How to get URL link on X (Twitter) App
Siku moja mchana mwaka 2008, nikiwa nimeboreka, niliingia kwenye mgahawa wa Millers
Askari hawa wawili ambao ni P.12925 Captain Theresia Cylil Massawe na MT. 88710 Sergeant Mohammed Faki Haji walifika ofisini kwa Lt.Gen Msambila wakieleza kuwa wana taarifa ya dharula

Tangu kujiuzuru kwake July 13, mwaka huu kwa kile alichoeleza kama "kutoridhishwa na mienendo" ya serikali yake, balozi huyo wa zamani wa Tanzania nchini Cuba, amekuwa akitoa tuhuma mbalimbali dhidi ya viongozi waandamizi wa chama chake na serikali 
Nililazimika kumuuliza mama huyu maswali haya usiku wa manane baada ya kumaliza kusoma makabrasha mengi aliyonitumia kwa njia ya barua pepe.
Katibu huyu akaendelea kusema kuwa hata yeye alisoma mchepuo wa PCB na kufaulu vizuri tu lakini kwa kutambua ubovu wa Medicine mzazi wake akamsomesha Accounts so hajui madaktari wanalalamikia nini.
Kabla sijajibu swali hilo ni vyema tukipitia kwa ufupi mtiririko wa matukio (A quick refresher)
Bwana Ladwa alidai gari lililoibiwa ni Nissan Patrol lenye namba nyeupe.
Nasema mtu mzito kwa kuwa, mtu aliyetoa kauli hii ni mwenye nafasi ya kupata taarifa zote za intelejensia za nchi hii


Pia Benki kuu imetoa taarifa ya kutoitambua wala kuipatia leseni kampuni hiyo.
Actually, Mzee Juma naye alikuwa ni wakili ambaye sasa amestaafu akiwa amefanikiwa kurithisha taaluma hiyo pia kwa mwanae ambaye alikuja kuwa ni wakili maarufu sana mkoni Arusha. Fatma hakujua kama nyaraka aliyobeba ingeleta taflani kubwa ndani ya familia ya Mzee Juma.
Kuna wakati unaweza unaweza kushindwa kusafiri kwa sababu tu basi ulilopanga kusafiria limekuacha baada ya kuchelewa. Hupaswi kujilaumu kama hili litakutokea. Mara nyingine Mungu huwa anaingilia kati ili kukuepusha na baya ambalo lingeweza kukutokea ndani ya basi hilo.
Kama tumesoma history vizuri, kadili binadamu alivyoweza kuimprove zana za uzalishaji (After Iron age) aliongeza uzalishaji
Baadae miili mingine ikaokotwa kwa nyakati tofauti katika maeneo mbalimbali hasa fukwe za bahari ya Hindi.
Malori 10 kati ya haya yalikuwa yamefunikwa kwa maturubai
Moja ya gari lililokuwa linamkimbiza lilipita gari ya Kabendera kwa ubavuni ambapo watu wawili kati ya waliokuwemo garini mule walimtolea bastola kumtaka asimame

Watu hawa walikuwa wakinong’onwa kuwa wanajihusisha na dili za gizani zinazowapa ukwasi wa kumwaga pesa hovyo kwa wanamziki na pisi kali.
DIDA: Mambo Gabriel....Leo tunaenda kuangalia mpira?
Naam!
Taarifa ya kutoweka kwake ilieleza kuwa bwana Ulomi alipigiwa simu kutoka TRA akifahamishwa juu ya kuwasili kwa kontena lake kwenye bandari kavu ambayo haijatajwa.
Ni maisha yaliyojaa controversy.
Of all the animals in the animalia kingdom, instead of being equipped with the capabilities of distinguishing good deeds from evil ones, a human can perform very unimaginable mayhem on his fellow being without any sense of amnesty.