bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐ŸŽง๐Ÿ›œ Profile picture
๐ŸŒจ๏ธSoma habari mpya kila siku kuhusu โš™๏ธTeknolojia kupitia kiganjani mwako kwa lugha ya kiswahili ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ si Unajua Teknolojia ni Yetu sote ๐Ÿ“
Aug 2, 2023 โ€ข 7 tweets โ€ข 3 min read
๐—š๐—ผ๐—ผ๐—ด๐—น๐—ฒ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐˜๐—ฎ ๐—ป๐—ท๐—ถ๐—ฎ ๐—ฅ๐—ฎ๐—ต๐—ถ๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—บ๐—ท๐˜‚๐—ฎ ๐—บ๐˜๐˜‚ ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ฒ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐˜‚๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ

๐Ÿ’ญ Haijapita Muda mrefu tangu Google walipotangaza kuja na feature mpya inaitwa AirTag tracker alert, Hatimaye sasa rasmi ๐Ÿ‘‡

Uzi ni wako watumiaji wa android mumefikiwa Image ๐Ÿ’ญ Watumiaji wa android watakua na uwezo wa kujua kama Kuna mtu anamfuatilia kupitia mfumo wa AirTag ambao utakuja na feature nyingi za ziada. Image
Jun 26, 2023 โ€ข 18 tweets โ€ข 8 min read
Fahamu jinsi ya kupiga window kwenye flash !!!

Je ulikua unasumbuka wapi utaweza kufanya installation ya window kuanzia 10, 11, 8, 7 kupitia flash yako ๐Ÿ–๏ธ relax Leo nakujuza.

Utaweza kufanya installation ya window 10 kupitia USB flash, Je kwanini tunatumia flash kupiga window? Labda tuchukulie Cd huna , pia mlango wa Cd umekufa๐Ÿค“ sio lakini ni muhimu kujua kuhusu Laptop yako kama ina support mfumo wa UEFI Mode. Lazima ujue tofauti ya Bios pamoja na UEFI mode.
May 10, 2023 โ€ข 8 tweets โ€ข 3 min read
Vita ya Whatsapp na Twitter??

Mmiliki wa Twitter anasema Whatsapp sio sehemu salama ya kuaminika, baada ya Engineer wa Twitter akipost kuwa Whatsapp inatumia microphone kusikilizia vitu vyake bila yeye kujua wakati amelala.

Ebu retweet, like alafu tu follow kisha tuendelee Image Swali la kujiuliza ni kweli Whatsapp ya mark Zuckerberg anaweza kusikilizia maongezi yako wakati unazungumza na mama ,baba, rafiki, mpenzi wako ? Kiuwalisia hapana haiwezekani, Image
May 10, 2023 โ€ข 9 tweets โ€ข 3 min read
Uwahalifu wa kwenye Whatsapp mjihadhari !!

Juzi nilipost makala kuhusu Watumiaji wa Whatsapp wajihadhari wanaweza kuibiwa akaunti zao au kutapeliwa pesa

Kesho yake Kuna mtu amekutwq na maafa mazito shusha uzi chini ๐Ÿ‘‡ Image Whatsapp najua ni mtandao pendwa ulimwenguni lakini kumekua na visaa kadhaa vya watu kuibiwa akaunti, pesa kupitia Whatsapp

Watumiaji wengi wa Whatsapp wamekua sio waangalifu sana haswa ikitokea mtu amemtumia link kuhusu jambo Fulani wanajikuta Wana gusa tu wala sio waangalifu Image
May 10, 2023 โ€ข 7 tweets โ€ข 3 min read
Twitter kufuta akaunti za watu

Mmiliki wa Twitter ana mpango wa kufuta akaunti za watu waliojiunga na Twitter ambao awako active kwa muda wa mwaka mmoja.

Elon musk mbona kama Yuko seriously ebu shusha Uzi chini ๐Ÿ˜ƒ inawezekana likakukuta jambo kwenye hii ?๐Ÿ‘‡ Image Mr Elon musk ambaye mmiliki mpya wa Twitter aliyenunua October mwaka Jana amesema " ni muhimu Sasa kuondoa watu ambao vilaza kwenye akaunti ya Twitter watu ambao sio active kwa muda mrefu ili kuipa heshima mtandao huu" Image
May 9, 2023 โ€ข 17 tweets โ€ข 5 min read
Maujanja kwenye kompyuta

Je umekua kuangaika jinsi ya kufanya activation ya window kwenye kompyuta lakini umeshindwa? Najua watu wengi wanatumia njia ya kmpisco ambayo sio salama kabisa !!

Leo nakupa maujanja ya kuondoa neno window is not activateduzi๐Ÿ‘‡ni wako follow & share Image Hivi unajua unaweza tumia Cmd kufanya activation ya window 10 kwenye kompyuta yako.

Achana na kmpisco utaingiza virus kwenye kompyuta yako kwanza sio salama uwezi kutumia mpaka uzime antivirus ๐Ÿ˜ƒ achana nayo.

Ebu relax alafu like , follow kisha retweet tuendelee na maujanja. Image
May 9, 2023 โ€ข 11 tweets โ€ข 6 min read
Usichokijua kuhusu Tecno Camon 19

Kadri siku zinavyozidi kwenda kampuni ya tekno inaendelea Kuwa imara sana kwenye masuala kutoa simu Kali.

2022 Tecno iliachia simu mpya inaitwa Tecno Camon 19 Pro 5G yenye muonekano wa kipekee sana. Tekno wamekuja kivinge bhana.

