How to get URL link on X (Twitter) App
Madam President, I am honored to be writing to you about issues that are important to our country’s interests. Writing to you directly instead of starting with your assistants may seem unfair since the President is an institution. But, I decided to write to you straight away.

. @TRATanzania wanafanya hivi miaka yote, hapo bado TBS, service levy 0.3% ya mauzo (haijalishi umepata faida) bado gharama ya usafirishaji kutoka bandarini ambayo ina kodi kibao... Yote hii ni uvivu tu wa kufikiri, wanakamua wachache badala ya kuongeza tax base ili kodi zipungue

Mfano, gari zilizoshushwa kutoka katika meli ya mizigo 9 April 2022 katika bandari ya Dar es Salaam, gari 1,105 (sawa na 27%) ya mzigo ulioshushwa bandarini zilibaki Tanzania na gari 2,936 (73%) zilikwenda nchi jirani (Sudan, Zimbabwe, Mozambique, Malawi, Zambia).
Bado tulihitaji kuwa na JPM kwa miaka mingi au tuseme kwa lugha rahisi kabisa, JPM alichelewa kuwa Rais wetu. Ndiyo. Kabla ya JPM, kuna masuala mengi ya hovyo hatukuwahi kuyaona au kupitia katika siasa za nchi yetu, lakini katika uwepo wake tumeona masuala mengi ya kuogofya.
Majaliwa anasema alipofika kwenye ndege, alikuta watu wakijadili jinsi ya kuingia ndani kutoa msaada, lakini mlango umejifunga (locked). Majaliwa akatumia kasia yake, akapiga, mlango ukafunguka, watu wakaanza kuokolewa kupitia mlango huo. Majaliwa akahamia upande wa rubani.
These are my quarterly (4th quarter, 1 October–31 December (92 days) greetings to U & yours as well. We prayed 2022 to be a better year for all of us, the year in which we (would) refined ourselves, because it was another year of struggle for existence as always. Let’s talk now!
Awali majadiliano kati ya serikali na BARRICK yaliyofanyika Tanzania yaligomewa na ACACIA na wanahisa wengine wa ACACIA ambao wanamiliki karibu 36% ya hisa zote za ACACIA. Serikali iligoma kwenda mezani na ACACIA, wakaamua kukaa na BARRICK Gold Corporation

Kwa mujibu wa Sheria ya Mafuta ya mwaka 2015, kifungu namba 166, bei



Picha ya kwanza Club BILLZ ikiwa na uhai wake. Show kubwa za wasanii wa ‘bongo fleva’ zilifanyika hapo. Frame ya pili ni baada ya Club Billicanas kubomolewa kwa hila tu, sababu nyingi zikiwa za kisiasa. Watu wengi wakakosa ajira. Eneo hilo sasa ni parking tu ya magari. Roho mbaya 
https://twitter.com/chapo255/status/1527966953410904064Ni kizazi dhalimu tu ndiyo kinaweza kupewa kila kitu na kukubali bila kuhoji. Neno “kwanini” linaonyesha ustawi wa ubongo. Hili siyo dola la kijeshi, kifalme au kisultani. Hatupokei kila neno na kumeza. Ndiyo, hakuna sheria inayotutaka tumtambue kwa cheo cha “baba wa taifa”. Ipo?