Enjoy each others company as much as possible.
Do not rush to have kids.
They change everything!!!
Thread*****
After three months you think life will go back to normal.
Mnalalisha ka Jayden, babake akifika pa kuingia unakaskia "Ingeeeeeeee"
It goes on till Ako karibu mwaka.
Sex Na quality time inakuwa ya kutafutiliwa.
Mnakuwa frustrated.
You'd think it gets better with time cos kids learn how to sleep longer as they grow right?Wrong!
Unavalia baba Jayden Lingerie ya white, imekushika juu ya baby fat, but who gives AF, mnapendana!
You get it on! You are moving closer to heaven, unejishahau unamoan...
Unaamka mbio kukakfukuza. Baba Jayden anachoka analala.
It goes on....
Mnazaa wengine, cycle inacontinue.
By the time mmeachwa pamoja, mko sixty!
Grandkids spend weekends kwenyu!
😭😭😭
Plus stress ya food, bills, medical covers, well being of kids... It takes most of your time for each other.
Lakini don't be scared, it is so beautiful.