Samwel Ndandala Profile picture
Keen observer of the interplay between Finance, International Economics, Taxation and Development. Passionate about learning, reading and running.
Nov 23, 2019 13 tweets 2 min read
Weekend hii nimesoma kitabu kuhusu kesi iliyomkabili Nyerere ya mwaka 1958. Huenda historia ya Tanzania ingekuwa tofauti kama kesi hii ingeamuliwa vinginevyo.

Kuna vitu vingine vizuri nimejifunza kuhusu wakati huo vyenye mafunzo kwetu leo - THREAD Julius Nyerere alishtakiwa kwa makosa matatu ya kukashfu ma-DC wakikoloni.

Kwenye gazeti la Sauti ya TANU la Tar. 7 Mei 1958, Nyerere alitumia maneno kama 'washenzi', 'maharamia' na 'magava wa mistuni' kuwaelezea ma-DC wakikoloni, DC Weeks wa Geita na DC Scott wa Songea.