Wiki hii nilikuwa busy sana baada ya kufiwa na Jirani yangu ambaye tulikuwa na ukaribu sana.
Ilinibidi kwenda mpaka kijiji cha MBASA Ifakara kumzika jirani huyu.
Msiba huu umenifunza mengi..
Tuna familia za Kipumbavu sana sisi waafrika.
Nimethibitisha hili👇
Jirani yangu alifanikiwa kujenga mjini nyumba ya kawaida tu.
Lakini kwenye familia yao ndiye alikuwa mtu pekee aliyethubutu kufanya hivyo Mjini Dar
Jamaa ameacha watoto wawili wadogo na mkewe akiwa mjauzito.
Shida ilianza tangu Hospitalini Muhimbili
Wakati mkewe akidamka na ujauzito wake na kushinda hospitali, Familia ya mume ikawa inamsema kuwa hana msaada wowote kwa ndugu yao.
Mjane wa watu akaamua kuwaita wazazi wake wamsaidie kuuguza wajinga wakasema kajaza watu kwenye nyumba ya kaka yao.
Siku aliyofariki mmewe, jambo la kwanza ndugu wakampokonya simu ya marehemu mjane. Pia wakampokonya mjane simu aliyokuwa amenunuliwa na marehemu mumewe.
Bila soni mdogo wa marehemu ndiyo anatumia simu hiyo kwa amani kabisa.
Sasa tuendelee
• • •
Missing some Tweet in this thread? You can try to
force a refresh
Mwaka 2012, Blandine Nyoni akiwa katibu mkuu wizara ya afya, alinukuliwa akitoa kauli tata ya kuwabeza madaktari kuwa "wanajiona bora wakati ni wachafu na hawajui kiingeleza"
Katibu huyu akaendelea kusema kuwa hata yeye alisoma mchepuo wa PCB na kufaulu vizuri tu lakini kwa kutambua ubovu wa Medicine mzazi wake akamsomesha Accounts so hajui madaktari wanalalamikia nini.
Kauli hii ikang'oa kilaka kwenye jeans ya bishoo!
Ni kwamba mwaka huo, madaktari walikuwa katikati ya mgomo wa kihistoria
Kauli hii ikawatibua madaktari wakalianzisha upyaaaaa
Wiki hii tumeshuudia waliokuwa wanachama wa Chadema wakitangaza kuachana na chama hicho huku wakiahidi kuelezea hatima zao za kisiasa siku za mbeleni
Kati ya waliohama ni waliowahi kuwa viongozi waandamizi wa chama hicho
Hii inamaanisha nini?
Kabla sijajibu swali hilo ni vyema tukipitia kwa ufupi mtiririko wa matukio (A quick refresher)
1. Dec 12,2024, Tundu Lissu anatangaza nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti CHADEMA taifa
Nia hii ya Lissu ilikuja baada ya kuwa uchokozi wa wazi dhidi yake ndani ya chama
Kabla ya uamuzi huu, Lissu aliyekuwa ni makamu mwenyekiti wa CHADEMA, alishamwandikia barua katibu mkuu wake kumjuza nia yake ya kuendelea kugombea kubaki kwenye nafasi hiyo.
Ulikuwa ni utaratibu wa CHADEMA kwa viongozi wa juu kutoshindania nafasi moja endapo mmoja ataonesha nia
Polisi katika upelelezi wao wakatajiwa kuwa gari ile imeonekana akiwa nayo jambazi mmoja sugu sana ambaye alikuwa kwenye radar za polisi kwa muda mrefu.
Jambazi huyu si mwingine bali ni Ernest Joseph Sambua Mushi maarufu kwa jina la White
Taarifa zikadokeza jambazi lile lipo mkoni Kilimanjaro kwa wakati ule
Yule mfanyabiashara akajulishwa juu ya hili na akatoa gari lake na dereva ili kwenda Kilimanjaro
Jan 22, 2024 kwenye kikao cha baina ya CDF na makamanda kwa upande mmoja, na Amiri Jeshi mkuu kwa upande mwingine,Mkuu wa majeshi alitoa kauli iliyoibua udadisi
"Kuna wakimbizi wameteuliwa serikalini kwenye nafasi za maamuzi"
Kauli hii ilikuwa ni nzito kutoka kwa mtu mzito.
Nasema mtu mzito kwa kuwa, mtu aliyetoa kauli hii ni mwenye nafasi ya kupata taarifa zote za intelejensia za nchi hii
Kwanza kama mwenyekiti wa kamati ya majeshi ya ulinzi
Pili akiwa kama kiongozi kwenye taasisi yenye chombo kinachofanya "military intelligence" siku zote.
Kwa hiyo CDF Mkunda alikuwa anajua anachokizungumza ni sahii kutoka vyanzo sahii
Undisputed and not farfetched facts
Kauli hii kwa mtu asiyeutumia ubongo wake vizuri, ataisoma tu kwenye magazeti na kuachana nayo bila kuusumbua ubongo kuona yale yasiyoonekana.
Kumekuwepo na taarifa za kukamatwa kwa wahusika wa kampuni ya LEO BENEATH LONDON (LBL) inayoendesha biashara ya upatu, kukusanya amana, na kutoa riba kwa wanachama wake.
Victims wengi wa kampuni hii wakiwa ni watumishi wa kada ya ualimu
Pia Benki kuu imetoa taarifa ya kutoitambua wala kuipatia leseni kampuni hiyo.
Hapa ndipo napata maswali kuhusu umakini wa taasisi zetu zinazohusika na ukusanyaji wa taarifa za kiitelejensia
Taasisi hizi huwa hazipati fununu ya uwepo wa kampuni hizi kabla watu hawajatepeliwa?
Sasa hivi kuna kampuni nyingine inayojiita FIC
Kampuni hii inajinadi kuwa imesajiliwa BRELA na kupata cheti No. 177461385
Imepata TIN ya TRA No. 177-461-385 na kupewa cheti cha Tax Clearance
Sometimes March 2013 Wakili Fatuma Karume alisafiri kutoka Dar kwenda mkoani Kilimanjaro. Wakili huyu alikuwa amesafiri akiwa amebeba nyaraka furani ya muhimu. Nyaraka ile alikuwa anaenda kumsomea na kumkabidhi mzee fulani aliyefahamika kwa jina la Juma
Actually, Mzee Juma naye alikuwa ni wakili ambaye sasa amestaafu akiwa amefanikiwa kurithisha taaluma hiyo pia kwa mwanae ambaye alikuja kuwa ni wakili maarufu sana mkoni Arusha. Fatma hakujua kama nyaraka aliyobeba ingeleta taflani kubwa ndani ya familia ya Mzee Juma.
Fatma aliwasili nyumbani kwa ambako alikuta waombolezaji ambao walikusanyika baada ya kusambaa taarifa za msiba za mmoja wa watoto wa Mzee Juma. Fatma alitegemea kuikuta hali hii nyumbani pale na hata safari yake ilitokana na yeye kupata taarifa hizi.