Discover and read the best of Twitter Threads about #flowmatata

Most recents (12)

#UZI
💨 MAKAMPUNI YA SIMU 10 BORA DUNIANI
💨 Hii ni kwa mujibu wa report ya Sep.2020

1: SAMSUNG
• Hii ni Kampuni ya vifaa Electronic iliyoko huko Korea Kusini.
Dunia inaelewa uwezo na ubora wa simu za Samsung. Mfano Note 20, S 20 Pro.
Hizi ni #FLowMaTaTa tiririka nazo 👇👇
2: HUAWEI
• Hii ni Kampuni iliyopo China inatengeneza vifaa vingi sana vya mawasiliano.
Lakini katika Kitengo Cha simu wamejitahidi sana japo wanapitia katika Kipindi kigumu lakini bado wamebaki namba 2.

Hawa jamaa wana tabia ya kukata kona kabla ya kona.
3: iPHONE
• Hii ni kampuni iliyopo pale Marekani, unapozungumzia simu zenye hadhi yake iPhone lazima akae nafasi ya 1.

Ila nafasi hiyo sio kigezo cha kumpa uhalali wa kuzizidi simu nyingine kwa ubora. Kushika nafasi hii inasababishwa na mtindo wake wa kuzalisha simu chache.
Read 14 tweets
💨 YAHOO BOYS
💨 VIJANA HATARI WA NIGERIA

▫️Ni wanachuo na vijana wengine wanaofanya Utapeli mtandaoni.

▫️Mtaji wao ni Komputa na hirizi. Unamkumbuka HushPuppi vizuri?

▫️ Tatizo lao wanakamatwa kama kuku na hawaishi huko mtaani.
#FLowMaTaTa tiririka nazo 👇👇
▫️Yahoo Boys ni wanafunzi wa vyuo vya Nigeria walioamua kujitafutia kipato mtandani kwa njia za udanganyifu.

▫️Wengi wakianza shule huishia katikati na hata kumaliza.
▫️Hawa vijana huwa wana kasumba ya Kuinuana mmoja akipata sehemu yenye dili anaenda kuwachukua masela zake wote kitaa na kuwapa mchongo.

▫️Wanatumia mbinu kama 419 Nigeria kuwaibia watu huku mtandaoni.
Read 24 tweets
💨 VITA VYA TANZANIA DHIDI YA WADUKUZI

▫️ Unawajua Tanzanian Hackers wewe? achana na suala la ku-hack Dream League.

▫️ Website ya Waziri Mkuu yadukuliwa. Msala wa mbet.

▫️Huko Jamii Forum ni vimbwanga juu ya vimbwanga.
#FLowMaTaTa tiririka nazo 👇 👇
▫️ Kwa mujibu wa Threat Map, Tanzania moja ya nchi zinazoongoza kufanyiwa Cyber Attack kwa Afrika.

▫️Na hii inasababishwa na ufungufu wa wataalamu wa IT.
Twende Chap Chap
▫️April. 2012, Wadukuzi kutoka America Kusini "LatinHackTeam" walidukua site za Serikali 35+ duniani.

▫️Nchi kama Japan, India, Ufaransa na kwa Afrika Tanzania ilibahatika kupata nafasi hiyo.

▫️go.tz ikapigwa chini. Zaidi ya website 10,352
Read 12 tweets
#UZI
💨 KISANGA CHA TIK TOK

✴️ Hii ni app iliotengenezwa na Zhang Yiming huko Beijing, China.

✴️ Imetengenezewa China lakini China imewazuia raia wake kuitumia.

✴️ Marekani, India ni baadhi ya nchi zilizoikataa.
#FLowMaTaTa tiririka nazo 👇👇 ImageImage
✴️ Huu ni mtandao wa kijamii wenye uwezo wa kutengeneza kusambaza video.

✴️ Unatumika kutengeneza video za kuchekesha, kucheza na za kuonyesha vipaji.

✴️ Hii app ya TikTok inamilikiwa na kampuni ya ByteDance iliyoanzishwa 2012 na Bw. Zhang Yiming.

✴️ 2017 ikatuletea hii Image
App ya TikTok katika simu za iOS na Android, soko lao kubwa likawa ni nje ya China.

✴️ Wana ofisi zao Los Angeles, New York, London, Paris, Dubai, Mumbai, Tokyo na miji mingine maarufu.

✴️ 2018 TikTok iliongoza kupakuliwa nchini Marekani, ikawa ni app ya kwanza kutoka Image
Read 20 tweets
#UZI
💨 Watu wengi wanaofanikiwa hufanya mambo yao nje ya mifumo rasmi.

✴ Ujinga wa mteja ni fursa kwa mfanyabiashara.

