Discover and read the best of Twitter Threads about #SanukaNaChapo

Most recents (11)

Nimefanikiwa kunyaka copies za mkataba wa wasanii hawa na Konde Gang unaonyesha kuwa wote kwa pamoja walikubaliana kutofata masharti ya mkataba wao hasa kifungu namba 15(a)(b)(c) cha mkataba wao wa tarehe 31/08/2020.

🧵shuka nao👇 Image
Stori kamili iko hivi…
Kumbuka wasanii hawa waliingia mkataba wa miaka 10 na lebo hiyo tajwa hapo juu
na endapo Kama Konde Gang wangevunja mkataba na moja ya wasanii hao basi walipaswa kumlipa kiasi cha milioni 10 kama fidia.

Ikumbukwe Konde Gang ndiyo iliomba kusitisha mkataba Image
na wasanii hao, waliwaita chini na kukubaliana kuwa mkataba uvunjwe kwani lebo hiyo haikuwa na haja ya kuendelea na wasanii hao, wasanii waliomba kama mkataba ungevunjwa basi vipengele muhimu vizingatiwe ikiwemo fidia ya pesa.

Wasanii wao kupitia mwanasheria wao walitinga Image
Read 7 tweets
ZUCHU ALIVYOMPA CONNECTION DIAMOND KWA MPOMPO.

Mwezi wa 4 mwaka huu ilirekodiwa ngoma ya Zuchu ft. Adenkule Gold, Love, hii ngoma ishatoka na tukaizungumzia kidogo hapa ila hilo si swala, nachotaka kukusanua ni kwamba 👇

🧵 Image
Namna wimbo wa Sona wa Diamond Platnumz ft Adekule ulizaliwa, yani bila Zuchu kufanya hii kolabo ya Lobe na Adenkule basi Diamond asingefakisha Sona kwa urahisi Sona.

Kabla sijaendelea nakukumbusha kupitia @usedpointTz kuna laptop na simu za bei nafuu sana.

Shuka nayoo👇 Image
Zuchu alikuwa na ushikaji na Adenkule, kuna kipindi Ade alikuwa ana comment kwenye posts za Zuchu kama celebs wengine wa Naija, mazoea yakaongeza ukaribu baina yao hao wawili

Kwahiyo huo ndio ukawa mwanzo wa kupatikana kwa wimbo wa Sona wa Diamond, sababu ni Zuchu ndiye alieye Image
Read 4 tweets
MSANII WA HIPHOP ‘CLASS’ ALIEKATAA DILI LA MILIONI 300.

Wakati msanii wa Hiphop “class” anaachia ngoma yake pendwa alikuwa on top kiasi cha kukataa show kibao kutokana na ufinyu wa muda yani jamaa ilifika kipindi anafanya show leo na kesho ana show 👇#UZI Image
Sehemu nyengine yani back to back, kwa mujibu wa meneja wake anadai jamaa aliwai kataa show ya milioni 16 😳.

Ikafika kipindi kampuni ya simu ya TigoU katika nchi ya Stanza ilimtaka jamaa awe balozi wa kampuni yao na dau lao lilikiwa milioni 300 kwa mwaka 😋.

Japo jamaa 👇 Image
Alikubali ila baada ya kusikia kuwa mchekeshaji ambae ni balozi wa kampuni hiyo analipwa 300M kwenye mkataba wake jamaa akataka dau kubwa zaidi hapo ndipo waliposhindwana na kampuni ya simu ikaona single moja haiwezi kuwa na thamani ya zaidi ya 300M bora tu waachane nae, yaani👇 Image
Read 5 tweets
SARAPHINA WA BSS

Nimemsikiliza mikwaju yake mipya kadhaa, itoshe kusema ni msanii wa kumuangalia sana 2022 ana hela zake nyingi.

Ni full package ya msanii, anajua kuimba,kucheza na kutawala jukwaa na kingereza kimelala, hata siku akifanikiwa kwenda kimataifa haitaji👇#UZI
RASI SIMBA wakumfundisha kinge.

