Discover and read the best of Twitter Threads about #Tafadhali

Most recents (2)

Barabarani, unakutana na mwanamke mchuuzi masikini mwenye *mtoto mgongoni,* unashusha kioo cha gari lako na kumuuliza kwa sauti ya kijeshi:

"Unauza bei gani hivyo vitunguu na hizo ndizi?" Muuzaji masikini *kwa upole anakujibu "shilingi elfu moja kwa kichane cha ndizi,....
na elfu moja kwa fungu la vitunguu."* Kwa kiburi unamwambia unahitaji kichane cha ndizi kwa shilingi mia tano na fungu la vitunguu kwa shilingi mia tano, au vinginevyo haununui.

Muuzaji masikini anakubaliana na hali na kukujibu, *"Chukua tu kwa bei unayotaka,........
sijauza chochote tangu asubuhi,* walau sasa nipate cha kununulia watoto chakula cha usiku."

*Amepata hasara, lakini zaidi anaenda kukununulia pia mfuko wa kuweka bidhaa hizi ulizo nunua.* Unamwagiza afanye haraka vinginevyo utabadili mawazo........
Read 9 tweets
MAUAJI YA RAIS WA HAITI

#OnJuly07, 2020 🇭🇹

#Story ina part A na B

📋Historia ya Haiti

📋Mauaji ya Rais @moisejovenel

👩‍💻Unajua tangu ipate uhuru imeongozwa zaidi ya marais 49, kati yao 9 ndio walimaliza vipndi vyao bila kupinduliwa/kuuawa wakiwa madarakani?
#Thread|Story🕒👇 ImageImageImage
Usiku Julai 7 watu wenye silaha walivamia makazi binafsi Rais @moisejovenel wa Haiti na kumuuawa. N MAUAJI yaliyoshtua Haiti, ingawa bado haijulikani nani aliyeajiri wauaji na kwanini, lkn mercenaries wa Colombia na Marekani walikamatwa kufuatia mauaji yale.
RT iwafikie wengi👇
Turn on Notification..

Naona 📱 iko Low baada ya nusu saa hv nitarudi kukiwasha.

Hii nchi ni mapinduzi, kuuawa, kutiwa sumu ukiwa madarakani mpk le👇 ImageImage
Read 322 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!