Discover and read the best of Twitter Threads about #wajumbetuinuane

Most recents (4)

Mwanamke wa kwanza kutoka Afrika kufanya kazi na shirika la Anga za juu β€˜NASA’

Fadji Maina amekuwa mwanasayansi wa kwanza kutoka nchini Niger kufanya kazi na Shirika la Anga za Juu,NASA.
#ElimikaWikiendi
#WajumbeTuinuane Image
Bi maina mwenye umri wa miaka 29 alipata shahada ya uzamifu(PHD) mwaka 2016 na alijiunga na shirika hilo maarufu la anga za juu nchini Marekani mwisho wa mwezi uliopita.

Ameiambia BBC atatumia kazi yake mpya kurudishia shukurani sio tu nchi yake bali pia kwa bara zima la Afrika.
"awaasa wanawake wenzangu wasikate tamaa kufikia ndoto zao kwa sababu hakuna mtu angelifikiria mwanamke kutoka Niger, au msichana mdogo kutoka Niger, anataweza kufika mahali kama hapa. Siri ni kujiamini na kutafuta mazingira ambayo itakusaidia kufikia ndoto yako”
Read 3 tweets
HISTORIA YA SIKU YA LEO MIAKA 19 ILIYOPITA USA NA DUNIA KWA UJUMLA...
Siku kama ya leo 2001 Dunia ilitawala huzuni na simanzi kubwa kutokana na Shambulio la September 11 2001 Shuka nao... πŸ‘‡πŸ‘‡
Retweet ifike mbalii
#ElimikaWikiendi
#WajumbeTuinuane ImageImageImage
Siku ya Jumanne, tare 11 mwezi September mwaka 2001 majira ya saa 2 na dakika 46 asubuhi mpaka saa 4 na dakika 28 asubuhi lilifanyika shambulio kubwa na baya zaidi kuwahi kutokea na kufanywa na adui katika ardhi ya nchi ya Marekani.
Majira ya saa 2 na dakika 46, ndege aina ya Boeing 767-223ER (A.A. Flight 11) iliyosajiliwa kwa namba N334AA, mali ya shirika la American Airlines ambayo iliruka kutoka Boston katika uwanja wa ndege wa Logan International Airport ikitegemewa kutua katika uwanja wa ndege
Read 13 tweets
DUNIA & MAISHA
β€”β€”β€”β€”β€”β€”β€”β€”β€”β€”β€”β€”

1.Mbio za maisha ni za ajabu sana,anayetafuta hachoki na aliyepata anataka zaidi.Usiongeze mwendo,ongeza maarifa kwa sababu haushindani na mtu unashindana na malengo yako.
#WajumbeTuinuane #wajumbefunfriday
2.Duniani ukikosa akili utakufa kwa manung’uniko.Usipojifikiria hayupo atakafikiri kwa niaba yako kwenye duniani hii ambayo hata mtoto wa Paka anafaulu kwa njia za Panya.
3.Kumchukia aliyefanikiwa hakuondoi umaskini wako na upumbavu wako hauondoki kwa kumchukia mwenye akili .Chuki ni utumwa jiweke huru kwa kukataa kuimiliki.
Read 4 tweets
Ijue Antonov AN-225
An-225 Mriya ni ndege ya Ukraine ambayo ni kubwa kuliko zote duniani miaka ya 1988 hadi 2020.Ina injini sita. Ilitengenezwa na kampuni ya Antonov. Imepengwa kwa shughuli za mradi wa usafiri wa anga-nje wa Umoja wa Kisovyeti.
#WajumbeFunFriday
#WajumbeTuinuane ImageImageImage
Ndege ya kwanza ilikamilishwa mwaka 1988, nakala ya pili ilianzishwa bila kumaliza kutokana na kuporomoka kwa Umoa wa Kisovyeti mwaka 1989 .

Ndege ya pekee iliyokwisha iliwahi kupimzishwa kwa miaka kadhaa lakini ilirudishwa kuanzia 2001.
Matumizi yake ni ghali kwa hiyo haina ratiba ya kawaida inakodiwa pekee kama kuna haja kubeba mizigo mikubwa sana. Uwezo wake ni kubeba tani zaidi ya 253.

Mwaka 2019 taji la ndege kubwa zaidi limechukuliwa na
Read 5 tweets

Related hashtags

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!