Bongo fleva ina uhaba wa wasanii wakali wa kike yaani wanahesabika kabisa na hawazidi hata 10 hivyo ujio wake Saraphina itoshe kusema sio tu anaongeza namba ya wasanii wa kike kwenye kiwanda bali anaongeza ushindani na list ya wasanii wa kali.👇
Nikisikia nyimbo zake kama SIO KITOTO,SINGO,IN LOVE na SITAKI TENA unamsikia Vanessa Mdee kwa mbali hii inanifanya masikio yangu yanayo miss ngoma za V-Money yapate tiba kutoka kwa Saraphina.

Kwasasa Saraphina yupo chini ya Maneja mwenye uzoefu na muziki wa bongo anaejulikana👇
Read 4 tweets
“NILIPEWA GARI ILI NISITOE STORY ZA WASAFI”

Kuna kauli wasanii wanapenda kuitumia kuwa “Wasanii wenyewe hatupendani” hii kauli wala si utani ni ukweli kabisa kuwa muziki wa Bongo Fleva licha ya kukuwa na kuanza kuwanufaisha wasanii ila vita imekuwa kubwa kila mtu anataka👇UZI
Keki kubwa zaidi ya mwengine kupelekea chuki,uongo,fitna na kurogana ila bahati nzuri bado hawajafikia kuuwana 😂.

Nataka leo nikusimulie kisa cha msanii wa Bongo Fleva kutaka kuwekeza kwenye online Tv kwa sharti moja tu wasitangaze habari za wasafi😳👇
Labda nikuweke sawa waandishi wa habari wanapenda sana hela wao hela kwanza kabla ya kazi yako, wako tuyari waje kufanya coverage ya mkutano wako ila usipowapa bahasha juwa tu hawatorusha tukio lako, nimefanya kazi na waandishi kwa ukaribu kwa zaidi ya miaka mi3 sasa, wana 👇
Read 8 tweets
MSANII WA BONGO FLEVA ALIYEPEWA KESI YA KUBAKA.

Mwaka 2004/2005 kama kumbukumbu zangu ziko sawa(kipindi hujaja mjini 😂) msanii wa Bongo Fleva aliachia ngoma iliyogeuka kuwa ngoma ya Taifa kila mtaa uliimba hiyo nyimbo, hata leo ikipigwa hiyo ngoma lazima uinuke ucheze.👇 UZI Image
Jamaa aliamua kuacha kazi na ku deal na muziki kama full time job(mchizi alianza kutumia unga zamani sana) akiwa Club Moja iliyochangamka inayowakutanisha watoto wa Masaki,Kinondoni,Mikocheni,Upanga na Msasani binti mmoja kwa jina la Vero(sio jina lake halisi) alizimika na 👇 Image
Msanii huyo, huyu binti alikuwa form 2 kipindi hicho akiwa anasoma shule ya sekondari ya kishua kidogo ile wanayovaa nguo za rangi ya damu ya mzee chini na juu shati zao nyeupe ila kama chafu(waliamua tu kujitofautisha na watoto wa umbwa 😀)

Turudi kwenye kisa hasa cha story👇 Image
Read 9 tweets
Lulu Diva ameachia video yake mpya aliyomshirikisha mzee mbuzi Fid Q kutoka kwenye EP yake ya three some inayoenda kwa jina la ‘Gugugaga’

Ila usichojua ni kuwa ilimchukua ugumu sana Fid Q kukubali kufanya ngoma na Lulu Diva, alikataa ngoma zaido ya tatu alizowai kutumiwa ila
Baada ya kutumiwa Gugugaga mzee mbuzi alikubali kiulaini sababu alizimika na mdundo na idea ya ngoma.

Uzuri wa kichupa hiki Fid katokea kibishow sana na my favourite scene ni ile waliyovaa nguo nyeupe waliwaka sana, japo Ngosha ni ngosha tu alikuwa...
Alikuwa anajishtukia kumshika mtoto Diva kimahaba 😂😂
Audio kafanya S2kizzy,mixing ni ya eyoo Laizer wakati kichupa ni cha kwetu studio
Umeicheki video vipi unaizungumziaje?

Ila Diva ni😋Kama hujaicheki unaweza icheki hapa👉

#SanukaNaChapo #ChapoWasHere
Read 4 tweets
Hivi Harmonize kwenye kumtambulisha Ibrah alihitaji kuandika gazeti lote lile?

