๐จ๏ธSoma habari mpya kila siku kuhusu โ๏ธTeknolojia kupitia kiganjani mwako kwa lugha ya kiswahili ๐น๐ฟ
si Unajua Teknolojia ni Yetu sote ๐
๐ญ Haijapita Muda mrefu tangu Google walipotangaza kuja na feature mpya inaitwa AirTag tracker alert, Hatimaye sasa rasmi ๐
Uzi ni wako watumiaji wa android mumefikiwa
๐ญ Watumiaji wa android watakua na uwezo wa kujua kama Kuna mtu anamfuatilia kupitia mfumo wa AirTag ambao utakuja na feature nyingi za ziada.
Jun 26, 2023 โข 18 tweets โข 8 min read
Fahamu jinsi ya kupiga window kwenye flash !!!
Je ulikua unasumbuka wapi utaweza kufanya installation ya window kuanzia 10, 11, 8, 7 kupitia flash yako ๐๏ธ relax Leo nakujuza.
Utaweza kufanya installation ya window 10 kupitia USB flash, Je kwanini tunatumia flash kupiga window?
Labda tuchukulie Cd huna , pia mlango wa Cd umekufa๐ค sio lakini ni muhimu kujua kuhusu Laptop yako kama ina support mfumo wa UEFI Mode. Lazima ujue tofauti ya Bios pamoja na UEFI mode.
May 10, 2023 โข 8 tweets โข 3 min read
Vita ya Whatsapp na Twitter??
Mmiliki wa Twitter anasema Whatsapp sio sehemu salama ya kuaminika, baada ya Engineer wa Twitter akipost kuwa Whatsapp inatumia microphone kusikilizia vitu vyake bila yeye kujua wakati amelala.
Ebu retweet, like alafu tu follow kisha tuendelee
Swali la kujiuliza ni kweli Whatsapp ya mark Zuckerberg anaweza kusikilizia maongezi yako wakati unazungumza na mama ,baba, rafiki, mpenzi wako ? Kiuwalisia hapana haiwezekani,
May 10, 2023 โข 9 tweets โข 3 min read
Uwahalifu wa kwenye Whatsapp mjihadhari !!
Juzi nilipost makala kuhusu Watumiaji wa Whatsapp wajihadhari wanaweza kuibiwa akaunti zao au kutapeliwa pesa
Kesho yake Kuna mtu amekutwq na maafa mazito shusha uzi chini ๐
Whatsapp najua ni mtandao pendwa ulimwenguni lakini kumekua na visaa kadhaa vya watu kuibiwa akaunti, pesa kupitia Whatsapp
Watumiaji wengi wa Whatsapp wamekua sio waangalifu sana haswa ikitokea mtu amemtumia link kuhusu jambo Fulani wanajikuta Wana gusa tu wala sio waangalifu
May 10, 2023 โข 7 tweets โข 3 min read
Twitter kufuta akaunti za watu
Mmiliki wa Twitter ana mpango wa kufuta akaunti za watu waliojiunga na Twitter ambao awako active kwa muda wa mwaka mmoja.
Elon musk mbona kama Yuko seriously ebu shusha Uzi chini ๐ inawezekana likakukuta jambo kwenye hii ?๐
Mr Elon musk ambaye mmiliki mpya wa Twitter aliyenunua October mwaka Jana amesema " ni muhimu Sasa kuondoa watu ambao vilaza kwenye akaunti ya Twitter watu ambao sio active kwa muda mrefu ili kuipa heshima mtandao huu"
May 9, 2023 โข 17 tweets โข 5 min read
Maujanja kwenye kompyuta
Je umekua kuangaika jinsi ya kufanya activation ya window kwenye kompyuta lakini umeshindwa? Najua watu wengi wanatumia njia ya kmpisco ambayo sio salama kabisa !!
Leo nakupa maujanja ya kuondoa neno window is not activateduzi๐ni wako follow & share
Hivi unajua unaweza tumia Cmd kufanya activation ya window 10 kwenye kompyuta yako.
Achana na kmpisco utaingiza virus kwenye kompyuta yako kwanza sio salama uwezi kutumia mpaka uzime antivirus ๐ achana nayo.
Ebu relax alafu like , follow kisha retweet tuendelee na maujanja.
May 9, 2023 โข 11 tweets โข 6 min read
Usichokijua kuhusu Tecno Camon 19
Kadri siku zinavyozidi kwenda kampuni ya tekno inaendelea Kuwa imara sana kwenye masuala kutoa simu Kali.
