Uzi : JINSI YA KUFANIKIWA KWENYE NYAKATI NGUMUπ
" FIKIRIA KUSHINDA πͺ "
Miaka kazaa iliyopita kuna kijana maarufu alikuwa akifuga kundi kubwa la Farasi karibu na ziwa,
Kundi lake la Farasi huwa kila baada ya kupata chakula wanatabia wa kwenda kunywa maji kwenye hilo...π
ziwa lililopo karibu na makazi yao,
Siku moja baada ya kundi kubwa la Farasi kupata chakula na kwenda kunywa maji ziwani,
Miongoni mwa Farasi baada ya kumaliza kunywa maji alipo jaribu kutoka akashindwa kabisa kwasababu alinasa kwenye tope,
Farasi wengine waiobaki walipo..π
rejea nyumbani mwenyewe kundi la Farasi akagundua Farasi mmoja hayupo,
Kulipo kucha asubuhi akaanza kumtafuta kwanzia sehemu wanapo pata chakula mpaka akafika ziwani sehemu wanapo kunywa maji baada ya kupata chakula,
Huko akamkuta huyo Farasi yuko kwenye tope akiwa...π
mnyonge, amekata tamaa ya kujaribu kutoka nje ya hilo tope Zito,
Akamtazama Farasi wake akalitazama na lile tope akalishika akagundua kuwa kulingana na aina ya tope alipo yule Farasi anaweza kutoka mwenyewe,
Kinacho pelekea asitoke ni kwasababu anafikiria ameshindwa kutoka..π
badala ya kufikiria kushinda ili atoke kwenye lile tope,
Alicho kifanya yule kijana alirudi nyumbani kulichukua lile kundi lake kubwa la Farasi kulileta mpaka pale ziwani alipo nasa Farasi mwenzao,
Kisha akapaza sauti yake akawaamulu wale Farasi waanze kukimbia wakizunguka.π
lile ziwa,
Akiwa na lengo la kubadilisha fikira ya yule Farasi ya kushindwa ili afikirie kushinda,
Walipo anza kukimbia kwa kishindo yule Farasi alie nasa kwenye tope akanyanyua kichwa chake juu na masikio yake ya kanyanyuka na kupaza sauti yake juu ishara ya kwamba yuko...π
tayari kwa mashindano na lazima mshindi apatikane,
Ndipo alipo anza kujaribu kuruka ili ajinasue kwenye lile tope, akaruka mara ya kwanza, mara ya pili na mara ya tatu alipo ruka akafanikiwa kutoka nje ya lile tope Zito na kuungana pamoja na wenzake,
Hadithi hii inafundisha..π
kwamba unapo kuwa kwenye nyakati ngumu kama vile kipato chako kidogo, biashara yako hai kui, MAUZO kidogo kwenye biashara yako, kukosa kazi ya kufanya, n.k hautakiwi kufikiria kushindwa,
Watu wengi wanapopitia nyakati ngumu huwa waanza kufikiria kushindwa matokeo yake...π
huishia kushindwa kwenye malengo yao,
Kwanzia sasahivi unapopitia kwenye nyakati ngumu zozote usiwe Unafikiri kushindwa uwe una fikiria kushinda,
Hii ndio silaha pekee ya kufanikiwa kwenye nyakati ngumu,
UWE NA WAKATI MWEMA BARAKA ZA MUNGU ZIKAWE NASI SOTE KWA KADRI YA FADHILA NA NEEMA ZAKE
Nimerusha kama nilivyoipokea. Sifahamu nani kaiandika, lakini imetulia, nikaona na mwingine aisome. Kuna mawaidha mazuri hapo, unaweza kupata linalokuhusu.
Uzi : NAMNA YA KUWAFUNDISHA NIDHAMU WATOTO au KIJANA WAKOπ
Mzazi au mlezi zingatia haya yatakusaidia katika kuwalea wanao...π
1οΈβ£ Unapoingia nyumbani wasalimie watoto wako au hata kuwakumbatia. Hii inapaswa kusaidia kukuza hisia zao za upendo na kujithamini.
Shuka Nayo...π
2οΈβ£Kuwa mwema kwa majirani zako na usiwahi kuwasengenya. Kamwe usiseme vibaya juu ya madereva wengine ukiwa barabarani. Watoto wako wanaweza kusikiliza, kuhifadhi ndani yao na kuiga.
3οΈβ£Unapowapigia simu wazazi wako, watie moyo, wapatie simu watoto wako wazungumze nao. Unapowatembelea wazazi wako chukua watoto wako pamoja nawe. Kadiri wanavyokuona unawajali wazazi wako ndivyo wanavyojifunza kukutunza.
Uzi : SEVEN( 7 ) HEALTH BENEFITS AMBAZO HUZIFAHAMU OF SLEEPING WITHOUT LIGHT, LET's GO...π€π
1) The body is able to produce a hormone (Melatonin) which fights diseases in the body while asleep at night in the dark only.
Endelea utakujanishukuru badae...π
2) While asleep in the dark, the brain cells are able to rejuvenate back to their original state ( cells which were damaged due to excessive sunlight and electricity) and function properly.
3) A study shows that Intelligent people all over the world do not sleep at night with lights on. Take note.