Discover and read the best of Twitter Threads about #sanakunachapo

Most recents (1)

BURNA BOY Part2.

Msanii wa Nigeria Burna Boy amebaniwa kuingia nchini UK kwa miaka 15 hii ni kutoka na kuhusika na kifo cha mtu ambae aliuwawa na moja ya watu wa genge la kihuni ambalo Burna Boy alikuwa akijihusisha nalo nchini uingereza

Tukio hilo likitokea 2013 Image
December nakufanya kupigwa mvua ya miaka kadhaa ila baada ya miezi 11 aliachiwa na kupewa adhabu kifungo cha nje cha miezi 2 akitakiwa kufanya huduma za kijamii ila kurekebisha tabia ila jamaa akatoroka na kurudi Nigeria ambapo alisainiwa na record label ya Aristokrat Records . Image
Mkulungwa Burna Boy alijisahaulisha na kusafiri tena kwenda nchini Uingereza alipofika Airport alizuiliw na kurudishwa Nigeria na kuambiwa haruhusiwi tena kuingia nchini UK kwa kipindi cha miaka 15. Tukio la pili likitokea. Mwaka 2017 November mkulungwa Burna Boy Image
Read 8 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!