Shuka na hii THREAD Utajifunza kitu kuhusu Computer Yako ..
..Nilikutana dada Mmoja Maongezi yalikua kama hivi..
Her: Sory, me nina computer lakin natumia na Rafiki yangu ,lakin nataka vitu vyangu hasivione Ila mie nivione vya kwake Je inawezekana...?
Me: Yeah ni Rahisi tu ..
Before sijanza kushusha Nondo click 👉
"Retweet" & "Like"
Ok,Tayari 👍 ..
Let's Go!..
👉Hatua ya Kwanza nikuongeza Account ya user mwingine Kwa click shortcut key [ Window + E ] au Double click "This Pc" kufunga Explorer ...
Dec 16, 2021 • 6 tweets • 4 min read
Hizi ni Njia Rahisi kabisa Unazotakiwa kutumia Google Kutafuta Taarifa Unazozihitaji na Utunze Muda Wako ..
👉site: Hutumika Kutafuta Taarifa katika tovuti Fulani Kwa Mfano unataka Kutafuta " Marketing Director " Kwenye Bank ya NMB utaenda kweny Google search bar ...
Na utaandika marketing director site:nmb.com then utapiga Enter results zako zitahusu Marketing Director Tu ..
👉Plus(+) ni alama inatumika kuongeza neno au maneno kweny site Yako unayotaka yawepo katika majibu Yako ,Kwa Mfano unahitaji Kutafuta Google ...
Dec 6, 2021 • 4 tweets • 3 min read
Hizi Hapa Windows Commands Unazotakiwa Kuzijua .
👉 whoami -> Hutumika Kucheki Account ulipo katika computer
👉dir -> inatumika kulist file pamoja na Directories/Folders
👉cd ->maan yake ni current directory hivyo humika Kucheki upo katika directory gan
👉cd .. -> inatumika
Kurudi Hatua Moja Nyuma,mfn c: windows\system32> cd .. ina maan utarudi Hatua Moja Nyuma na utakuwa katika folder la windows ie c: windows>
👉cd [folders] -> inatumika kuingia katika folder lingine kwamfano upo katika local disk C ie c>cd Users then hit [Enter] then utakuwa ndani
Sep 25, 2021 • 8 tweets • 4 min read
Je Wew Kati ya Wale Wanasumbuka Kutatua Tatizo hili (Recovery | code error 0xc000000e) Kwenye Computer Yako ?...
Basi hapa Ni Sehemu Sahihi ya Kujifunza Kutatua Tatizo hili 👇🏼 Kwa njia Nyepesi ...
👉Kwanza kabisa tuzijue Sababu zinazosababisha ili tatizo kutokea kwenye Computer Yako ...
1. Kufutika au kuharibika kwa boot file kwenye Local disk C ..
2. Viruses /Malicious softwares
Oky hizi Ni baadhi ya Sababu zinazoweza kuleta hili tatizo ...
Sep 12, 2021 • 13 tweets • 5 min read
Jifunze Jinsi Ya Kuzijua Wireless Network (Wi- Fi ) Kwenye Computer Yako ...
Hii Njia Itakusaidia Kuonyesha Wi-Fi Zote Ambazo Umewahai Kujiunga ...
Ukijuia Hii Njia Ni Haina Haja Ya kumeza Password Ya Wi-Fi ...
Wale Waze Wavitonga Kazi Kwenu 😂😂....
👉Hatua ya Kwanza tunaenda Kutype [cmd ] kweny Win Search bar ,Cheki Upande wa Kulia juu ya Win Search bar Utaona Kama Picha inavyoonesha then Run as Administrator ...