TABORA UNITED Profile picture
THE GIANT LOOKS IN THE MIRROR AND SEES NOTHING DONDA
Oct 2, 2022 β€’ 7 tweets β€’ 1 min read
PICHA LINAKUWA NAMNA HII

Mkeo anaingia chumbani kama anaogopa ogopa, muhuni baada wa kumfungulia mlango anamvuta kwa nguvu, anabamiza mlango, anauegemea.

Mkeo anahema kama bata mzinga aliyekimbizwa anataka kuchinjwa...jamaa anambusu, midomo yake inakutana na ya mkeo.

πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ Jamaa sasa anakuwa kama anaiuma hivi midomo ya mkeo, anauma inaivuta kwa nje, mkeo anazidi kusogeza kichwa.

Jamaa anapitisha mkono mmoja ndani ya blauzi amevaa mkeo, ni shifonyi hii, anashika kitovu, anazungusha vidole kitovuni, anaipitisha nyuma ya mgongo.

Hapa mkeo anatoa
Oct 25, 2020 β€’ 84 tweets β€’ 14 min read
IT WAS JUS A DINNER DATE

okey mabumunda, si tuchape tu ka story flan ka uongo na kweli kabla hatujaenda kupiga kura trh 28??

Been a while in hereπŸ˜‚πŸ˜‚, i missed u too

Okey chap chap kiwake, waambie wenzio ni Kaka Bumunda tena

Tujaghe lolo

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ SEKONDARI SCHOOL- miaka 22 iliyopita

Natoka zangu bwenini, ni Ijumaa moja hivi, hakunaga kusoma sana siku za Ijumaa hapa shuleni kwetu, kama watu wengine tu, tunaanza weekend na hakuna kitu mtu atatufanya.

Najiimbia zangu Zuwena, ni kibao kilichorudiwa na mkali wa sauti
May 23, 2020 β€’ 22 tweets β€’ 6 min read
MAVURUGU YA MAPACHA

nikasema leo ni satoo na mabums hayajapata hata ka uzi, nikasema acha niwape kamoja

Hii sasa ni ukweliπŸ˜‚πŸ˜‚, kuwahusu hawa jamaa wawili, wanaitwa FRANK na FRANCIS, hawa majamaa bhana, kubaf zao

Tushuke

Ukitaka kuwa-follow shauri zako

@Franknfrancis1

πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ Anyways
Wanasemaga kuwa mapacha, eenh twins ni swagger, ninyi mabloo mnaweza kukausha kwanza, acha niongee na mabinti

Basi kwa hawa mablaza ilikuwa swagger + kama ni series ya simu, ilikuwa iPhone 11 max Platinumz Duo ProπŸ˜‚

Walichosoma kiliendana nao, walisoma sanaa huko FPA
May 19, 2020 β€’ 59 tweets β€’ 9 min read
KWANI WE HUNITAKI?

Siku nyingine tena, tupige ka story flan ama sio bhana, ka uongo na ukweli

Kipindi hiko kama wapwa, tukiendelea kuinuana, bila kuchoka, mpaka makwapa yajue hayajui

Wakikuuliza ni nani, waambie ni kaka Bumunda tena, jana na leo

πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ VIWANJA VYA VIJANA- Dayosisi ya MUSOMA

Paite DAYO, sisi ndo namna tulipaita, kuokoa muda na nguvu. Hivi vilikuwa viwanja vya michezo, vingi kwenye sehemu moja

Michezo yote, soccer, basketball, volleyball, table tenis, badminton, darasa la muziki na kila kitu