✴ Huyu mtu huakikisha mpinzani wake ni yeye.
#FLowMaTaTa tiririka nazo 👇👇
Twende chap chap
✴ Mafanikio ni matokeo ya chanya ya jambo fulani. Kila mmoja anayatamani hayo matokeo.

✴ Kila mtu hutumia njia zake binafsi, wengine hunakili, huiba mbinu za wenzao ili mraji wapate hayo matokeo.

✴ Watu wengi bado huendelea kufanya mambo yao ndani ya hiyo
Mifumo rasmi.

KWANI MIFUMO RASMI NI IPI?

✴ Hii ni mifumo ambayo watu wote duniani wanaitambua na huitumia kama njia au mazingira ya kuendesha mambo yao.

✴ Mfano; Mwalimu anatakiwa apatiwe mbinu za kufundisha kisha naye akafundishe ndani ya mfumo huo huo.

✴ Atakachokipata
Read 17 tweets
#UZI
💨 VITA VYA WADUKUZI WA ANONYMOUS DHIDI YA MAREKANI

✴ Walikua bench kwa miaka 3, kifo cha George Floyd cha warudisha kwa kishindo.

✴ Udukuzi wanaoufanya ni presha tupu.

✴ Wanasema sio Trump tuh hata Clinton na Obama wote ni ❌❌
#FLowMaTaTa is back Tiririka nazo 👇
Twende chap chap
✴ Baada ya polisi kusababisha kifo cha George Floyd, Anonymous walihack database za serikali kwa ajili ya kurudisha password za mitandao yao ya kijamii.

✴ Walizifungua baada ya kujaribu password zote ila baadhi zilikubali.

✴ Password kama GuyFawaks,
Fwskfucks420, Maskgang1 lakini baadhi zilifanya kazi.

✴ Mwisho wa siku Anonymous wakafurahi kionline line sisi hatuwajui wala hao wenyewe hawajuani.

✴ Wakaanza kampeni ya kuhamasisha maandamano na hashtag ya #BlackLivesMatter Kwa mujibu wa TheHardtimes(UNKNOWN).

31.6.2020👇
Read 21 tweets
💨 VITA VYA ISRAELI DHIDI YA MA-HACKERS

✴ Ardhi imewaingiza Wayahudi kwenye vita dhidi ya nchi za kiharabu,Uturuki,Urussi na China.

✴ Waharibu computer 30,000+ za Iran na mfumo mzima wa nyuklia.

✴ Ndio nchi iliyoweza kuidukua iPhone.
#FLowMaTaTa tiririka nazo 👇👇
✴ Hawa Wayahudi wanakuambia "You hack me, I hack you" hapo ni baada ya kudukuliwa websites zote za serikali yao na wadukuzi wa Anonymous.

✴ Anonymous ndio wadukuzi wakubwa duniani. Hapa bongo kijana wakishaweza kupiga Windows, anaweka profile pic ya hawa jamaa.
✴ Anajiona Tayari ashakua IT mmoja hatari, IT unaburn movie za Chakoree!! IT unatengeneza mpaka feni!!. @TOTTechs hawa Jamaa tuwape somo kuondoa mitazamo hasi kwenye jamii.

✴ Kuwa IT sio jambo la kienyeji. Angalia hizi shoo wanazozipiga hawa wazungu.

Twende chap chap
Read 23 tweets
💨 NI SAHIHI KUTUMIA GB WHATSAPP NA FM WHATSAPP??

✴ WhatsApp inazidi kupoteza wafuasi wake baada ya kuibuka hizi Modification WhatsApp.

✴ Je ni sahihi kutumia hizi Mods WhatsApp?

✴ Kwanini WhatsApp haiongezi kitu chochote ili kurudisha wafuasi?
#FLowMaTaTa tiririka nazo 👇 Image
✴ Modification WhatsApp ni WhatsApp iliyoongezewa code zaidi ya WhatsApp rasmi.

✴ Mods WhatsApp hizo ni kama; > GB Whatsapp
> Whatsapp Plus
> Yo WhatsApp
> GoldWhatsapp
> BlueFM Whatsapp
> Whatsapp Reform
> Whatsapp jiMOD Image
✴ Hizi app zimeongezewa uwezo wa kukushawishi kuzitumia na kuifanya WhatsApp yako iwe na vitu vingi tofauti na WhatsApp rasmi.

Je ni sahihi kutumia hizi mods WhatsApp?
✴ Kwa mtu mwenye uelewa wa ulinzi wa taarifa zake hawezi tumia app ambayo haipo play store. Image
Read 8 tweets
#UZI
💨 TEKNOLOJIA YA CHINA INAVYOITESA MAREKANI

✴ China ni moja ya nchi zinazokua kiteknolojia kwa kasi.

