#TOTTechs 🇹🇿 Profile picture
Sep 19, 2020 25 tweets 9 min read Read on X
ENCRYPTION

Najua unasikia sana neno "Encryption" lakini kuna mengi ya kujifunza ili uelewe zaidi kuhusu encryption

◾️Encryption ni nini na aina zake ni zipi ?

◾️Encryption salama na zisizo salama

◾️Matumizi ya Encryption

◾️Faida za kufanya Encryption

Cc: @Kimkayndo
◾️ Encryption ni kitendo cha kubadili maneno au jumbe za kawaida kutoka kwenye mfumo unaosomeka kwenda kwenye mfumo ambao hausomeki, ambapo huzalisha kitu kinaitwa "cipher text"

Mfano kipindi cha utoto, watoto huongea kwa kuchanganya maneno ili watu wazima wasielewe wanaongea
nini, huu ni mfano wa encryption lakini endapo hiyo njia itatambulika kwa wengine basi hakuna tena usiri, wanaita "security through obscurity" yaani security huvunjika mara baada ya attacker kujua njia yako ya kujilinda

Katika encryption ili kuiondoa security through obscurity
Ni lazima utumie Encryption algorithms na encryption keys, hata kama attacker atatambua algorithm lakini hawezi kusoma ujumbe kwa sababu hana encryption keys zilizotumika kufanya encryption

AINA ZA ENCRYPTION NA FAIDA ZAKE

◾️SYMMETRIC ENCRYPTION

Kama jina linavyojieleza
Hii ni njia ya moja kwa moja, inatumia cryptographic key moja kufanya encryption na decryption ya taarifa baina ya mtumaji na mpokeaji

Kabla ya kuwepo na matumizi ya keys Kulikuwa na algorithms zilitumika ku-encrypt data. Mfano mojawapo ni Caesar's cipher ambapo maneno
Yalibadilishana kwa kufuata idadi flani iliitwa substitution method mfano ROT13 ambapo kila herufi ilibadilishwa na herufi ya 13 kutoka herufi husika

Mfano neno KULA kwenye ROT 13 algorithm tunapata neno XHYN, hii haikuwa nzuri kwa maana ni rahisi kwa attacker kupata ujumbe
Algorithms za sasa ni ngumu maana zinahitaji mahesabu na computation power kubwa

Faida za SYMMETRIC ENCRYPTION

◾️Iko fasta zaidi
◾️Haitumii sana internet
◾️Haihitaji computational power kubwa

Kwenye hii aina ya encryption ina algorithm zake ambazo zipo kwa ajili ya ulinzi
Baadhi ya hizo algorithm ni

◾️DES ( Data Encryption Standard) Hii iliundwa na IBM na kutambulishwa mwaka 1976 kwa lengo la kulinda data za siri, 1977 ilianza kutumiwa na federal agencies, Hii inatumia 56 bit + 8 bit parity check key = 64 bit

DES hufanya encryption kwa
kugawa plain text ( original text) katika magroup mawili ya 32 bit na huku ikihusisha round 16 za process mbalimbali kama vile permutations, expansion, substitution, XOR pamoja na round key

Kwa sasa DES haitumiki toka 2005 sababu inatumia key fupi hivyo ni rahisi kufanya
Brute force attack na kupata key zake

◾️3DES Hii ilijulikana kama TDEA, ulikuja kama toleo jipya la DES lakini ilifanya process mara 3 tu ili kuwe na ugumu kwenye ku-crack keys, ilipata umaarufu zaidi kwenye mifumo ya kulipia, na kuanza kutumika kwenye OpenVPN, IPsec, SSH, TLS
Ilikuja kukosa umaarufu baada ya madhaifu yake ya "sweet32 vulnerability" kwa sasa haitumiki

◾️AES ( Advanced Encryption Standards) Hii inatumika zaidi na imekuwa mbadala wa DES toka 2001

AES inafanya kazi kwa kuweka plain/original text kwenye blocks kisha kufanyia encryption
Faida za kutumia AES

