How to get URL link on X (Twitter) App
Maana yake kadri muda unavyokwenda na ndivyo mambo hubadilika. Watu huhama, huzaliana baina ya makabila na makabila, jamii huvamiwa, hutokomezwa kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe nk nk
Yesu Kama Mungu Bali ni Mtu tu tena Nabii na Wanawadespise wakristo na kuwaita Waabudu Masanamu, hawakatai kuwa aliishi Nazareti na Kwenda Jerusalem Bali wanampinga kwakuwa Waisrael ni nature Yao kupinga kitu ambacho wanakifahamu/na Wanamjua Mungu kuliko Mtu yeyote Ulimwenguniππ»
Chuma kinapatikana kwa Wingi kwenye tabaka la juu la ardhi,japokuwa hata hiko kiini cha Dunia bado inadhaniwa kuwa ni chuma/kimecompose chuma.
Kuwanga, Kila ukianza Jambo linaishia njiani bila Mafanikio basi ujue Jini Cheketu ndio Mtaalamu wa Mambo. Ukiona ndoa yako haieleweki Migogoro mingi basi ujue ni jini huyu(sio Mahusiano ya Mpenzi ni Mume&Mke)
Na mtu anaweza kuishi na jamii hiyo aidha kwa kujua au kutokujua. Wakati mwengine mashetani haya yanaweza kujidhihirisha dhahran kwa mtu na ukavishuhudia kabisa kwa macho. Mara nyingi wanapenda kujionesha wakiwa watu wafupi sana na waliojaa. Maumbo ambayo wanapenda kujionesha
Huyu Jinni Ili uweze Kumwita Unatakiwa utumie Black Magic,ila akifika tu ujue kukufuru ni kama kupepesa macho lazima atakufanya ukufuru.