Uzi ni wako Image Specs:๐Ÿ‘‡
โ–ช๏ธ Processor Mediatek MT6833P dimensity 810 octa core
โ–ช๏ธRam: 8Gb
โ–ช๏ธ storage: 128Gb & 256Gb
โ–ช๏ธ Display:6.8inches
โ–ช๏ธCamera: Triple Camera 64mp +
โ–ช๏ธ battery Li-Po 5000mAh
โ–ช๏ธfast charging 33watts
โ–ช๏ธ Software: Android 12 Image
May 9, 2023 โ€ข 13 tweets โ€ข 4 min read
Maajabu ya window 11 ๐Ÿ˜Š

Window 11 Sasa inakua window pendwa toka Microsoft baada ya kuachiwa kwake maana imefanya maisha kuwa rahisi kutokana na jinsi ilivyo rahisisha mambo mengi na feature za kibabe !!

Leo nakuambia feature za kibabe zilizopo fanya ku follow, like & retweet Image 1๏ธโƒฃ change voice to text
Kupitia window 11 unaweza Kubadili sauti yako kuwa ujumbe in real time. Utakua na uwezo wa kuzungumza kwa sauti alafu window yako ikabadilisha iyo sauti yako kuwa text kupitia kompyuta.
Pia labda uko kwenye Microsoft word unaweza sema tu new paragraph au
May 8, 2023 โ€ข 9 tweets โ€ข 3 min read
๐—”๐—ฝ๐—ฝ๐—น๐—ฒ ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐—ต๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ป๐—ถ
Umoja wa nchi za Ulaya (EU) wamewaonya apple wanaweza kufungiwa | kuzuiwa Uuzaji wa simu zao mpya zitakazo toka ikiwa watatoa simu zenye kuzuia mfumo wa USB type C kuwa limit.

Ebu fanya kutu follow alafu turn on notifications & tuendelee Image Kamishna wa Masuala ya masoko ndani Jiji la Umoja wa Ulaya Mr Thierry Breton amewaonya Apple juu ya kuweka mfumo wao wa USB type C kwenye vifaa usiwe limit kwa kuzuia baadhi ya vifaa kutotaka kuingiliana nao. Image
May 8, 2023 โ€ข 8 tweets โ€ข 3 min read
๐—ช๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐—บ๐—ท๐—ถ๐—ต๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜€๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐ŸŒ๏ธ
Kuna matukio ya wizi yameibuka kwa watumiaji wa Whatsapp, mjihadhari na message kutoka mataifa mbalimbali kupigiwa simu toka mataifa mengine.

Follow kisha turn On notification alafu tuendelee na story โœ๏ธ Image Haswa mataifa kama vile Malaysia , Ethiopia, Vietnam, Indonesia, china ,Syria, North korea, united Arab Emirates (UAE) nk ambapo Whatsapp wamezuiwa Whatsapp call kwenye izo nchi. Image
May 7, 2023 โ€ข 12 tweets โ€ข 4 min read
๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐˜€๐˜‚๐—ป๐—ด ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐—ฝ๐—ผ๐˜๐—ฒ๐—ฎ

Je umepoteza simu yako ya Samsung ? Utafanyaje jinsi ya kuipata simu yako ?kwa kuwa simu yako umenunua gharama!! Nitakujuza.

Kupoteza au kuibiwa simu kunauma nyie acheni tena mpya daah !! ebu retweet kisha like tuendelee kujifunza ๐Ÿ‘‡ Image Tunatumia simu kwa ajili ya mawasiliano na watu mbalimbali , kupoteza simu ni moja wapo ya jambo ya changamoto ngumu kwenye maisha Yetu haswa kama simu yako ndo mpya alafu umenunua kwa Gharama kubwa.
May 6, 2023 โ€ข 13 tweets โ€ข 4 min read
umuhimu wa kuzima simu yako ??

Unajua simu zimekua zikitumika Sana masa 24 Kwa siku, wiki na mwezi. Hii kitu sio kizuri kabisa kuanzia mazingira mpaka simu yenyewe.

Je Kuna umuhimu wa kuzima simu ? Ndiyo ni muhimu angalau mara moja nyakati za usiku | mchana unajua kwanini ?๐Ÿ‘‡ Image Kabla ujaendelea Ebu fanya ku like & retweet ili watu wengi wajifunze kuhusu hii maana tunaokoa jamii nyingi ya afrika mashariki ๐Ÿ˜Ž

Usisahau kutu follow pia @Bongotech255 si unajua Teknolijia ni Yetu sote ๐Ÿค— Aya tuendelee

Leo nakupa sababu kadhaa !! Image
May 2, 2023 โ€ข 9 tweets โ€ข 3 min read
๐—™๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐—ท๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚ ๐—ฑ๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ๐˜ ๐—ฆ๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐— ๐—ผ๐—ท๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ๐—ป๐—ฒ ?

Kuna wakati unakuta uko mbali na simu yako kwa njia Moja ama nyingine unataka mtu akikupigia basi asipokupata kwenye namba Moja akupate kwenye namba nyingine ?

Uzi ni wako boss๐Ÿ˜Ž Image Sema Kuna watu wanatumia ndivyo sivyo kwani wanaitumia kufuatilia mawasiliano ya watu wao wa karibu ๐Ÿ˜” !! tumia kwenye njia iliyo sahihi ๐Ÿ˜ jamani . Image