◾️Ipo fasta, flexible na salama
◾️Inatumia keys tofauti na ndefu ambazo ni ngumu ku-crack

AES inatumika hasa kwenye wireless security, VPN, Mobile App encryption, File Encryption, SSL/TLS
◾️ASYMMETRIC ENCRYPTION

Ni aina ya encryption ambayo hutumia keys mbili tofauti kufanya encryption na decryption ya taarifa baina ya mtumaji na mpokeaji, pia hujulikana kama Public key encryption,

Kati ya hizo keys mbili moja inaitwa private key na nyingine ni public key
Hizi keys mbili ni tofauti ila kimahesabu zinafanana, na hii ndiyo sababu inaitwa "Public key cryptography"

Hapa mpokeaji wa data hutuma public key yake kwa wote ambao wanataka kumtumia data na kuwa-insist wa-encrypt data zao kwa kutumia public key aliyowatumia na yeye anayo
Private key yake ambayo atatumia ku-decrypt hizo data

Vitu vinavyofanya aina hii ya Encryption kuwa bora ni kutokana inaweza kufanya kazi kwenye mazingira yasiyo salama na pia inafanya authentication kwa kuwa data inayokuwa encrypted na public key inafunguliwa na private key
ya Mhusika wa hiyo public key tu

Asymmetric Encryption inazo algorithms ambazo zinatumia keys mbili kwenye cryptographic process, tuangalie mbili maarufu

◾️ RSA asymmetric encryption algorithm, Jina hili linatokana na majina ya mwisho ya wagunduzi wa hiyo algorithm ambao ni
Ron Rivest, Adi Shamir, na Leonard Adleman mnamo 1977, RSA inafanya kazi kwa kutumia Prime Factorization, ambapo prime numbers mbili kubwa zinazidishwa kupata giant number lengo ni namba sahihi tasa kutoka kwenye hiyo giant namba

Uzuri wa RSA ni kwamba inatoa machaguo
Mbalimbali ya urefu wa key ambapo kuna 768-bit, 1028-bit, 2018-bit n.k RSA inatumika hasa kwenye SSL/TSL Certificate ( Digital Certificate), Crypto-currencies na Email Encryption

◾️ECC Asymmetric encryption algorithm, Mnamo mwaka 1985 watu wanamahesabu wawili waliamua
Kuifanya Elliptic curve itumike kwenye cryptography ambapo baada ya miongo miwili idea yao ikaja kuwa kweli ECC ( Elliptic Curve Cryptography) ilianza kutumika mwaka 2004, Ambapo huunganisha points mbili zenye kuleta equation ya y^2=y^3+ax+b hii equation ni rahisi kimahesabu ila
Kuweza kuirudisha ilivyo/reverse ili kui-crack hapo ndipo kuna mziki mnene

Kwenye kufanya encryption kuna kitu kinaitwa HASHING

HASHING ni kitendo cha kubadili maneno au maelezo flani na kuwa katika value flani ( Series of characters)

Kinachofanya hayo Mabadiliko ni
Hash Function ili kupata Hash value, Hash function nzuri ni one way Hashing algorithm kwa maana ya kwamba baada ya kutengeneza hash value haiwezi tena kuirudisha kuwa katika uhalisia wake,

MATUMIZI YA HASH FUNCTION

◾️Digital Signature
◾️Digital Certificate
◾️Fingerprints
◾️MAC ( Message Authentication Code)
◾️Database password storage
◾️File encryption
◾️Check sum

Hashing Algorithm maarufu zaidi:
◾️MD5: Hii tayari ipo broken, ni algorithm iliyotumiwa zaidi lakini kwa sasa hairuhusiwi kutumiwa sababu imeshakuwa compromised
Kwa kuangalia unaweza kusema uko safe Kutumia MD5 ku-encrypt data zako lakini endapo mtu akipata hash ya data zako anaweza kupata data zako kiurahisi

