Discover and read the best of Twitter Threads about #fanani

Most recents (7)

"PIGA PICHA..☁️🙄"

Piga picha uko bar na machizi wako wawili mnakula stori za hapa na pale..ni kama saa tatu,tatu na nusu hivi..bar haijajaa vizuri ila ugiza flani na mziki wa kueleweka ndo unakufanya uendelee kuagiza moja moja...
Piga picha kwamba Ghafla unaona kwa mbali kiwiliwili cha mtu kinakuja uelekeo wa bar..kila kinaposogea ndo unazidi kukiona vizuri..unaanza kuona nywele zilizofungwa kwa style yao inaitwa ponytail ya juu..unywele uliomwagika mpaka matakoni kwa jinsi unavyojitokeza pembeni ya mwili
Mwendo wake unakuvutia kidgo..so unaamua kukazia jicho kuona je ni mpita njia?na ni nani?maana ww ni mtoto wa hiko kitaa..
Mara anapinda kuingia bar..hapo ndo machizi nao wanapomwona..kama kawaida kuna miguno ya wana inatawala na huku macho yenu yakiulizana "umeona kitu kile??"
Read 25 tweets
"ZINGATIA..☝️"
Retweet kwanza

Ni saa nne za usiku na mvua inanyesha tofauti na ilivyozoeleka ila naanza kuona mataa ya mji wa Dodoma..safari bado na njaa inauma..naona nikifika centre nisimame kidgo..stop ya kula ni Chako ni Chako kuna kuku wa kuchoma..nakula na kubeba nyingne..
Huwezi jua njian kuna mengi chakula muhimu..nakiwasha tena..napoanza kuitafuta Moro njiani malori mengi na ni usiku hvyo naenda kwa mwendo wa kawaida..nsije nkapunguza miaka ya kuishi..kamziki kwa mbali huku nasikia wiper zikifanya kazi kwa bidii ili tu nione uelekeo.
Baada ya kilomita 1..ndipo namwona
Koti kubwa likificha sehemu kubwa ya mwili wake zaid ya miguu iliyofunikwa na jeans nyeusi na raba..kanyoosha mkono kwa bidii kweli..
Nampita..ila baada ya kuona kuna basi dogo jingne pembeni na abiria ndani limesimama nikasimama
Read 20 tweets
"SIRI YANGU🤫"

Napiga pafu moja kutoka kwenye glass...mkono unanipiga begani,tuji bia tunanimwagikia kidogo kwa tshirt,,naangalia nyuma kuangalia ni nani huyu fa**..
Nakutana na cheko moja la kihuni..kumbe Jose,
"Mjinga umemwaga bia yangu"
Ananicheki kwa dharau..anaita muhudumu ananiongezea mbili...
Inabidi nimuulize "hii jeuri imeanza lini kapuku wewe..😅

Anantizama af sura inabadilika.."kuna hela nilikua nadunduliza nimtoe mtoto wa mtu ila acha tuinywee tu bia..atleast siku niseme na mimi nshawahi kukutoa"
Nakaa nae kwa masaa kadhaa..kwakua mwana anafanya kazi ya boda naona kabisa narudi gheto vizuri kabisa...
Muda unayoyoma...nakuja cheki saa saba na nusu..nanyanyuka huku nikiwaambia wana wengine "kesho nayo siku"
Napigwa vijembe kadhaa pale..sijali namshtua mwana anisogeze ghetto
Read 18 tweets
"NILILAMBA JOKERI🃏.."

