Uzi : AINA saba( 7 ) ZA WANAWAKE WENYE UPUNGUFU WA AKILI.๐ฆ
1๏ธโฃ. MWANAMKE Anaevaa nguo fupi(mini- skirt) halafu akikaa mahali anahangaika kujiziba magoti yake kwa mikono au kitambaa chake cha mkononi.๐ถ
Re-tweet kwanza na endelea tuelimike wote ndugu yangu...๐
2๏ธโฃ. MWANAMKE Anaetoa mimba kisha analala na midoli kwenye kitanda chake, Ana upungufu wa AKILI.๐ถ
3๏ธโฃ. MWANAMKE Anaetembea na mume wa mwanamke mwenzie miaka nenda rudi, na kuwakataa wanaume wanaomchumbia wenye nia ya kumuoa. Huyu nae ana upungufu wa AKILI.๐ถ
4๏ธโฃ. MWANAMKE Anaeweka nywele bandia, kucha bandia, kope bandia akiambiwa amependeza anasema Asante utukufu kwa MUNGU, Huyu nae ana upungufu wa AKILI.๐ถ
5๏ธโฃ. MWANAMKE ambae hamiliki hata kitanda nawala hana hata Biashara ya mtaji wa elfu 20. Lakini, anataka mwanaume mwenye nyumba au gari huyo nae kichwa chake hakina kitu kama mtungi wa gas usivyokua na kitu ndani yake.๐ถ
6๏ธโฃ. MWANAMKE anayeutumia mwili wake na kuufanya kuwa biashara kwa Wanaume kwa ajili ya kumuingizia kipato. Huyu nae dishi lake limeyumba.๐ถ
6๏ธโฃ. MWANAMKE ambaye hajaolewa au aliyeachika asiyetuliza miguu yake nyumbani kwake au kwao, kila kukicha kichwa chake kimejaza taarifa za mesengenyo, umbea na kufatilia ndoa za wanawake wenzie. Ana upungufu wa AKILI.๐ถ
7๏ธโฃ. MWANAMKE Anaesoma post hii kisha anatukana badala ya kubadilika wakati nimemuelimisha huyo nae Dishi lake ni NO SIGNAL, Halina hata channel za bure.๐ถ
Uzi : JUMBE MAKINI ISHIRINI NA MOJA( 21 ) ZA MKUMBUSHE MWANAO NINAZO ZIKUBALI, PIA MWISHO Unipe YAKO UNAYOIKUBALI TWENDE...๐ท
1. ~Mkumbushe mwanao kuwa WIVU utamfanya amchukie Mtu ambaye alipaswa ajifunze kutoka kwake...๐ฆ
Re - Tweet na endelea ili upate kuniambia yako...๐
2. ~Mkumbushe Mwanao kuwa Msaada sio Haki yake asipopewa Asinung'unike atafute Chake...๐ฆ
3. ~Mkumbushe Mwanao kuwa Tumeona mazuri kwa watu waliokuwa wakiitwa wabaya na Tumeona mabaya kwa watu waliokuwa wakiitwa wazuri kwahiyo Aishi na kila mtu kwa akili...๐ฆ
Uzi : NAMNA YA KUWAFUNDISHA NIDHAMU WATOTO au KIJANA WAKO๐
Mzazi au mlezi zingatia haya yatakusaidia katika kuwalea wanao...๐
1๏ธโฃ Unapoingia nyumbani wasalimie watoto wako au hata kuwakumbatia. Hii inapaswa kusaidia kukuza hisia zao za upendo na kujithamini.
Shuka Nayo...๐
2๏ธโฃKuwa mwema kwa majirani zako na usiwahi kuwasengenya. Kamwe usiseme vibaya juu ya madereva wengine ukiwa barabarani. Watoto wako wanaweza kusikiliza, kuhifadhi ndani yao na kuiga.
3๏ธโฃUnapowapigia simu wazazi wako, watie moyo, wapatie simu watoto wako wazungumze nao. Unapowatembelea wazazi wako chukua watoto wako pamoja nawe. Kadiri wanavyokuona unawajali wazazi wako ndivyo wanavyojifunza kukutunza.
Uzi : SEVEN( 7 ) HEALTH BENEFITS AMBAZO HUZIFAHAMU OF SLEEPING WITHOUT LIGHT, LET's GO...๐ค๐
1) The body is able to produce a hormone (Melatonin) which fights diseases in the body while asleep at night in the dark only.
Endelea utakujanishukuru badae...๐
2) While asleep in the dark, the brain cells are able to rejuvenate back to their original state ( cells which were damaged due to excessive sunlight and electricity) and function properly.
3) A study shows that Intelligent people all over the world do not sleep at night with lights on. Take note.