The ChandO Profile picture
Apr 3 โ€ข 9 tweets โ€ข 8 min read
Uzi KIFO HAKILETI BADILIKO LOLOTE LA TABIA, BALI HULETA UKOMO WA MAISHA Tu.๐Ÿ˜”

Baada ya kifo ni hukumu...

Hakuna kujitetea baada kufa,
Hakuna tena uwezo wa kutubu dhambi baada kufa,

Hakuna mtu atakayekuhubili kaburini baada ya kufa,

Kama ukifa unadhambi huwezi๐Ÿ‘‡
kuzitubu tena,
Kama ukikataa kuyashika mapenzi ya Mungu ungali hai, huwezi kuyatenda ukiwa umekufa,

Maombi ya muweke mahari pema peponi ni ya kinafiki tu, maana hayamletei badiliko la tabia hata chembe,

Yaani mtu amekufa hampendi Mungu, alafu aje afufuke anampenda Mungu? Ni..๐Ÿ‘‡
kitu ambacho hakiwezekani hata kidogo.

Kama utakuwa mtakatifu mbinguni ni lazima kwanza uwe mtakatifu duniani.

Sifa bainishi za tabia unazozipenda na kuzifuga maishani hazitaweza kubadilishwa kwa kifo au kwa ufufuo.

Utafufuka kutoka kaburini ukiwa na tabia ile ile...๐Ÿ‘‡
uliyoidhihirisha nyumbani kwako na katika jamii.

Mungu habadilish tabia tabia wakati wa kuja kwake.

Kazi ya kuleta mabadiliko ya kitabia ni lazima ifanyike sasa.

Maisha yetu ya kila siku yanaamua hatima yetu.

Kasoro za kitabia ni lazima zifanyiwe toba na kurekebishwa...๐Ÿ‘‡
kwa njia ya neema ya Mungu, na tabia ya ulinganifu ni lazima ujenge wakati tukingali katika wakati wa rehema, ili tuweze kufanywa tufae kwa ajili ya makao ya juu mbinguni.

Kama unahitaji kuishi mbinguni na watakatifu wengine, lazima uishi maisha matakatifu ungali bado uko hai๐Ÿ‘‡
Na duniani ndio sehemu ya kutengenezea tabia zetu ili zifae kuingia mbinguni kwenye makao ya wenye haki.

Tutengeneze tabia zetu tungali tukiwa hai, maana tukifa hatutaweza kurekebisha kasoro zetu.

Kaburini si sehemu ya kutengenezea tabia.

Kama hatukumtii Allah tungali hai,
hatutaweza kumtii tukiwa kaburini.

UWE NA WAKATI MWEMA BARAKA ZA MUNGU ZIKAWE NASI SOTE KWA KADRI YA FADHILA NA NEEMA ZAKE

Nimerusha kama nilivyoipokea. Sifahamu nani kaiandika, lakini imetulia, nikaona na mwingine aisome. Kuna mawaidha mazur hapo, unaweza kupata linalokuhusu๐Ÿ‘‡
itakua Vyema sana ukifanyahivi...๐Ÿ‘‡

Kwa madini unaweza tembelea Status za #The_ChandO Kupitia link hii ๐Ÿ‘‰wa.me/+255762305991

imewasilishwa na @SadickTusia Mtaalamu๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

~Kwa contents za kingereza tembelea @ChandoFact ๐Ÿ‘‡
~Kwa Ununuaji wa Vitu Used tembelea @ChandoMaterials

โ€ข โ€ข โ€ข

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
ใ€€

Keep Current with The ChandO

The ChandO Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @SadickTusia

Apr 2
Uzi : SEVEN( 7 ) HEALTH BENEFITS AMBAZO HUZIFAHAMU OF SLEEPING WITHOUT LIGHT, LET's GO...๐Ÿค๐Ÿ‘‡

1) The body is able to produce a hormone (Melatonin) which fights diseases in the body while asleep at night in the dark only.

Endelea utakujanishukuru badae...๐Ÿ‘‡
2) While asleep in the dark, the brain cells are able to rejuvenate back to their original state ( cells which were damaged due to excessive sunlight and electricity) and function properly.
3) A study shows that Intelligent people all over the world do not sleep at night with lights on. Take note.
Read 9 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(