#Tanzania⚡️Katika hatua za kuboresha Mfumo wa Haki Jinai nchini Mhe. @SuluhuSamia amefanya mabadiliko ndani ya Jeshi la Polisi (@tanpol) nchini kwa kumteua aliyekua Kamishna wa Polisi Camillus Wambura kuwa Inspekta Jenerali na Mkuu mpya wa Jeshi la polisi nchini (IGP).
IGP Wambura anachukua nafasi ya IGP- Sirro (mstaafu) ambaye ameteteuliwa kuwa Balozi nchini Zimbabwe.
Moja ya jukumu kubwa la IGP Wambura no kuigeuza taswira ya @tanpol na kuhakikisha Jeshi la Polisi nchini linabaki kuwa kiungo muhimu cha kulinda Haki, Ulinzi na usalama wa raia.
IGP Camilius Wambura kitaaluma na kiutendaji ni mpelelezi aliyebobea, pia ana weledi katika nyanja ya upelelezi, ni mara chache sana kusikikia malalamiko kwenye kazi ya upepelezi ya aliyekuwa Kamishna Wambura (IGP).
Tunategemea IGP -Wambura ataendelea kusimamia Haki na Weledi.
Kuunganisha utendaji kazi wa vyombo mbalimbali vya Haki Jinai nchini ndio jukumu mojawapo la DCI, ambapo taswira ya upepelezi kukamilika kwa wakati, kupotea kwa kesi za kubambikiana, na kupungua kwa kesi za mitandao kazi ambayo IGP Wambura akiwa DCI aliifanya kwa weledi mkubwa.
Uteuzi wa IGP Wambura umewapa imani Watanzania wengi kuwa taswira ya Jeshi la Polisi inaenda kubadilika na kuwa chombo chenye kusimamia haki za wananchi na Usalama wa Raia na mali zao ipasavyo.

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Goodluck 全能神的僕人

Goodluck 全能神的僕人 Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @RealHauleGluck

Jul 8
And Jesus said to him, “Do you see these great buildings? There will not be left here one stone upon another that will not be thrown down.”

: Matthew 24:2 ESV
But he answered them, “You see all these, do you not? Truly, I say to you, there will not be left here one stone upon another that will not be thrown down.”

: Matthew 24:1-51 ESV
Jesus left the temple and was going away, when his disciples came to point out to him the buildings of the temple. But he answered them, “You see all these, do you not? Truly, I say to you, there will not be left here one stone upon another that will not be thrown down.”
Read 12 tweets
Jun 30
Tuanze kwa kujielimisha 👉🏽“Maana ya Ardhi”

Kuna tafsiri kadhaa ambazo zinaweza kutumika kutafsiri ardhi. Tafsiri hizo zinaweza kutokana na ufahamu wa kila mtu kulingana na uelewa wake.

/: Ardhi ni sehemu yote iliyo juu na chini ya uso wa nchi.

🪡
Hata hivyo, ili kuweza kuwa pamoja katika maana ya ardhi, ni vizuri kutumia tafsiri inayotumika katika miongozo ya ardhi. Miongozo hiyo ni pamoja na Katiba, sera, sheria za ardhi, kanuni na taratibu kadha wa kadha.
Angalizo:⚡️

Kimsingi, petroli na aina zote za madini zinazopatikana chini ardhi sio sehemu ya ardhi. Hata hivyo kwa makusudi ya sheria na taratibu za nchi petrol na aina zote za madini zimeondolewa katika tafsiri ya ardhi ili kuwezesha matumizi na umiliki wa pamoja kitaifa.
Read 20 tweets
Jun 14
#Tujielimishe: ⚡️SHERIA NA TARATIBU ZA UMILIKI WA ARDHI TANZANIA BARA

- Chimbuko na misingi ya mfumo wa umiliki na matumizi ya ardhi yaliyopo sasa umepitia katika vipindi vifuatavyo:-

Uzi 🧵…..

👇🏻
MFUMO WA MILKI YA ARDHI KABLA YA UKOLONI

Katika kipindi hiki mfumo wa milki ulikuwa na sifa nne zifuatazo:-

· Ardhi yote ilikuwa ikimilikiwa kimila.
· Ardhi ilikuwa kwa ajili ya matumizi tu. mf-Kilimo,makazi,ufugaji,matambiko nk
· Wananchi walikuwa na sauti ya mwisho katika ardhi yao.
· Viongozi wa mila na jadi walikuwa wasimamizi na wasuluhishaji wa migogoro.
Read 31 tweets
Jun 14
Comrade @TunduALissu tunaomba tueleze ni kwa mujibu wa Katiba au Sheria gani ardhi ndani ya JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ni mali ya wananchi?

🧵

👇🏻
Kipindi cha miaka ya 1961- 1990
- Mamlaka ya Gavana juu ya ardhi ilihamishiwa kwa Rais.
- Mwaka 1967 Azimio la Arusha lilitangazwa kuweka misingi ya uzalishaji mali mikononi mwa umma.
- Sheria zilizotungwa katika kipindi hiki ni pamoja na Sheria ya Utwaaji Na. 47 ya 1967 ambayo iliwezesha utwaaji wa ardhi kwa matumizi mbalimbali kama vile uanzishwaji wa Mashamba ya NAFCO na NARCO na Sheria ya Vijiji na Vijiji vya Ujamaa Na. 21 ya 1975
Read 9 tweets
Jun 12
#FactChecking: in 2017 Tanzania ended a 25-year-old hunting tourism deal with a United Arab Emirates company called ‘Otterlo Business Corporation’.
The deal, was set up in 1992 (President Mwinyi), was reported to be in exchange for millions of dollars to Tanzania’s armed forces.
However, despite the announcement in November 2017, OBC did not leave Tanzania. Just a few days later, Prime Minister Kassim Majaliwa said that OBC would stay.
Under the deal, Otterlo Business Corporation (OBC) gained exclusive hunting rights over an area of 400,000 hectares to the east of Serengeti National Park in Loliondo and Sale divisions of Ngorongoro District.
Read 14 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(