2022 Tecno iliachia simu mpya inaitwa Tecno Camon 19 Pro 5G yenye muonekano wa kipekee sana. Tekno wamekuja kivinge bhana.
Window 11 Sasa inakua window pendwa toka Microsoft baada ya kuachiwa kwake maana imefanya maisha kuwa rahisi kutokana na jinsi ilivyo rahisisha mambo mengi na feature za kibabe !!
Leo nakuambia feature za kibabe zilizopo fanya ku follow, like & retweet
1๏ธโฃ change voice to text
Kupitia window 11 unaweza Kubadili sauti yako kuwa ujumbe in real time. Utakua na uwezo wa kuzungumza kwa sauti alafu window yako ikabadilisha iyo sauti yako kuwa text kupitia kompyuta.
Pia labda uko kwenye Microsoft word unaweza sema tu new paragraph au
May 8, 2023 โข 9 tweets โข 3 min read
๐๐ฝ๐ฝ๐น๐ฒ ๐๐ฎ๐ธ๐ผ ๐ต๐ฎ๐๐ฎ๐ฟ๐ถ๐ป๐ถ
Umoja wa nchi za Ulaya (EU) wamewaonya apple wanaweza kufungiwa | kuzuiwa Uuzaji wa simu zao mpya zitakazo toka ikiwa watatoa simu zenye kuzuia mfumo wa USB type C kuwa limit.
Ebu fanya kutu follow alafu turn on notifications & tuendelee
Kamishna wa Masuala ya masoko ndani Jiji la Umoja wa Ulaya Mr Thierry Breton amewaonya Apple juu ya kuweka mfumo wao wa USB type C kwenye vifaa usiwe limit kwa kuzuia baadhi ya vifaa kutotaka kuingiliana nao.
May 8, 2023 โข 8 tweets โข 3 min read
๐ช๐ฎ๐๐๐บ๐ถ๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ฎ ๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ ๐บ๐ท๐ถ๐ต๐ฎ๐ฑ๐ต๐ฎ๐ฟ๐ถ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ ๐๏ธ
Kuna matukio ya wizi yameibuka kwa watumiaji wa Whatsapp, mjihadhari na message kutoka mataifa mbalimbali kupigiwa simu toka mataifa mengine.
Follow kisha turn On notification alafu tuendelee na story โ๏ธ
Haswa mataifa kama vile Malaysia , Ethiopia, Vietnam, Indonesia, china ,Syria, North korea, united Arab Emirates (UAE) nk ambapo Whatsapp wamezuiwa Whatsapp call kwenye izo nchi.
Je umepoteza simu yako ya Samsung ? Utafanyaje jinsi ya kuipata simu yako ?kwa kuwa simu yako umenunua gharama!! Nitakujuza.
Kupoteza au kuibiwa simu kunauma nyie acheni tena mpya daah !! ebu retweet kisha like tuendelee kujifunza ๐
Tunatumia simu kwa ajili ya mawasiliano na watu mbalimbali , kupoteza simu ni moja wapo ya jambo ya changamoto ngumu kwenye maisha Yetu haswa kama simu yako ndo mpya alafu umenunua kwa Gharama kubwa.
May 6, 2023 โข 13 tweets โข 4 min read
umuhimu wa kuzima simu yako ??
Unajua simu zimekua zikitumika Sana masa 24 Kwa siku, wiki na mwezi. Hii kitu sio kizuri kabisa kuanzia mazingira mpaka simu yenyewe.
Je Kuna umuhimu wa kuzima simu ? Ndiyo ni muhimu angalau mara moja nyakati za usiku | mchana unajua kwanini ?๐
Kabla ujaendelea Ebu fanya ku like & retweet ili watu wengi wajifunze kuhusu hii maana tunaokoa jamii nyingi ya afrika mashariki ๐
Usisahau kutu follow pia @Bongotech255 si unajua Teknolijia ni Yetu sote ๐ค Aya tuendelee
Kuna wakati unakuta uko mbali na simu yako kwa njia Moja ama nyingine unataka mtu akikupigia basi asipokupata kwenye namba Moja akupate kwenye namba nyingine ?
Uzi ni wako boss๐
Sema Kuna watu wanatumia ndivyo sivyo kwani wanaitumia kufuatilia mawasiliano ya watu wao wa karibu ๐ !! tumia kwenye njia iliyo sahihi ๐ jamani .