Uzi : JUMBE MAKINI ISHIRINI NA MOJA( 21 ) ZA MKUMBUSHE MWANAO NINAZO ZIKUBALI, PIA MWISHO Unipe YAKO UNAYOIKUBALI TWENDE...π·
1. ~Mkumbushe mwanao kuwa WIVU utamfanya amchukie Mtu ambaye alipaswa ajifunze kutoka kwake...π¦
Re - Tweet na endelea ili upate kuniambia yako...π
2. ~Mkumbushe Mwanao kuwa Msaada sio Haki yake asipopewa Asinung'unike atafute Chake...π¦
3. ~Mkumbushe Mwanao kuwa Tumeona mazuri kwa watu waliokuwa wakiitwa wabaya na Tumeona mabaya kwa watu waliokuwa wakiitwa wazuri kwahiyo Aishi na kila mtu kwa akili...π¦
4. ~Mkumbushe Mwanao kuwa a-Date na Mtu ambae atampush kutimiza malengo yake Kwa Umri wake sio wa kushangilia kupostiwa Mitandaoni au kuwekwa Profile Picture whatsapp, Facebook na insta...π¦
5. ~Mkumbushe Mwanao kuwa Tunakosa Usingizi ili wanaotutegemea wapate kulala Vizuri...π¦
6. ~Mkumbushe Mwanao kuwa Akiwa baba hata akiumwa hatotamani watoto wajue maana tumaini lao pekee ni yeye...π¦
7. ~Mkumbushe Mwanao kuwa Kilicho bora kwake hakiwezi kuwa bora kwa watu wengine...π¦
8. ~Mkumbushe Mwanao kuwa Alipoamka leo kuna Mwenzake amevuta Pumzi ya Mwisho, inabidi amshukuru Mungu kwa hii zawadi ya Siku Nyingine...π¦
9. ~Mkumbushe Mwanao kuwa Njia yake ikishanyooka Asithubutu kuwanyooshea vidole ambao Njia zao bado zina KONA...π¦
10. ~Mkumbushe Mwanao kuwa Mtu atakae mpatia Bega wakati analia basi Asimsahau wakati amenyamaza...π¦
11. ~Mkumbushe Mwanao kuwa Wengine hatuna Mtu wa kumtegemea au Ndugu wa kumlilia Shida, Ukimtoa MUNGU Tunaamini sana kwenye Nguvu, Juhudi na Maarifa Yetu. ZAIDI Aishi Vizuri na Watu ila asijipe umuhimu kwenye maisha ya WATU...π¦
12. ~Mkumbushe Mwanao kuwa anayemuona anacho kuna siku alikua hana kama yeye Msihi aendelee kutafuta...π¦
13. ~Mkumbushe Mwanao kuwa akitanguliza kutafuta Umaarufu kabla ya Pesa basi ku-FAKE kutamtesa...π¦
14. ~Mkumbushe Mwanao kuwa tunaanzaga na tulicho Nacho ili kutafuta ambacho Hatuna...π¦
15. ~Mkumbushe mwanao kuwa Furaha ya kweli katika maisha ni pale tu anapokuwa na Amani ya Moyo bila kujali hali ya maisha aliyonayo...π¦
16. ~Mkumbushe mwanao kuwa kuna maamuzi ili yamletee Faida lazima yamuumize kwanza...π¦
17. ~Mkumbushe mwanao kuwa asivuke Bahari Kusalimia Watu Ambao Hawawezi Kuvuka Hata Mfereji ili kumjulia Hali Yake...π¦
18. ~Mkumbushe mwanao kuwa bila Mungu sisi si chochote...π¦
19. ~Mkumbushe mwanao kuwa ajitahidi kuwa na shukrani...π¦
20. ~Mkumbushe mwanao kuwa hatuwezi kuwa sawa maana kuna tunaokula kilicho iva na wengine wanakula chenye Radha...π¦
21. ~Mkumbushe Mwanao kuwa Asiache kuni-Tag mimi kwenye post za hustling zake kama Retweet ni moja ya njia ya Kum-support...π
UWE NA WAKATI MWEMA BARAKA ZA MUNGU ZIKAWE NASI SOTE KWA KADRI YA FADHILA NA NEEMA ZAKE
Nimeandika huu Uzi ili utujenge vyema kifikra na mitazamo chanya pia kuweza kutiana Moyo bila kukatishana Tamaa katika safari ya kupambania Maisha...π
Uzi : NAMNA YA KUWAFUNDISHA NIDHAMU WATOTO au KIJANA WAKOπ
Mzazi au mlezi zingatia haya yatakusaidia katika kuwalea wanao...π
1οΈβ£ Unapoingia nyumbani wasalimie watoto wako au hata kuwakumbatia. Hii inapaswa kusaidia kukuza hisia zao za upendo na kujithamini.
Shuka Nayo...π
2οΈβ£Kuwa mwema kwa majirani zako na usiwahi kuwasengenya. Kamwe usiseme vibaya juu ya madereva wengine ukiwa barabarani. Watoto wako wanaweza kusikiliza, kuhifadhi ndani yao na kuiga.
3οΈβ£Unapowapigia simu wazazi wako, watie moyo, wapatie simu watoto wako wazungumze nao. Unapowatembelea wazazi wako chukua watoto wako pamoja nawe. Kadiri wanavyokuona unawajali wazazi wako ndivyo wanavyojifunza kukutunza.
Uzi : SEVEN( 7 ) HEALTH BENEFITS AMBAZO HUZIFAHAMU OF SLEEPING WITHOUT LIGHT, LET's GO...π€π
1) The body is able to produce a hormone (Melatonin) which fights diseases in the body while asleep at night in the dark only.
Endelea utakujanishukuru badae...π
2) While asleep in the dark, the brain cells are able to rejuvenate back to their original state ( cells which were damaged due to excessive sunlight and electricity) and function properly.
3) A study shows that Intelligent people all over the world do not sleep at night with lights on. Take note.