My Authors
Read all threads
MAVURUGU YA MAPACHA

nikasema leo ni satoo na mabums hayajapata hata ka uzi, nikasema acha niwape kamoja

Hii sasa ni ukweli😂😂, kuwahusu hawa jamaa wawili, wanaitwa FRANK na FRANCIS, hawa majamaa bhana, kubaf zao

Tushuke

Ukitaka kuwa-follow shauri zako

@Franknfrancis1

👇🏿👇🏿
Anyways
Wanasemaga kuwa mapacha, eenh twins ni swagger, ninyi mabloo mnaweza kukausha kwanza, acha niongee na mabinti

Basi kwa hawa mablaza ilikuwa swagger + kama ni series ya simu, ilikuwa iPhone 11 max Platinumz Duo Pro😂

Walichosoma kiliendana nao, walisoma sanaa huko FPA
kama mzee Lowassa, sanaa ya nn sijui, mi nilikuwa nawaona tu chuoni, mapacha mabishoo ndo jina sisi haters tulikuwa tunawaita😂😂😂

Eenh man, hawa jamaa hata demu wako atawapenda akiwaona, unabisha??muulize uone😂😂. Hawa sasa ndo sukari ya warembo

Wapwa mna makasiriko??😂😂
Ilikuwa hivi, ukitaka kujua nn kina trend mjini, kumbuka ni Dar hii sio kwenu huko Uswekeni😂

Yaani anzia mavazi, style ya nywele, simu na kila kitu, basi unawatafuta mapacha unaangalia wamevaa nn, ama wamenyoaje, hapo unatambua kinachoendelea mjini, mnanielewa sijui??
Hawa ndo walikuwa SI Unit ya mablaza men UDSM yetu kipindi kile, kabla wanajeshi hamjaanza kusoma😂

Nadhani huu ndo uzi wangu wa kwanza kuweka mapicha picha ya kijinga😂😂 ila sio kesi

MIMI NA WAO
Sikuwa nawajua sana kihiiivyo kipindi cha shule, ila waliwajua watu ninaowajua
Mambo ya connections si unajua??

Mwanangu mmoja ambaye alikuwa mchizi wao, Mo Munyu, Biggie huyu kiazi @iamKachuiJr , Saadat na wengine kibao mabishoo wenzao

Sasa kak bumunda ilikuwa lazima niwe nao, sababu mimi ndo nilikuwa na run mitaa michafu, hoods zile😎😎
Sema sasa

Kitu kimoja- ilikuwa ni poa sana ku-hang out na wana, why??

Mabinti waliwapenda sana, sasa kihuni mi nilikuwa chawa wao, ili masalia ya mademu zao, wale mademu ambao hawanitaki mi ndo napita nao kibabe.

Wanasema kaa na wahindi unukie uturi, nah??😎😎
Tushamaliza DIBAJI twende sasa kwenye kitu cha msingi

Visa vya kihuni vya mapacha Frank na Francis

NB: kwa pisi ninyi City girls, hawa jamaa ni marafiki zangu, kama vipi njoo DM niwape namba zao, ila, angalizo, kuna kuchanganyiwa radha kama hawa wenzenu ninaokwenda kuwasimulia
Lucia, dada wa ki-Mexico

(Francis- kwenye picha, alihusika)

DARUSO BAR
Kitu kama saa nne na nusu kasoro usiku, tuko hapa Daruso, tunakula zetu chips na kucheza pool table, ni Ijumaa, kwahyo watu tunaangaza angaza pa kwenda, kuinjoy man, si unajua Daresalama usiku pananoga😎😎
Hatuna hili wala lile, inakuja gari moja kali, Ford Range rangi ya dhahabu, kabla haijapaki hata vizuri, anashuka dada mmoja, mzungu sio mzungu, ana ngozi tamu kama juice ya miwa

Dada wa watu kafura, analengwa na machozi, anakuja, anauliza

"Yuko api Francis" kwa kiswazi kibovu
Unamtaka wa nini??namuuliza

"I wanna know where he is, just wanna talk to him"-Lucia anasema

Kuona ameanza kizungu, ikabidi nimkazie

"U wanna see him, hupajui kwake??"