Harmonize anahitaji subra na uvumilivu kwenye hiki kipindi hawezi kufanya vingi kwa wakati mmoja kama anavyotaka

Niliandika miezi kadhaa nyuma kuwa kinacho mcost Harmonize ni watu waliokuwa
Nyuma yake nikiwa na maana kwamba ukiachana na Jembe ni Jembe ambae ni mfanya biashara zaidi hakuna manager menye uzoefu na mwenye sauti juu ya Harmonize

Hii pia iko kwa KIBA hakuna mtu mwenye sauti juu yake so mara nyingi msanii anakuwa jeshi la mtu mmoja wale wanyuma yake
Kazi yao inakuwa kumsupport badala ya kumshauri.

Inasemekena kuwa WCB Sallam SK anaweza kuzinguana na Diamond hata wiki mbili wasiongee sababu tu Manager ameshikilia msimamo juu ya jambo fulani na Diamond hataki mpaka mwisho wanapata solution

Mjerumani anaweza? Chopa anaweza?u
Read 6 tweets
#5zaChapo leo tupo na Nahreel producer na msanii kutoka kundi la Navy Kenzo karibu.

1. Nahreel anatokea familia yakishua jina lake halisi ni Emanuel mkono na inasemekana baba yake ni Nimrod Mkono Mbunge wa CCM jimbo la Musoma vijijini ambae pia ni mmiliki 👇
Wa kampuni kubwa ya mawakili Mkono & Co. Advocates ambayo iliwai kuwa washauri wa kampuni ya umeme ya Tanzania tangu mwaka 1995 na inakadiriwa kuwa ililipwa takribani bilioni 18. Japo inasemekana pia sio baba yake mzazi bali baba yake mkubwa.
2. Nahreel aliwai kuingia kwenye bifu na Chin bees ambae aliwai kuwa The Industry, kama una kumbukumbu ushawai sikia mdundo 2013 unaoitwa “let me know” ambayo Chin bees alimshirikisha Nahreel na Aika(Navy Kenzo) ila badae walikuja kuzinguana, Chin bees huyu mnaemchukulia poa na
Read 19 tweets
SABABU KWANINI HARMONIZE AMEONDOKA WCB

Ikiwa imepita miezi kadhaa tangu Harmonize aondoke WCB kumekuwa na sitofahamu nyingi kuhusu kwanini konde boy ameondoka WCB

Tuwekane sawa kidogo inekuwa ngumu sana kuujua ukweli kwasababu sio WCB wala Harmonize amekuwa tayari
Kulizungumzia hili sababu zao binafsi huku WCB kama taasisi inalinda siri za kibiashara huku Harmonize akilinda heshima yake asije kuonekana mbaya kwa mashabiki lundo wa WCB(public sympath)

Swali linabaki kwanini aliondoka WCB?
WCB ikiwa recording lebel kubwa na ikiwa na kila kitu nikiwa namaanisha kifedha,managers wenye uzoefu mkubwa wa zaidi ya miaka 20 kwenye game ya kiwanda cha bongo fleva huku wakiwa na ushawishi mkubwa wa kumfanya msanii mdogo kuwa mkubwa ndani ya siku moja pamoja na
Read 58 tweets
BIFU LA GOODLUCK GOZBERT NA MO MUSIC

Nikiwa gheto mwaka 2014 niliona ngoma ya kijana mwenye sauti nzuri mithiri ya Marlaw kwa TV

Nikajiuliza huyu ni nani nikagundua ni mshikaji anaitwa Mo Music

Ile video ngoma iliitwa ‘basi nenda’ ikiwa

#THREAD
👇👇👇
Imefanyiwa kichupa na Adam Juma .

Ile ngoma ilitikisa sana radio na TV za bongo na Mo Music alijivunia mashabiki wengi naweza sema kwa lugha nyengine kuwa ‘basi nenda ‘ ilikuwa ngoma ya Taifa.

Kama show basi zilikuwa nyingi mno alizinguka mikoa mingi bongo

Ni mshikaji kutoka
Kipande cha mwanza kwakina Lubasha na zack

Wakati anaachia ngoma ya ‘basi nenda alikuwa bado mwanafunzi akiwa anasomea degree yake ya ‘public relation and marketing’ katika chuo cha mtakatifu Agustino Mwanza.

Alipata tabu sana akiwa chuo kama unavyojua ukiwa star mambo ishu za
Read 11 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!