.
(UZI MFUPI 👇🏽)
.
Kabla ya Janga la Corona nakumbuka ilikuwa ni Mwezi wa 2 hivi kuna Jamaa anaitwa SAI, alinipigia simu akasema anahitaji kupata wageni kutoka nje lakini bado Hana ujuzi wa kutumia Mtandao
.
👇🏽👇🏽
.
Vile vile nikamuuliza mara nyingi huwa anatumia mbinu gani kupata👇🏽
.
Nikamuuliza huwa anaandika matangazo gani?, akasema Mara nyingi yenye picha za wanyama
.
Uzi ndo unaanza Hapa kwasababu wengi..👇🏽
.
Kwenye Utalii usitangaze Wanyama kwasababu Mtalii kama anahitaji kuona wanyama si anaingia YouTube tu anaona kila Manyama anaemtaka?
.
Je kwenye Utalii Unatakiwa kutangaza kitu gani??👇🏽
.
Tangaza “ADVENTURES”
.
👇🏽👇🏽
.
Gusa hisia zao, watu hufanya maamuzi ya kununua chochote Kutokana na hisia (emotions) kisha Wanahalalisha hayo maamuzi kwa kutumia mantiki (Logic)..👇🏽
.
Usitangaze bidhaa/huduma unayoiuza tangaza matokeo ya bidhaa/huduma yako kwa walengwa wako (Target Audiences)
.
Tangaza Jinsi bidhaa/huduma yako itakavyowafanya
.
Kabla ya kuandika copy ya Bidhaa/huduma yako kwanza jiulize swali hili..
.
“Je bidhaa/huduma yako inaleta hisia gani kwa mteja baada ya kuitumia?”
.
Hilo jibu utakalopata hapo ndicho 👇🏽
.
Bidhaa yako ni hisia anayopata mteja baada ya kuitumia sio kile Alichokishika mkononi
.
Okay tuendelee na brother SAI..👇🏽
.
Nikamwambia njia bora zaidi ya kupata clients wa kampuni yake sio kurun👇🏽
.
The best way kupata clients hasa hasa foreigners ni “Email marketing “
.
Ila tu kwenye e-mail marketing utaona matokeo mazuri endapo ..👇🏽
.
Kwanini nasema hivyo?
.
Maana yangu ni kwamba ni ngumu sana kupata client online moja moja kwasababu ukitumia 👇🏽
.
Watu ambao hawakujui, hawakuamini, wala hawajawahi kukusikia kabisa
.
Kwahiyo unachotakiwa kufanya ni kukusanya taarifa zao tu kwa kuwapa Kitu Cha thamani BURE chenye kusolve tatizo Lao 👇🏽
.
Kwahiyo utaandika Tangazo online linalotoa kitu fulani Free kwa hiyo Target Audiences yako lengo lako ni kupata e-mail zao tunaita LISTS (jukwaa)👇🏽
.
Baada ya hapo unalipia Tangazo lako kisha unaterget hizo nchi zenye wageni wako wengi
.
Kufipisha story ni kwamba baada ya kupata e-mails zao kazi yako itabaki 👇🏽
.
Usiuze bidhaa/huduma yako moja kwa moja online watoe kule kisha waweke kwenye lists yako ambayo watapata nafasi ya kukujua, kukupenda na kukuamini then booom you close them effortlessly by sending one
.
Mfano wa chambo unaweza kusema “FREE ebook, Vitu 10 vya Kujua Kabla ya Kupanda Mlima Kilimanjaro”
.
Au “Usichokijua kuhusu hifadhi ya Ngoro ngoro” FREE pdf
.
Client akihitaji hiyo free ebook mpaKa Aache e-mail yake kisha ndani ya dkk 3 anapiga pdf
.
P. S. Tumia Facebook business manager kurun matangazo yako kuna campaign nyingi zaidi na sio kuboost au kupromote
.
Huo ndio ushauri nlompa SAI, unaweza kuchukua pia kwasababu ukitumia mbinu hii
.
Email marketing is the best option kwenye hili la Tourists kwa sasa kulingana madhara ya Covid-19 (social distancing, hakuna word of mouth marketing)
.
P. S. RETWEET
.
@HKigwangalla