Discover and read the best of Twitter Threads about #ministerofreosursesindonesia

Most recents (1)

JE NI FURSA TANZANIA KUANDAA HUMAN CAPITAL SUMMIT 2023.?

UZI.

Bila shaka kama unafuatilia ulisikia juu ya mkutano wa IDA20 SUMMIT FOR AFRICA. uliofanyika julai mwaka jana huko Dakar nchini Senegali. Na tuliwakirishwa na Mhe. Raisi @SuluhuSamia . Basi leo kuna habari njema. Image
Julai 25+26 Mwaka huu Tanzania itaandaa kilele cha mkutano kama huo. Uliopewa jina la "AFRICA HUMAN CAPITAL HEAD OF STATES SUMMIT." Na unatarajiwa kufanyika jijini Dar es salaam ukihusisha pia mapitio ya IDA20 mid-term ya December. (Yaliyoanzisha na japani Dec 14-15, 2021) Image
HUMAN CAPITAL SUMMIT 2023 NI NINI HASA.?

Huu ni mkutano maalumu wa viongozi wa mataifa ya Africa, inayojadili umuhimu wa kuwekeza katika watu na wenye malengo ya kutilia mkazo juu ya umuhimu wa mtaji/rasilimali watu kwenye mageuzi na ukuaji kiuchumi kwa mataifa hayo.
Read 15 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!