Discover and read the best of Twitter Threads about #afw

Most recents (1)

Licha ya cha changamoto nyingi zilizozikumba uchumi wa Dunia Nchi nyingi za Africa zimeonyesha ustahimilivu katika ukuaji wake.E.g #Tanzania 4.6%, #Kenya 5.2% ,#DRC 8.6% n.k kwa 2022. Pongezi za Dhati kwa @mofURT @BankOfTanzania @mwigulunchemba1. Image
Uchumi wa Sub-Saharan Africa unatagemewa kushuka kufikia 3.1% in 2023 kutoka 3.6% in 2022 (IMF forecasts) kama ikishindwa kuwa 'resilient' kutokana na persistent sluggishness of the global economy na kutegemewa kupanda tena kufikia 3.7% ,3.9% kwa 2024,2025 respectively.
Kupanda huko kunategemewa kuletwa na ongezeko chanya katika uchumi wa Dunia baadaye mwaka huu huku #India na #China zikitarajiwa kuwa chanzo kikuu cha ukuaji wa nusu wa uchumi wa Dunia zikitarajiwa kukua kwa 5.4%( India) na 5.2% (China).
Read 12 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!