◾️SHA Family ( Secure Hash Algorithm) na SHA-2 ndiyo secure zaidi kwa sasa maana imekuja na hash function zenye digest 6
FAIDA ZA KUFANYA ENCRYPTION

◾️Ulinzi wa data kwa ujumla
◾️Kulinda kifaa/vifaa
◾️Kutuma, kupokea na kutumia taarifa kwa usalama zaidi
◾️Kuzuia Taarifa kubadilishwa ( Integrity)
◾️Unaweza kufanya Backup kwa usalama
◾️Unajenga uaminifu kwa wateja/watumiaji wa taarifa
Tunashauriwa kufanya Data encryption ili tuwe salama

UZI UTAENDELEA

Nitaongelea zaidi

◾️Namna ya kufanya encryption na faida zake
◾️Digital Certificate and signature
◾️Cryptography
◾️Fingerprints

Certified by @chawanyu
Appreciate @razaqdm01

Cc: @WizaraUUM @ict_commission

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with #TOTTechs 🇹🇿

#TOTTechs 🇹🇿 Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @TOTTechs

Sep 23, 2023
SABABU ZINAZOPELEKEA SIMU KULIPUKA.

Hivi karibuni tumeona matukio ya simu kulipuka zikiwemo simu za Oneplus Nord 2, Galaxy Note 7 na
baadhi ya simu ya nyingi zikiwemo simu kutoka kampuni ya iPhone, Oppo, Xiaomi, Vivo, n.k

Powered by #ElimikaWikiendi × @fiidzsocial

UZI MFUPI 👇
Image
Image
Kati ya matukio makubwa ya simu kulipuka ilikuwa ni simu za
Galaxy note 7 hii ilipelekea Samsung kuomba simu hizo zirudishwe kiwandani kwa uchunguzi zaidi.

Matukio ya simu kulipuka yanajirudia kila siku japo kuna makosa ya kiufundi makosa na mtumiaji.

#ElimikaWikiendi
Image
Image
SABABU KWANINI SIMU ZINALIPUKA.

1. Kasoro za utengenezaji.

Moja ya sababu au kasoro inayofanya simu zilipuke ni kutoka kwa watengezaji (kiwandani), Betri ya Lithium-ion ambayo hutumika kwenye smartphone inahitaji kujaribiwa vizuri kabla kusafirishwa.

#ElimikaWikiendi Image
Read 24 tweets
May 30, 2023
Maoni ya busara kwa leo.

Uzi mfupi

• Kama wewe ni Fan/shabiki wa kitu au kampuni flani, unatakiwa ujue kuheshimu mawazo ya watu wengine, unatakiwa ujue kutofautisha kizuri na kibaya, unatakiwa ujue kutofautisha Facts/ukweli na Opinions/maoni.  👇 ImageImageImageImage
• Acha kuhoji na kubeza maamuzi ya watu, ingawa unaweza kutoa maoni yako kuhusu maamuzi yao.

• Unapoibeza kampuni nyingine kwa kufanya kitu, lakini unatetea kampuni unayoipenda kwa kufanya kitu kile kile, hiyo inamaanisha WEWE ndiye tatizo.
• Wakati mtu X anakejeli kikundi cha watu flani, usitarajie hicho kikundi cha watu kusema kitu cha busara kujibu taarifa ya mtu X.

• Unapomwambia mtu jambo la hovyo/ajabu usitegemee kukuheshimu au kupata majibu ya heshima kutoka kwake
Read 10 tweets
Dec 18, 2021
Wakati huu tunapo kwenda likizo za sikukuu za Christmas na mwaka mpya, huwa ni muda mzuri kukaa na familia zetu, ndugu, jamaa na marafiki kutafakari mwaka ulivyokuwa na kujiandaa na mwaka unaofuata.

#ElimikaWikiendi

STADI/SKILLS ZA MUHIMU KUJIFUNZA

UZI [THREAD] 👇
Pia ni kipindi ambacho watu wengi hupendelea kuwepo mitandaoni. Wakati unatumia mitandao ni vyema ukapata ujuzi mpya wa namna unaweza faidika na mitandao.

