Discover and read the best of Twitter Threads about #TravStories

Most recents (1)

UZI: HUWA SIPIGI WEZI KWASABABU HII...👇
😥Wakati nimefika AYA Sec 2007 Kondoa kuanza form 1 (boarding), niliibiwa suruali 3, mashuka 2, viatu, nk. Ilikuwa ndio 'Welcome Party' pale kila mwaka. Kuhamishiana vitu ilikuwa ni kawaida sana bwenini kwetu.
#TravStories #Testimony
Nilipofika Form 2 nikaanza kujifunza hizo mishe na mimi. Nakumbuka nilijifunza kutekenya KILA KUFULI unayoijua wewe. Enzi hizo SOLEX zinasifiwa balaa, ila kwangu hazikuwa shida kabisa😁. Nilikuwa na bunda la funguo natembea nalo. Nikitaka chochote napata fasta kwenye matranka😆
Sabuni zangu hazikuwahi kuisha. Ilikuwa raha sana kupata chochote nilichokitaka. Baada ya hapo nikatamani kuiba VIKUBWA zaidi. Na hapa ndipo nilipobugi mpenzi msomaji😁. Endelea 👇
Read 43 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!