Kamala Dickson Profile picture
Jul 22, 2020 11 tweets 8 min read Read on X
Japo wanawake wengi walishiriki katika Harakati za Ukombozi wa Tanzania, Tafiti nyingi zinaonyesha bado wengi hawajaweza kusimama na kushiriki katika vyombo vya kimaamuzi, Wengi wanakumbuka Historia ya Bibi Titi kama mama shupavu aliyeongoza harakati za ukombozi
Thread ImageImage
Mama Sofia Kawawa ni miongoni mwa wanawake ambao walitoa mchango wa kiuongozi na pengine kumwambia Mwl JK Nia ya dhati ya kuongeza wanawake wengi kwenye nafasi za kugombea
Hoja ni je pamoja na hawa wote je kuna matunda yametokea ? Image
Baada ya Tanganyika kupata uhuru 1961 chini ya chama cha TANU walilidhia kwamba kuwepo na uwakilishi wa wanawake Bungeni na ikaamuriwa kati ya wajumbe 73 basi 6 wawe wanawake (7.6%) ya wabunge wote, Tanzania Women Parliamentary Group (TWPG) chini ya Anna Abdallah, ni matokeo
Mwaka 2010, wanawak 26 walishinda uchaguzi viti vya majimbo na kufanya kwa mara ya kwanza namba ya wanawake kuonguzeka kwa wingi, ukiunganisha na Viti maalumu kati ya wabunge 357 wanawake walikuwa 102 na hii kufanya 36% kuwa wanawake Bungeni Image
katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Article 66 (1) (b) namba ya wanawake haipaswi kuwa chini ya 30% ya wabunge wote chini ya Article 78 kwenye uwiano hivyo basi wanawake wanaweza kuwania na kushinda kwenye majimbo lakini 30% ya Viti maalumu iko pale pale Image
Pamoja na kwamba kumekuwa na harakati za wanawake wengi kushiriki katika kuwania Viti maalumu lakini namba ndogo hujitokeza kuwania Ubunge kwa kupitia majimbo na hii imepelekea mashirika kama @globalpeacetz @TAMWA_ @WiLDAFTz kuungana na kutengeneza Mradi wa pamoja #WanawakeSasa Image
Mradi wa #WanawakeSasa unalenga kuwainua wanawake na kuwajengea uwezo hasa kujua
1 kwa nini wanapaswa kuwa wagombea
2 Kujua thamani ya Wao kushiriki katika Vyombo vya Maamuzi
3 Kujua Njia za kushiriki ili uwe kiongozi kwa Jamii
4 Kufahamu jinsi ya kufanya Kampeini
5 Kufahamu jinsi ya kufanya Branding na kutumia mitandao ya kijamii kujijenga kisiasa
6 kujifunza mbinu za Fundraising
7 Kujua Sheria Za Nchi na uchaguzi zinazotoa Mamlaka kwa wagombea
8 Kujua Taratibu za Kichama zinazomwezesha mwanamke kugombea #WanawakeSasa ImageImage
9 Kujua Sheria za kimataifa zinazowezesha wanawake kushiriki katika Vyombo vya kimaamuzi
10 Kuwa chini ya mafunzo endelevu ya kusaidia kuweka mikakati sawa na kuhakikisha wanakomaa kisiasa na kwenye uongozi madhubuti #wanawakesasa ImageImage
Mafunzo haya yalilenga kuwafikia wanawake walio kwenye vyama vya kisiasa kama Chama cha Mapinduzi, Chama cha Demokrasia Na Maendeleo, CUF, ACT Wazelendo na vyama vingine, Wanawake kutoka vyama hivyo wamepatiwa mafunzo katika Mikoa ya Dar es salaam, Dodoma #MwanaMkesasa
@awdf01 ImageImageImageImage
Maeneo Mengine yaliyofikiwa ni Arusha (Kanda ya Kasikazini), na Zanzibar #WanawakeSasa ImageImageImageImage

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Kamala Dickson

Kamala Dickson Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @ItsKamala

Aug 15, 2020
Vita ya Korea ya ilianza karne ya 20 kati ya 1950- 1953.
Korea ya Kaskazini ilivamia Korea ya Kusini. Korea ya Kaskazini ilisaidiwa na Jamhuri ya Watu wa China na Umoja wa Kisovyeti. Korea ya Kusini ilisaidiwa na Marekani hasa. Lakini Marekani #KoreanDream #OneKorea #Tanzania Image
Katika awamu ya kwanza kuanzia mwezi wa Mei 1950 jeshi la kaskazini lilivamia Korea ya Kusini likateka mji mkuu wa Seoul na kusukuma watetezi hadi kusini ya rasi ya Korea. Lililobaki mnamo Agosti/Septemba 1950 lilikuwa eneo la Pusan pekee #KoreanDream #OneKorea #광복절 #Tanzania Image
Baraza la Usalama @UmojaWaMataifa (30 Julai 1950) iliamua kuingilia kijeshi dhidi ya uvamizi kutoka Korea Kaskazini. Azimio hii lilipita kwa sababu Umoja wa Kisovyeti hukuhudhuria kikao hivyo ulishindwa kupiga veto yake. Na Marekani akapata mwanya wa Uvamizi
#OneKorea #Tanzania Image
Read 8 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us!

:(