How to get URL link on X (Twitter) App
Kuna upepo na baridi sana, yaani kuliko kukaa nje mtu unaenda chooni upepo usikupige. Vyoo ni safi na vimejengwa vizuri.
https://twitter.com/habibamtanzania/status/1382066615467008007Tulianza kwa story akanielezea safari zake milimani. Yeye keshapanda mara 6 hadi Uhuru Peak. I was excited!
https://twitter.com/habibamtanzania/status/1382050098633437185
Hoteli tuliyofikia kulikuwa na wazungu kibao. Wengi wametoka mlimani wakipongezana kwa dinner, wines na kupeana vyeti..
Kampuni niliyotumia inaitwa Origin Trails. Sikusafiri peke yangu, kundi letu tulikua 21. Njia tuliyotumia ni Marangu.