Makazi General & Car Dealers. Profile picture
Mar 27 6 tweets 4 min read Twitter logo Read on Twitter
Hivi Kuna Asiyejua Kama Ardhi ni Utajiri.

Au Asiyetambua Kama Akiba ya Kweli ni Ardhi.

Jiulize, Kwa Nini Mazao, Maji, Mafuta na Madini Vyote Vinapatikana Kwenye Ardhi ?..

#RealEstateInvesting
#PropertyForSale
#HomeBuying
#DreamHomes

Nisikuchoshe Sana
Madini Time
⬇️
Utaskiaje Ukifanikiwa Kumiliki Heka 5 ,10 au 50 Kabisa?

Hiyo Siyo Ndoto Inawezekana

Nimekusogezea Habari ya Shamba Lenye Uwezo wa Kutimiza Malengo Ndoto na Malengo Yako Leo

Kisa Hiki ni cha Shamba Lilipo Kata ya Kiwangwa Wilaya Bagamoyo

Umbali wa Kilometa 7 Tu Kutoka
⬇️
Barabara ya Lami Kijiji cha Bago

Timu Yetu Ilifika Mpaka Kijijini na Kustaajabu Baada ya Kukuta Shamba Linauzwa Kwa Bei ya Sawa na Bure Kabisa

Unajua Linauzwaje?

Bei ya Awali Kwa Heka 1 Ilikuwa ni Laki 6.99.9 Tu❌

Timu Yetu Ikakataa
Ikabidi Tupewe Bei ya Ofa
Ambayo
⬇️
Ni Kama Ifuatavyo:

Heka 1 - 5 =
Laki @ 5.99.9 Tu Kwa Heka ✅

Heka 6 - 10 =
Laki @ 5.5 Tu Heka ✅

Heka 11 - 20 =
Laki @ 4.99.9 Tu Heka ✅

Heka 21 - 40 =
Laki @ 4.5. Tu Kwa Heka ✅

Na Ukinunua Heka Zote 50 = ni Laki 3.99.9 Tu Kwa Heka ✅

Kumbuka Hapo Bado Mnaweza
⬇️
Kuungana Mkanunua Kuanzia Heka 5 na Kuendelea ✅

Lengo Letu ni Kuhakikisha Kila Mtanzania Anamiliki Ardhi.

Kwa Ushauri Kuhusu Uwekezaji Kwenye Ardhi na Majengo
Ujenzi, Ukarabati na Upimaji

Usiache Kutufollow
@LtdDealers

Wasiliana Nasi
Call & WhatsApp 📱 0785439614

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Makazi General & Car Dealers.

Makazi General & Car Dealers. Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @LtdDealers

Mar 26
Nifanyaje Nimiliki Kiwanja Cha Makazi au Biashara Jijini Arusha?...

Je Naweza Kupata Punguzo Nikinunua Zaidi ya Kiwanja Kimoja?

Ni Mfumo Gani Unatumika Kwa Malipo, ni Cash au Naweza Kulipia Kwa Awamu?

Nifate Utaratibu Gani Niweze Kuona na Kuchagua Kiwanja Changu Leo?.
⬇️
Arusha ni Jiji Lenye Fursa Nyingi za Kibiashara, Utalii, Madini na Kilimo.

Kama Unahitaji Kumiliki Nyumba ya Makazi au Biashara, Bila Shaka
Utalazimika Kununua Kiwanja Chako Leo Ili Utimize Ndoto Yako.

Usijali
Kazi Yetu ni Kutafiti, Kuibua Taarifa na Fursa Zote Muhimu
⬇️
Katika Uwekezaji Kwenye Ardhi na Majengo.

Kumbuka Lengo Letu ni Kuhakikisha Kila Mtanzania Anamiliki Kiwanja Bora na Nyumba
Inayoweza Kukidhi Mahitaji Yake Yeye na Familia Yake.

Usinunue Kiwanja Ili Mradi Kiwanja tu, 'NO'
Unatakiwa Kununua Kiwanja Kinachoweza Kukidhi
⬇️
Read 11 tweets
Mar 22
Nitumie Njia Gani Kuuza Nyumba,Viwanja au Gari Langu Bila Gharama?...

Njia Hizi Zitakushangaza!!

