BAD NUMBER🥷🏿 Profile picture
BELIEVER & BRAINER | MUSIC | CODE&MICHAPO || FITNESS-LIFESTYLE || JOKER😁
Feb 17, 2023 32 tweets 9 min read
JE, SOKOINE ALIKUFA KWA AJALI YA GARI, AU KWA KUPIGWA RISASI KIFUANI?

Je, nani anasema ukweli kuhusu kifo cha Sokoine.!?

Ni Nyerere aliyedai alikufa kwa ajali ya gari, lakini hakutaka kabisa watu wahoji wala kuchunguza ajali hiyo ilikuwaje au tumuamini Dr. Shaba aliyewahi..👇 kudai kwamba wakati anamfanyia postmortem alitoa risasi 18 kifuani..!?

Nani alisema ukweli na nani alidanganya..!? Je, ukifa kwa ajali ya gari unatolewa risasi kifuani..!? Je, na aliyekufa kwa ajali ya gari kuna haja ya kuwaomba na hata kuwalazimisha watu waamini
Feb 17, 2023 6 tweets 2 min read
“Rashidi naenda Dodoma kulihutubia bunge nakupa siku saba uzirudishe pesa za wananchi Tsh. 60 millioni ulizouza meli ya wananchi; na kama ukishindwa nitakupeleka Redio Tanzania ukawaambie watanzania umezipeleka wapi pesa zao”

Kauli ya Mwisho ya Edward M. Sokoine👇 hayo ni maneno ya mwisho kwa watanzania yaliyotamkwa na Marehemu Sokoine kwa kupitia

Redio Tanzania wakati anajiandaa kwenda kulihutubia bunge Dodoma na alipoondoka kwenda Dodoma Mzee Kawawa akakimbilia kijijini kwao huko Liwale….
Feb 16, 2023 15 tweets 3 min read
HUU NI UKWELI 100%✅

“Shetani huwa hapendi neno la Mungu, chukua bible/Quran iweke wazi (usiifunike iwe wazi chumbani au ndani ya nyumba yako) ikiwezekana tafuta sura zenye maneno yenye nguvu mfano rejea za Bible”

Nakupa baadhi ya Maandiko hayo unapoweza kufunua; Kabla ya Maandiko chukua hii

“Wakati dhoruba ya maisha huja kukasirika sana, tunahitaji nguvu ili kuendelea kusimama.

Wakati tunapitia moto wa maisha, tunahitaji nguvu ya kuweka imani yetu. Tunapokuwa wagonjwa, tunahitaji nguvu, kwa hivyo hatuchoki.