How to get URL link on X (Twitter) App

Miaka ya 1700's watawa wanawawake kutoka ureno walikuwa wakitengeneza vijiti mithili ya toothpick na kuviuza Brazili kwa ajili ya kuondoa vitu kwenye meno wakati wa chakula , Charles alipoenda Brazil na kuona vijiti hivyo aliona ni fursa na alianza kuwaza kibiashara zaidi
Biashara siku zote ni kuwahi, na unapowahi lazima uwe na taarifa kamili pamoja na maarifa ili uweze kufanya kitu hicho, pia siku zote akili inakua , exposure inaongezeka si unajua akili ni elastic bhana, hii iligharimu nilipokuwa naanza kuingia kwenye biashara nilikuwa sijui ving

Kampuni ya Bakhresa na Azania ni kampuni kubwa EA ambazo hujishughulisha na uzalishaji wa bidhaa za vyakula kama unga wa Ngano na Mahindi na kila mmoja anafanya namna kushika soko zaidi kwa hiyo bila wao kupenda tayari wanakuwa washindani kutokana na bidhaa wanazo zalisha 
ni lazima uanze kwa kugugo na kutafuta taarifa, basi rafiki yangu alikuwa anatafuta Package materials na aliniomba nimsaidia kutafuta kwa sababu nilifahamiana na watu Nairobi, basi nikaingia zangu kwenye internet na kuumpa jamaa mmoja Nairobi na tukaanza kuongea biashara hiyo