#UpinzaniNiMafichoYaCCM: ⚡️Vyama vya upinzani vilivyozaliwa mwaka 1992 na mwanzoni mwa 1993, dhamira ilikuwa moja tu; kuiondoa CCM madarakani na kuchukua dola.

Hoja zilikuwa sera mbaya na uongozi mbaya wa CCM. mwananchi.co.tz/mw/habari/kita…
Hata hivyo, kuelekea Uchaguzi Mkuu 1995, oksijeni ya vyama vya upinzani iliegemea kwa wahamiaji kutoka CCM.

Katika wapambanaji wa mageuzi 1992 na 1993 mwanzoni, ni Cheyo peke yake ndiye aliyejitokeza kwa kujiamini katika Uchaguzi Mkuu 1995,….
Uchaguzi mkuu wa kwanza kuhusisha vyama vingi vya siasa katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Cheyo aligombea urais kupitia UDP. Vyama vingine vilivyosimamisha wagombea urais 1995 ni Cuf na NCCR ambavyo wagombea wao hawakuwepo nyakati za mwanzo za vuguvugu la mageuzi.
Mgombea wa NCCR-Mageuzi alikuwa Augustino Mrema, aliyekimbilia upinzani (kutokea CCM) kutafuta maficho salama. Cuf, walimsimamisha mwanasiasa msomi, aliyekuwa na umri mdogo kuliko wagombea wote wakati huo, Profesa Ibrahim Lipumba.

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Goodluck 全能神的僕人

Goodluck 全能神的僕人 Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @RealHauleGluck

Jun 9
For over a century, Tanzania's Maasai pastoralists have shared the famed Ngorongoro conservation area with zebras, elephants and wildebeests. But now they face the prospect of eviction as their exploding population poses a threat to wildlife according to the Tanzanian government.
#NgorongoroConservation: Since 1959, the number of humans living in the World Heritage Site has shot up from 8,000 to more than 100,000 last year. The livestock population has grown even more quickly, from around 260,000 in 2017 to over one million today.
Tanzania has historically allowed indigenous communities such as the Maasai to live within some national parks, but the relationship between the pastoralists and wildlife can be fractious, with animals attacking people and livestock.
Read 20 tweets
Apr 1
Dunia ya leo imejikita zaidi katika demokrasia. #Demokrasia kwa ufupi ni dhana inayolenga ushiriki wa wananchi katika kuweka misingi sahihi ya uendeshaji wa nchi wao wakiwa ndio msingi wa mamlaka yote ya nchi na walio na uwezo wa mwisho wa kuipa serikali madaraka na mamlaka yake.
Moja ya misingi mikuu inayolenga kukuza demokrasia ni Katiba ya Nchi. Katiba ni msingi mkuu wa uendeshji wa nchi, ukuaji wa demokrasia na utawala wa Sheria. Katiba ndiyo sheria kuu (mama) na ambayo kwayo sheria zote nyinginezo hupata uhalali na hufungamana na Katiba.
Katiba huweka bayana misingi ya utawala, vyombo vya utawala, na mgawanyo wa madaraka baina ya vyombo vikuu vya dola 👉🏽
Bunge, Mahakama na Serikali (Watendaji wakuu) Kubwa zaidi, Katiba ndiyo
inayoainisha nafasi waliyonayo wananchi katika kuweka utaratibu wa kuendesha nchi yao.
Read 23 tweets
Mar 29
#Jielimisheni: mchakato wa kupata Katiba Mpya Tanzania ulianza tangu mwaka 2010, wakati Rais wa wakati huo, @jmkikwete alipoamua kuutangazia umma dhamira na nia ya serikali ya CCM kuanzisha mchakato wa kupata Katiba Mpya.

👇🏻
Mchakato wa Katiba Mpys ukaanza rasmi mwaka 2011 kwa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Na. 83/2011 na baadaye ikatungwa Sheria nyingine ya Kura ya Maoni Na. 11/2013.
Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ilitamka kuanzishwa kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba ambayo ilianzishwa chini ya Waziri mkuu wa zamani, Jaji Joseph Sinde Warioba, ikaratibu mchakato wa kukusanya maoni ya wananchi na kuandaa rasimu ya kwanza ya Katiba.
Read 7 tweets
Mar 29
Spika wa Bunge la Space si alikuwa kwenye Bunge Maalum la Katiba na alishiriki kupigia kura Katiba Pendekezwa na Ma-CCM wenzie Katiba ambayo CHADEMA walisusia na kutoka nje na kuunda UMOJA WA KATIBA YA WATU (UKAWA)?

Je, Katiba Pendekezwa ilikidhi matakwa ya wananchi?

👇🏻
Katiba iliyopendekezwa ina mapungufu makubwa pia ilitupilia mbali maoni muhimu ya wananchi kama:

> Kupunguzwa kwa madaraka ya Rais: wananchi
walipendekeza madaraka makubwa ya Rais hasa ya uteuzi yapunguzwe na ziundwe Taasisi za kikatiba za kumshauri Rais kabla hajafanya teuzi.
> Kutenganisha Mamlaka ya Mihimili ya Dola Wananchi walipendekeza Uhuru zaidi kwa Bunge na Mamlaka zaidi kwa Bunge kuisimamia, kuiwajibisha na kuishauri Serikali. Pendekezo hili linaenda sambamba na kutenganisha serikali na Bunge, hali ambayo iko sasa.
Read 24 tweets
Mar 27
#Tanzania: Mvutano mkali unaendelea kutamalaki miongoni mwa watu binafsi, wanaharakati, wanasiasa, vyama vya siasa na viongozi wa chama tawala na vyama vya upinzani na serikali kuhusu uwezekano wa kupatikana Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya kabla ya UCHAGUZI MKUU 2025.
Madai ya Tume Huru yanasukumwa na hoja kwamba uwanja wa shughuli za siasa hauna usawa, bali unaweka mazingira ya kukipa faida zaidi chama tawala, huku kukiwa na madai ya mara kwa mara ya ukiukwaji wa sheria, ukosefu wa uhuru na kuwepo kwa mamlaka makubwa ya Rais juu ya Tume hiyo.
Madai ya Katiba mpya yanasukumwa na dhana kwamba Katiba Mpya ndilo jawabu la mambo mengi yanayolalamikiwa yakiwemo: mfumo wa uendeshaji nchi, madaraka ya Rais, Haki, Usawa, demokrasia, Uhuru wa kufanya siasa, Uhuru wa Mihimili katika kutekeleza majukumu yao na hata Tume Huru.
Read 14 tweets
Mar 26
#TunduLissu asema waliompiga risasi ni Kikosi Kazi (TASK FORCE) cha Ofisi ya Rais (Dr. Magufuli) chini ya aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa DGI-TISS kwa sass Balozi Dr. Kipilimba.
@TunduALissu anasema alitarajia Rais @SuluhuSamia ataondokana na kivuli cha Rais JPM.
Comrade @TunduALissu awataja waliohusika kumshambulia.

Bw. Lissu amesema Walionipiga risasi ni Kikosi kazi kilichopo chini ya Rais kikisimasimaiwa na Mkuu wa TISS Kipilimba. Kikosi kazi kimeua watanzania wengi sana.
Kimeua watu wengi sana, Kikosi kazi hicho kilijumuisha watu wa Usalama wa taifa, Watu wa Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi. Kinaitwa kikosi kazi cha kupambana na Ugaidi na madawa ya kulevya na uwindaji haramu (Poaching).
Read 5 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(