Discover and read the best of Twitter Threads about #UVIKO

Most recents (1)

Siasa za Tanzania katika jicho la tatu: Nini kinaendelea?

1. Mkuu wa Nchi anafariki akiwa madarakani. Huyu ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Taifa hili. Sasa anafariki akiwa madarakani. Hiki kiti ndio cha juu zaidi kwenye kila nchi. Hiki kiti ndio nchi yenyewe.
2. Katibu Mkuu Kiongozi anaaga Dunia akiwa kwenye kiti chake. Kwa wasiofahamu, huu wadhifa ni mkubwa sana kwenye utawala wa nchi, hata Waziri Mkuu ni mdogo kwa kiti hiki. Naweza kusema hata Makamu wa Rais ni mdogo kwa umuhimu wa kiti hiki kwa Rais.
Huyu ni Rais mwenyewe kwa sura nyingine. Huyu ni mshikaji mkubwa wa Rais wa kupika na kupakua (Usidanganywe na protokali unayoona machoni hali ni tofauti sana katika uhalisia)
Read 13 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!