Tutakuelezea baadhi ya ujuzi wa mtandaoni unaoweza kuwa na faida kwako kwa namna moja ama nyingine.

#ElimikaWikiendi
ONLINE SHOPPING

huu ni ununuzi wa bidhaa na huduma mtandaoni bila ya wewe kuwepo katika duka au biashara husika kimwili.

Ni rahisi sana kujifunza namna ya kununua vitu mtandaoni kutoka sehemu yoyote ile Duniani na malipo hufanyika kwa njia ya mtandao.

#ElimikaWikiendi
Read 18 tweets
Aug 21, 2021
ARTIFICIAL INTELLIGENCE (AI) [ AKILI BANDIA ]

Akili Bandia (AI) hii ni Teknolojia inayozipatia mashine uwezo wa akili ya kibinadamu ili kuweza kufikiria na kutenda matendo kama kibinadamu.

Je, hizi AI zikoje na zianatumika wapi?

THREAD [ UZI ] 👇

#ElimikaWikiendi
Watu wengi wakiona neno AI ( Artificial Intelligence) hufikiria moja kwa moja ni roboti. Ili iwe AI inahitaji Software(Program endeshi) na Hardware. Software ndio kama ubongo unahitaji kupachikwa data ambazo zitakuwa zinatoka command/maelekezo kwenye hardware.

#ElimikaWikiendi
AI ina jifunza (learning), Fikiri (reasoning) na mtazamo (perception). Ndivyo hivyo sehemu ya akili ya binadamu inafanya kazi. Kwa miaka ya sasa hii Teknolojia inakuwa kwa kasi sana.

Imefikia hatua wataalamu wanataka AI iwe na uwezo wa kufikiri na kufanya maamuzi kama mwanadamu,
Read 23 tweets
Aug 7, 2021
BITCOIN, BLOCKCHAIN AND CRYPTOCURRENCIES

Turudi nyuma mwaka 2008, Bwana mmoja aitwaye Santoshi Nakamoto mtaalamu wa Computer na Hesabu alitengeneza Program na kuiita jina la BITCOIN

Je, Bitcoins ni nini na zinafanyaje kazi ?

Twende na uzi 👇

#ElimikaWikiendi
Bitcoin ni toleo la pesa taslimu ya ki-mtandao ( peer-to-peer version of electronic cash ) ambayo unaweza kutuma moja kwa moja kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine pasipo kupitia taasisi za fedha kama benki, Mobile money etc, unahitaji kuwa na internet tu

#ElimikaWikiendi
Kitu muhimu kwenye Bitcoin huwezi kugushi/forge, miamala fake haiwezi kufanyika, siyo lazima uwe na kitambulisho cha Taifa ( National ID) wala Bank account, Bitcoin iko decentralized ( imegawanyika ), mwamala ukifanyika hauwezi kubadilishwa na ina ulinzi sana

#ElimikaWikiendi
Read 25 tweets
Aug 1, 2021
VITU VYA KUZINGATIA KABLA YA KUNUNUA MacBook

Je! Unampango wa kununua MacBook mpya? Kabla ya kufanya ununuzi unahitaji kuielewa MacBook.

Aina nyingi za MacBook zinapatikana sokoni. Tutakusaidia kununua MacBook bora kulingana na mahitaji yako

Uzi mfupi 👇
Kabla ya kufanya ununuzi wowote angalia toleo la MacBook ambalo utaenda kununua. Kila Mwaka Apple hutoa toleo jipya la MacBook, unaweza kutembelea Apple’s official website, news, na social media kujua mda ambao Apple watatoa toleo Jipya
AINA ZA MacBook:

Kuna aina mbili za MacBook, MacBook Pro na MacBook Air: MacBook Air ni Nyembamba, nyepesi na ni rahisi kusafiri nayo wakati MacBook Pro ni nene kidogo.

Zote ni nzuri lakini zina utofauti sana kwenye Miundo ya ndani ( Internal Architecture & Specs)
Read 11 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us!

:(