How to get URL link on X (Twitter) App
1.Find my device(Google)
Namna ya kuitoa hio code baada ya ku set ni kubonyeza tena code hii # 35*0000*11 #
1.anza kwa kuivhunguza simu yenyewe battery 🪫 yake hali ya simu kwa ujumla na takwimu za kutumika kwake kwa kutumia code hii *#*#4636#*#*
1.Check battery health yako kama inaendana cycle counts 😎 simu original sensor zake zimewekewa limit kiwango flani cha ku miss behave ukipiga hesabu ukapata 80% na battery yako ni 79% hio sio mbaya maana haiko mbali sana,soma uzi wake zaidi kwenye pinned tweet yangu
Links hua zipo nyingi sana kuna zingine ni kujishindia simu flani mpya iliyotoka wakati huo,gari ya thamani,kwenda kutizama mechi ulaya live,au kampeni zingine ni kuataka kutabiri namna mtoto wako atakavyokua ama zingine kutabiri utakua tajiri kiasi gani moja kati ya kitu ambacho
Tuanze na simu za android then nitamalizia na iphone
Sio kila charger ni fast charger ,na sio kila smartphone ina support fast charging pia kuna simu zingine inaweza ikawa ina support fast charging lakini kufanya kazi ni mpaka option ya fast charging ui turn on
zinakataa baadhi ya codes,codes hizi ni kwaajili ya watumiaji wa vifaa vyenye operating system ya android tu
1.Epuka simu za wizi
Ibiwa ,namna ya kufanya ili uipate imei namba yako
Au mfano ulikua umevunja camera yako kwa bahati mbaya na ukaenda kwa fundi kubadilisha camera 📷
Mara nyingi true tone hua haipo kwenye vioo vinavyouzwa madukani hua ipo kwenye kioo original kilichokuja na simu yenyewe,na ndio maana ikitokea umebadilishiwa kioo na fundi ambaye sio mwelewa true tone hua inatoka na hairudishi
1.KUJIZIMA MARA KWA MARA
1.SMART TV AU ANDROID TV
Jitahidi kuzisoma hizi nyuzi maana zimebeba mambo muhimu sana yatakayo kusaidia kufanya maamuzi mazuri juu ya skills gani unatakiwa kuwa nazo na ni fani gani umshauri mdogo wako au mtoto wako ama ndugu yako ambazo zitakua na soko miaka ijayo
A2221 kuanzia 2019)
Utofauti wake na SIM cards ,
zimika kutumia Teknolojia ya bluetooth sasa kuna kampuni nyingi duniani ambazo zinatengeneza Bluetooth chipsets models na ni vigumu kuzijua kwa kuziangalia muundo wake wa nje mpaka pale ambapo umezipasua kwa ndani ukiangalia vizuri kwenye PCBA kunakuaga na herufi