Discover and read the best of Twitter Threads about #UZII

Most recents (1)

#UZII

Kuna vitu ukivifanya vinapelekea mtu mwingine apoteze HISIA na wewe kabisa.

Mara nyingi tumepoteza watu bila kujua kwa sababu ya kufanya vitu ambavyo vimepelekea kuwafukuza kwenye maisha yetu.

Cha Kwanza ni KULAUMU:
Hakuna anayependa kulaumiwa kila wakati.
Ukiwa mtu ambaye unalaumu sana, tena wakati mwingine bila hata kumsikiliza mwingine ama kumpa nafasi ya kujieleza, utapoteza watu wengi sana.

Kuna watu wakipiga simu tu wanaanza na kulaumu, wakiandika meseji wanaanza na kulaumu n.k
Ukiwa mtu wa hivi watu wataanza kukukwepa na watapoteza hisia na wewe.

Kingine ni tabia ya KUMTUMIA mtu:
Hii hutokea pale ambapo THAMANI ya mtu kwako haipo kwenye mahusiano mliyonayo bali kwa sababu unataka kumtumia tu uhapomuhitaji.
Read 6 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!