeusi. Nitaeleza baadhi ya mambo kwa kifupi sana.

Nakala kwa @SuluhuSamia na wote wanaohusika
Mto Mara unatiririsha maji yake kutoa katika milima ya Mau iliyopo nchini Kenya na baadaye kuingia Tanzania kuanzia katika Wilaya za Serengeti, kuingia wilaya ya Tarime, unakatiza katika wilaya ya Butiama na Wilaya Rorya kabla ya kuingiza maji yake katika Ziwa Victoria.
Kirumi, Ryamisanga, Kitasakwa (Butiama), Kwibuse, Kwibwe, Bisarwi, Kuruya (Rorya), Nyabichume, Matongo, Nyamongo, Bisarwi, Mrito (Tarime) ni sehemu ambazo zinatumia maji ya mto Mara na kwa namna moja ama nyingine vimeathirika kwa maji hayo kuchafuliwa kwa utando huo wa mafuta.
Read 25 tweets
Hellow @SuluhuSamia Shikamoo!

How are you madam president?

These are my season's Greetings to you and yours as well. May 2022 be better for all of us. 2022 the year in which we need to refine ourselves, because it’s another year of struggle for existence. Let's talk now!
Madam President, today I come to you with great humility, but not diffidence, as an ordinary citizen of this beloved land. I will try to use my very vertical percipience, prudence and sagacity to try speak out, and I hope you will hand-pick these writings in a very positive way.
President Samia, you became an instant star and for a time, the hashtag with your names toured and trended on Twitter (mostly) and other social media platforms. Why?You appeared to offer new hope to this country after the quietus of the late John Pombe Magufuli. What happened?
Read 28 tweets
Friday the 9th will be day one of Around Australian journey across the top first via Longreach! #Tesla #roundaustralia #electricfuture Image
Just started a leisurely lap of Oz from Cairns. Lunch in Townsville at The Australian Hotel. Free charger across the road then onto Mackay #Tesla #RoundAustralia ImageImage
Mackay to Emerald today on the most boring road on the Bruce HWY. thanks #autopilot #Tesla Thanks Scanlon’s for a lovely stay 😀 ImageImageImage
Read 64 tweets
Analysis: #NYSE $MMM

Case 215 #3M Company

DISCLAIMER: The analysis is strictly for educational purposes and should not be construed as an invitation to trade.

#MMM 1/4
Chart 1
Weekly Chart: The outlook is very #bearish as pivot support at 133.50 and Fib. 0.618 at 129.34 have been completely eroded and price is now free to target the old #pivot resistance 97.80 then the #Fib 0.786 at .....

MMM 2/4
..... 93.88. A close below 83.00 will see price set sight on the major #support zone 72.90-58.00 were we expect strong buying interest. To the upside major #resistance sits at the 154.90-162.30 zone.

MMM 3/4
Read 4 tweets
Happy New Year from Temecula! Glad we are still here. Let 2020 be a good year! #happynewyear2020 #HappyNewYear @PonteWinery Image
Thanks for a delicious NYE dinner @PonteWinery last night! #happynewyear2020 #NYECelebration Image
Including dessert! Cinnamon bread pudding. #mmm #NYECelebration Image
Read 3 tweets
Anyone else doing some weekend reading of the #Gutenberg #accessibility audit report?

wpcampus.org/2019/05/gutenb…

#WordPress #a11y A screenshot of the cover page for the Gutenberg Accessibility Audit Report. Gutenberg is the new WordPress editor.
I’m going through and taking notes. The report is fascinating.

Seriously taken aback at page 5 of the UX report.
Time for the last document, and main event: the 329 page long-form technical report describing the logged issues in detail.
Read 62 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!