How to get URL link on X (Twitter) App
Hii picha hapa chini ni picha halisi ikimuonyesha Mkurugenzi wa Idara ya Ujasusi Tanzania kipindi kile Bw. Othman Rashid akifanya suala ambalo si la kawaida na hatukuwahi kuliona hapo kabla kwa Mkurugenzi Mkuu wa TISS kufanya jukumu la ‘VIP Protection’
enzi zile za Richmond na Dowans mpaka akapelekwa India kutibiwa.
Wazazi wake wote wawili licha ya kuishi maisha yao yote nchini Russian lakini asili yao ni Waisrael. Mama yake aliitwa Irina na alifariki kipindi Roman bado angali mchanga kabisa wakati baba yake ambaye aliitwa Arkady alifariki kwa ajali ya gari miaka michache baadae Roman akiwa
katika juhudi za mataifa na makampuni makubwa kupanua ushawishi wao juu ya dunia yote na kulinda maslahi.
wa asili ya kisomali. Japokuwa watu wenye diplomatic passport wapata exemptions kadhaa kwenye kaguzi za uwanja wa ndege, lakini ilikuwa ni lazima kwa maafisa hawa kumuhoji abiria huyu kutokana na utata wa mzigo ambao alikuwa nao.
ambalo kwa kiwango kikubwa tukio hili limebadili mwelekeo wa siasa la bara zima la Afrika na hasa nchi za kusini mwa jangwa la Sahara.
nchi hiyo kumaliza kuongoza hafla hiyo ya mapokezi ya ndege akashuka jukwaani na akianza kuandoka.
amebeba begi la mkononi
wakaeleza namna ambavyo waliishi kambini Mazimbu na kijana anayeitwa Louis Mathakoe ambaye sasa hivi wanaonyeshwa picha kwamba identity halisi kijana huyo ni mtoto wa Rais Mbeki.
Mojawapo ya masuala haya ni madhira ambayo yanafanywa na watu tuliowapa madaraka. Nyendo zao, na siri zao ni kana kwamba haupaswi kutamani kuzifahamu.
na kisha kupewa Hati ya Kusafiria ya nchi ya Afrika Kusini
Capital.
na hatimaye kuunda kampuni ya Ophir Energy Plc.
Ule mpaka leo umeweka rekodi ya vitalu vyote 7 kuchukulia na PSA Agreement kusainia kati ya serikali na wawekezaji.
Nilieleza kuhusu mgogoro ambao ulitokea pale Vodacom Congo.
Kwa ajili ya kutafuta maisha. Lakini tofauti na Watanzania wengi wanaozamia SA ambako wakifika uanza kwa kufanya shughuli za hali ya chini, ilikuwa tofauti kabisa na bwana Matiko ambaye aliingia SA akiwa na mtaji wa kuridhisha kutokana na fedha ambazo alizipata toka kwenye mauzo
Kuteua na kufukuza Mkurugenzi wa TPDC ndani ya masaa machache kabisa... ni failure kubwa ya kitengo cha intelijensia ya nchi ambao wana jukumu la kulinda hadhi na heshima ya Rais.
Fouad (yule msomali aliyekaa siti ya nyuma) kwa mujibu wa CIA wanasema kwamba alifanikiwa "kutoroka" akiwa hai.
Kitengo cha kwanza ndio ile Rendition Operations Team; hawa wanahusika sana kama target anatakiwa kukamatwa akiwa hai
na yuko gerezani Guatanamo Bay (alikamatwa tangu mwaka 1998).