Discover and read the best of Twitter Threads about #MpangoWaBei

Most recents (1)

Watu wengi wamejikuta wanaanza biashara au ujasiriamali kama chaguzi la mwisho baada ya kukosa kazi, mtaji au kuajiriwa.
Hivyo wengi wanajikuta wapo katika kujiajiri wakikosa maarifa sahihi katika kufanya na kuendeleza Biashara. UZI Huu utakusaidia kufikiria katika KUPANGA BEI. Image
KUPANGA BEI

1.Moja ya changamoto kubwa kwa wajasiriamali na wafanya biashara wengi ni katika kumiliki soko ni upangaji wa bei za bidhaa au huduma. #MpangoWaBei @Mkuruzenzi Image
2.Kupanga Bei ni sayansi na hesabu lakini pia ni Sanaa ya biashara. Bila kujua sayansi ya upangaji bei, Sanaa katika kuweka mfumo wa uhimilivu na hesabu katika gharama za uzalishaji basi lazima ushindwe kubakia Sokoni. Image
Read 14 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!