Kwanza Kabisa Nikupongeze Kwa Kuchukua Hatua Sahihi kwa Kufika Hapa na Kuisoma Makala Hii ⬇️
Kuna Njia Kadhaa Unazoweza Kuzitumia Kuuza Nyumba au Kiwanja Bila Gharama

Ikiwa Unataka Kuuza Haraka na kwa Ufanisi,Hapa chini ni Baadhi ya Njia Hizo

1. Matangazo Kwenye Mitandao ya Kijamii.
Unaweza Kutumia Mitandao ya Kijamii Kama Facebook, Twitter, na Instagram kuweka ⬇️
Matangazo ya Nyumba au Kiwanja Unachouza. Ni Njia Nzuri ya Kufikia Watu Wengi kwa Gharama ya Chini

2. Kutumia Tovuti za Bure za Kuweka Matangazo:

Kuna Tovuti Nyingi za Kuweka Matangazo Kama Vile ZoomTanzania, Kupatana, na Jumia House Ambazo Unaweza Kutumia Kwa Bure Kabisa.⬇️
Read 14 tweets
Mar 14
Mashindano ya Kununua Viwanja Jijini Mwanza ...

Je Unahisi ni Nini Chanzo Cha Hali Hii?.. Image
Usijali

Hata Mimi Mwanzoni Sikuwa Nafahamu Kilicho Jificha Nyuma ya Mtindo Huu.

Wa Watu Kushindana Kununua Viwanja.

Kitu Kilicho Pelekea Kuamua Kukaa Chini na Kufanya Utafiti Kwa Kina.

Utafiti Wangu Ulianzia Kwa Wateja Wenyewe Wanaonunua Viwanja.

Miongoni mwa Wateja..⬇️ Image
100 Niliowahoji, Wateja 91 Walinionyesha Tabia Moja Iliyo Nishangaza.

Sijui Kama Hiki Ninachoenda Kutamka Hapa ni Kwa Ajili Yako au Laa? Lakini Ngoja Tendendelee

Wateja Wote 91 Waliniambia Wamefanya Uchunguzi na Kubaini.

Kasi ya Ukuaji wa Jiji la Mwanza ni Kubwa Sana Uki..⬇️ Image
Read 17 tweets
Aug 1, 2022
Maswali Yako Yote Kuhusu Uwekezaji Kwenye Ardhi na Majengo Yanapatiwa Majibu...
👇
Faida za Kuwekeza Katika Mali isiyohamishika ni Nyingi.

Ukiwa na Mali iliyochaguliwa vizuri, Mwekezaji Unaweza Kufurahia Mtiririko wa Pesa Unaotabirika.

Mapato Bora Zaidi, Faida za Kodi, na Inawezekana Kutumia Mali isiyohamishika ili Kujenga Utajiri.

Unafikiria Kuwekeza 👇
Katika Mali isiyohamishika?

Unahitaji Kujua ni kwa Nini Mali isiyohamishika Inachukuliwa Kuwa Uwekezaji Mzuri Kuliko Aina Zingine za Uwekezaji?

Wawekezaji wa Mali isiyohamishika Hupata Pesa Kupitia Mapato ya Kukodisha, Kuongezeka Kwa Thamani ya Jengo au Ardhi Kila Mwaka 👇
Read 8 tweets
May 20, 2022
⚠️ BREAKING NEWS:
Tunazitambulisha Rasmi Huduma
Zitakazokuwa Zinatolewa na
Makazi General & Car Dealers
Nchini Tanzania.

... Na Kwa Kuanza tu Tumeanza na
Mikoa Mitano.
Je ni Huduma Gani?
Na Mikoa Hiyo Mitano ni Ipi?

Ungana Nasi 👇
Makazi General & Car Dealers ni
Commercial Real Estate Agency
Yenye Makao Makuu Yake Jijini
Mwanza.

Tumejipanga Kuondoa Kero na Changamoto Zote Zinazojitokeza Wakati wa Kununua / Kuuza /Kupangisha Nyumba, Apartment, Office, Hostel, Magodown Viwanja NK.
Huduma Zifuatazo Uta👇
Zipata Kwa Uwazi na Ushirikiano wa Hali ya Juu.
Kupitia Simu Yako ya Mkononi Tu.

✅{a} Kupanga au Kupangisha Nyumba, Apartment's, Office, Hostel,Flemu za Biashara, Kumbi za Sherehe au Godown.
Bila Kuathili Shughuli Zako za Kila Siku.
Ndani ya Muda Mfupi Sana. 👇
Read 7 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(