Ananiangalia kwa stara kidogo this time, ananiita natoka naye parking

"Come please, and help me out"
Namfuata nafika anaanza kunipa mchongo

Ilikuwa hivi

Lucia anasema
"I love him, i love him like so much, i dont know why he is doing this to me"

Kucheki mtoto amewaka mashavu, namtext Francis, OYA MWAMBA KUNA KIMEO CHAKO HUKU

ananijibu 'ni mmekiko tall??malizana naye kaka,niko
ghetto na Fatuma, ile pisi niliyokuwa nayo juzi Zanzibar Sauti za Busara, ni-cover mdogo wako'

Niko pale namsikilizia mmekiko ananipa story sasa

"I met Francy like a week ago, being humble and handsome, i fell kwake, alikuwa ananifunza guitar, nili opt course kule kwao...ila
sorry, who i am talking to kwanza, are u friends with him??

Nipo, im Marley, their friend

Lucia: their, what do u mean their??

Nipo: look mom, these guys are twins, identical to be exact, i hope u sure of whom u dated, kati yao

Nachukua simu, namuonesha picha za hawa wahuni
Kidogo mzungu wa watu azimie, nikamdaka ile kama Anord, anajifuta jasho

Namuuliza, so wewe ni nani hata unamtaka?

Lucia: i really dont know, im confused, what is happening, i can believe my eyes

Namuambia usichachawe sasa, kaa upate dawa, hapa ndo Dasalama
Namcheki tena Francis, this time nampigia kabisa

'Oya mjuba, utamuua huyu mzungu, na hii haitokuwa murder tu, itakuwa international murder case, na utafungwa na interpol'

Francis: sikiliza mnyama Tall, mi niko busy kaka, siwezi ondoka hapa, kama vipi mcheki dogo amalize soo.
Dogo anayesemwa hapa ni Frank sasa, muda huu yeye yuko hall one pale kuna demu wake mmoja waziri wa afya anamla mate pale juu dalini

Namcheki, "oya sikia kaka, bichwa keshaharibu, kama vipo ibuka usolve kesi"

Frank: kaka Tall, kitu cha ukweli??maana kazi za blaza nazo sio
muda mwingine

Namuambia, shuka kaka, kazi iko poa tu, ni wewe ushuke uje umalizane nayo itulie, kwa ninavoona haijajua kwamba mko mtu mbili

Frank: basi chap, nadondoka pande hizo

Niko sasa nampanga Lucia kwamba nimemuita Francis, na anakuja, anasema amsubiri kidogo
Lucia ananishukuru 'Thanx a lot friend, umenisaidia, nashukuru'

Namjibu haina nouma ni poa tu

Mara Frank anashuka,
'Oyaa tall, huko eenh'

Anakuja, Lucia anamkimbilia, anamkumbatia, anaanza kumpiga na vibao

Lucia: kwann unanifanyia hivo, nakuja kwako na haupo, tulikubaliana
leo, Frank ananikonyeza, ananipa dole

Namsikia Lucia kwa mbali

'Im so horny my love, and i promised u today, lets go so we fuck'

Namuangaliaaa nasema hiiiii

Muda kidogo wananitext wote wawili

Frank: Kaka nashukuru, pisi ya ukweli, blaza anafaidi

Francis: asante Tall,
unanidai bucket ya Kilimanjaro next weekend

Mi narudi zangu kwenye pool table, naendelea kuwafunga watu kwenye kamari

Next day naamka na text ya Frank

"Kakaaa, kwa hakika nimewawakilisha kama nchi, mtoto mtamu mbaya, aanh asante kaka, kuna wachawi sana pande hizi"
Tukirudi hapa, tutakuja kumalizia part Two ya hii kitu

Anyways jamaa wako poa sana, michongo yote inahusu Arts kwa ujumla wake, wacheki mfanye kazi

Naambiwa hapa hata kile ki-sign cha FinebyFalsafa ni idea yao pia

🙌🏿

Follow them again

@Franknfrancis1

With Love
Kaka Bumunda
Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh.

Keep Current with Marley🇹🇿

Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

Twitter may remove this content at anytime, convert it as a PDF, save and print for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video

1) Follow Thread Reader App on Twitter so you can easily mention us!

2) Go to a Twitter thread (series of Tweets by the same owner) and mention us with a keyword "unroll" @threadreaderapp unroll

You can practice here first or read more on our help page!

Follow Us on Twitter!

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!