Baba yake alikuwa mwalimu na mkulima na alipenda mwanae awe na maadili mema
Serikali ilikubali na jamaa alifungwa jela iliyoitwa La Catedral! Taarifa zikatoka kuwa jela ya La Catedral ilikuwa na umeme, maji moto, Tv, computers na simu kumaanisha jamaa aliendeleza biashara yake.
Huyo ndiye Pabla Escobar mfalme wa Cocaine duniani!
Imeandikwa na @IamFranco92
Retweet
Like
Coment Asante
