My Authors
Read all threads
ZAIDI YA 70% YA WANAWAKE HAWARIDHIKI KATIKA MAPENZI

Inawezekana hii ikakushangaza kidogo, lakini huu ndio ukweli. Idadi kubwa ya wanawake waliopo katika mahusiano hawaridhishwi katika tendo la ndoa
JINSI WANAWAKE HUCHANGIA KUTORIDHIKA KWAO

1. UVIVU WA KUMWANDAA MWANAUME

Wanawake wengi hudhani anayetakiwa kuandaliwa kabla ya tendo la ndoa ni mwanamke peke yake, la hasha! Wanaume pia wanahitaji kuandaliwa kabla ya tendo la ndoa.
Kumwandaa mwanaume kabla ya tendo la ndoa kunamuweka sawa kisaikolojia na kuwa tayari kwa tendo la ndoa.

2. KUTEGEMEA BAO LA KWANZA PEKEE
Ngoja niwaambie bao la kwanza kwa mwanaume halidumu hivyo kama mwanamke unategemea uridhike na bao la kwanza basi inaweza kuwa mtihani kwako
⚡Bao la kwanza huchukua muda mfupi sana kutoka, kwa wastani dakika saba kwa wanaume wengi. Hivyo kuna uwezekano bao hili likatoka kipindi ambacho mwanamke ndio kwanza anaanza kuhisi raha ya tendo la ndoa.
Idadi kubwa ya wanaume hudumu muda mrefu zaidi wakitafuta bao la pili na idadi kubwa ya wanawake huridhika wakati wa bao la pili.

3. KUTOKUWA MTUNDU WAKATI WA TENDO LA NDOA

Kuna mambo mengi sana ambayo humfanya mwanaume atamani kuendelea kufanya tendo la ndoa na wewe,
mfano ni sauti za mahaba wakati wa tendo la ndoa.

⚡Idadi kubwa ya wanawake hawatambui kuwa sauti za mahaba wakati wa tendo la ndoa husaidia kumtoa zaidi nyoka pangoni, unakuta kipindi chote mwanamke yupo kimya hadi inamkosesha morali mwanaume wake.
🌟Tambua, mapenzi ni utundu. Bila utundu basi hamu yote ya mapenzi hukata na baadhi ya wanaume huamua tu kumaliza na kupiga zao usingizi.

4. UELEZEA SHIDA WAKATI WA TENDO LA NDOA

Kuna baadhi ya wanawake unaweza kukata tamaa hata ya kuendelea na mechi.
⚡Unakuta wakati wa penzi ndio anaelezea shida zake zote, mara bebi kodi ya nyumba imeisha. Mara mpenzi, ujue simu yangu imeharibika nahitaji mpya, lile gauni zuri utaninunulia lini na baadhi ya kauli nyinginezo ambazo hugeuka kero kwa baadhi ya wanaume.
🛠🛠🛠MUDA WA PENZI NI MUDA WA RAHA, TAMKA MANENO YANAYOONGEZA RAHA NA SIO KUANZA KUMPA MAWAZO MPENZI WAKO.📌📌📌
Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh.

Keep Current with Dr.Socy²³ (HS)

Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

Twitter may remove this content at anytime, convert it as a PDF, save and print for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video

1) Follow Thread Reader App on Twitter so you can easily mention us!

2) Go to a Twitter thread (series of Tweets by the same owner) and mention us with a keyword "unroll" @threadreaderapp unroll

You can practice here first or read more on our help page!

Follow Us on Twitter!

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!