Mambo kumi (10) muhimu ya kuwa nayo makini kabla ya kuingia kwenye ndoa:

1. Sherehe ya harusi ni ya siku moja, ndoa
ni ya maisha yote

2. Upole na ukimya si kiashiria cha tabia njema

3. Bora uishi mwenyewe kuliko kuoa au kuolewa na mtu asiye sahihi
4. Mungu akitaka kukubariki hukuletea mtu, shetani akitaka kukuangamiza hukuletea mtu

5. Kuoa au kuolewa na mchekeshaji hakutakufanya uwe na ndoa yenye furaha

6. Kuoana kabla ya kuwa marafiki ni kama anga
bila jua

7. Usiolewe au usioe pesa au mali, olewa au oa mtu
8. Uchumba uliovunjika ni bora zaidi kuliko ndoa
isiyo na amani na furaha

9. Asili ya mikono inayojali ni moyo unaojali

10. Ukiwa rafiki mwema, utawavutia marafiki
wema

MUHIMU: Mambo haya 10 sio sheria, ni ushauri kutoka kwa wazoefu.

>>@ElimikaWikiendi | #ElimikaWikiendi.

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with #ElimikaWikiendi

#ElimikaWikiendi Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(