Nipo kwenye gari nna hasira flani..nafungua whatsapp natafuta convo yetu mwanzoni kabsa..naandika "mnazingua"
Huyu ni rafiki angu wa kike,Ney, tumepanga kwenda premier ya movie flani ilikua inatoka af tuna ka dk 10 ianze,ameomba aje na rafiki zake wawili
Mi nipo na mchizi,ye ndo kamaindi mbaya. Kanimaindi mimi pamoja na huyo rafiki angu.."kubabeki,tunaenda kuanza movie nusu..si bora tukanywe bia tujue moja" 🤔nkawaza sio wazo baya ujue..
Mara nasikia milango inafunguliwa siangalii hata nyuma nawasha gari..
Nasikia sauti ya ney "kelvin,we are sorry" naongeza sauti ya mziki..
Mchzi anageuza shingo anawasalimu..naona kashalegea kuona vimwana,anaanza kuwapigisha stori pale
Njia nzima nipo kimya..hadi tunafika.
Wanashuka na mimi kma dereva nachek kma vitu vipo sawa kabla sijashuka
Read 17 tweets
"THUBUTUU...🤧"

Sijui ilikuwaje hadi nkasahau kuandika kuhusu hiki kisa..🤭
Nadhani kwasababu mchizi hakua mtu wangu wa karibu sana..ilikua ni kuonana kwenye vigenge vya stori na kitaa.

Ila siku tulijikuta wawili tu kwenye kota za tanesco anapokaa,chobingo moja yetu pendwa..
Mchizi aliitwa Saleh..
Tulisalimiana kiwana tukiulizana mishe zinaendaje na vijistori vya hapa na pale vya kupoteza muda.
Mchizi alitoa sigara mbili huku akiniuliza kama natumia..nilimjibu situmii hvyo aliiwasha yake akavuta pafu mbili kubwa..alitoa moshi nje af akabaki kaduwaa
Ilibidi nimuite mara mbili,aliposhtuka ilibidi ajicheke..nikamuuliza vipi asee mbona umeniacha peke yangu..
Nakumbuka alinambia
"aahh kmmk,nna kipengele kimoja hicho na sijui itakuaje" nkamwambia "nipange"
Alisita kidogo akaangalia sigara yake kidgo kisha akaanza kunipa stori
Read 26 tweets
"KARMA..🎭"

🌡Kama huna kifua basi usisome uzi huu haukufai maana mi natoa visa vya ukweli kama ifuatavyo...👇

Nipo na mwana ananionesha picha af ananiuliza "unaikumbuka hii"..naichek af nacheka ni picha ya kitambo kidgo,tukiwepo sisi na wasichana watatu..mmoja wao akiwa VERO
Vero mi nilimjua kipindi anatoka na mchizi wangu huyo..baada ya kukutana nae viwanja..tulikula sana bata za hapa na pale na huyu manzi,kipindi hicho anakaa mitaa ya sabasaba na wenzake.. walikua wamoto..kila weekend lazima niulizwe "shem leo wap!!nna rafki yangu nataka nikususie"
Kiukweli mchizi wangu alikua sio mtuliaji so wana tulikua tunajua saa yoyote kinaweza nuka..ila cha kushangaza haikua hvyo kwa muda mrefu..nadhani style za maisha ziliendana kiasi kwamba ilikua haiboi..
Basi hapo kati Vee kama nilivyokua namwita akapata mimba ya mchizi
Read 18 tweets
"LAANA...."🧞‍♂️

Wiki moja baada ya kuanza darasa la kwanza kutokana na umbo langu kua dogo kidgo kuliko wengne ilinipa ugumu maana nilishindiliwa uonevu wa kila namna..ila siku,mmoja wa wanafunzi alinikingia kifua..na si mwingine bali ni "MUDI" kama wengi tufupishavyo, jembe langu
Sikuwah kuonewa kuanzia siku hiyo na ndipo nilipojifunza ubabe..sikuwah kumwambiaga ila alikua kama kaka angu japo tulikua umri sawa ila kwa mwili wake na udogo wangu tofauti ilikua kubwa,alikua ndo rafiki wangu wa kwanza kishule shule. Alinifunza kujihami,kujilinda na ni yeye
alinifunza utukutu..asee shule nzma ilikua inamtambua. Kwa kila walimu walichomsema basi na mm nilihusika ila kwakua wengi hawakuamini mi kuhusika ivo mudi alichkua adhabu zote na hakuwah kunitaja. Ila nami nilihakikisha hafeli mitihani kwa njia yoyote na hakuwahi kuniangusha
Read 22 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!