How to get URL link on X (Twitter) App
Jibu ni No Anyways leo kwenye hacking with friends tutachek namna gani unaweza kuwa phished kwa kutumia BITB ATTACK
na inakupasa upitie , umeopen ile attouchment ukaisoma ila hukujua in background there something special ina run na kutarget ur entire network. How do u feel? perfect
kutokuwa na uleelewa zaidi na issue nzima ya jinsi kuji anonymous na kubypass advance filters na scannners ambazo hutumiwa na ISP, network admins , ku pata nyayo zako ukiwa katika network na especiall ukileta uharibifu sehemu.