✴ Shoo wanazozipiga ni presha tupu. Wanajeshi wao watakiwa Marekani kuhukumiwa kwa kosa la Udukuzi.

✴ Washaiba hadi mfumo wa ku-hack wa USA
#FLowMaTaTa tiririka nazo 👇 Image
✴ China ni moja ya taifa lililojaliwa vijana wenye akili za asili za komputa. Hawa jamaa wanaishi kwa ujanja sana tofauti na sisi wanyakyusa.

✴ China ndio nchi ya kwanza kutumia fingerprint, kuwa na teknolojia ya 5G, kutengeneza vitu vya gharama na kuuza bei ya huruma. Image
✴ Hawa Jamaa ukinunua simu kwao ikibaki chenji hawakurudishii, watakutengenezea hata headphone ili pesa yako wabaki nayo.

✴ Ushawai jiuliza kwanini wanafanya hivi? kwani hawapati hasara? Twende sawa.

✴ Kuna matukio wengi hawa Jamaa wanayapiga. Image
Read 24 tweets
#UZI
💨 UNAJUA KUA TECNO na INFINIX ZIMEANZISHWA NA M-NIGERIA??

✴ Tecno na Infinix wametuinua sana, Afrika kwenye watu 10 wenye simu kuna 5 wana tecno.

✴ Hizi simu ni Made in China. Kuna nini nyuma ya pazia?

✴ Nnamdi Ezeigbo ndio nani??
#FLowMaTaTa Shuka nazo 👇👇
✴ Tecno ni kampuni ya simu iliyopo Hong Kong iliyoteka soko kubwa Afrika. Mpaka sasa pato la trillion 2+ za kitanzania.

✴ Bw. Nnamdi Ezeigbo ndiye mwanzilishi wa hii kampuni. Huyu bwana amezaliwa Delta, Nigeria tarehe 4/8/1966. Alivyomaliza elimu ya sekondari alijiunga na
✴ Chuo cha Haba na kusoma diploma ya Electrical and Electronic Eng. Na pia kusoma degree ya Computer science huko Lagos.

✴ Alivyomaliza chuo alifungua ofisi yake ya kutengeneza simu na komputa kama Fundi maiko wa bongo.

✴ Jamaa alikua mkarimu na pia alikua na ule uwezo
Read 10 tweets
#UZI
💨 MWAMBA ALIYEVUJISHA SIRI ZA UDUKUZI WA MAREKANI

✴ Ni matokeo baada ya shambulizi la Osama 9/11 pale Marekani.

✴ Marekani yamfungulia kesi ambayo hataruhusiwa kuongea ni kifo tuh.

✴ Urussi ya mwambia chakula, malazi n.k sisi tutakupa.
#FLowMaTaTa shuka nayo 👇👇
✴ Twende chap chap
• Baada ya shambulizi la Osama pale Marekani 9/11. Marekani ilijilaumu sana, Kwanini nchi kubwa kama yeye ashindwe kupata taarifa mapema la hilo chambulio?

✴ Ikabidi sasa NSA na CIA wakae chini na kuja na project ya Surveillance ya kunakili data za
✴ za mawasiliano yote ulimwenguni, ili siku ukipanga njama za kuidhuru Marekani wakugundue, watajua watakavyo-kuzibiti mtoto mdogo wewe.

✴ Kuna Jamaa mmoja hivi ni bwana mdogo sana, umri wake nitakutajia ni bwana mdogo sana. Alifanikiwa kupata kazi NSA.

✴ Sio kwasababu
Read 25 tweets
#UZI
💨 TEKNOLOJIA YA KOREA KASKAZINI.

✴ Filamu iliyowaponza Sony, vifaa vyao vikaharibiwa na wadukuzi wa North Korea.

✴ China,Iran,Syria pia North Korea hamna Facebook, Twitter n.k kwanini?

✴ FBI wasema inatumia samaki [ElectricFish] kuhack
#FLowMaTaTa shuka nayo 👇
✴ Haya twende chap chap

✴ Wiki iliyopita Marekani na media zake walisema Kiduku amekufa au anapumulia mashine.

✴ Leo chuma kipo town 😂 kinazindua kiwanda cha mbolea mkalime muache umbea maisha yake hayawahusu.

✴ Ukiacha na nyuklia wanazomiliki hawa Jamaa wananini cha...
✴ zaidi kufanya dunia nzima iwe inawatazama kila sasa.

✴ Kwanza ni lazima ukubali kwamba raia wa Nchi nyingi za Bara la Asia ndio wanaoongoza kuwa na akili nyingi duniani kwenye teknolojia.

✴ Tazama Nchi kama Japan, China,South Korea, Singapore n.k
Read 17 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!